Posts

Showing posts from January, 2021

WACHEZAJI 30 WA TIMU YA TAIFA CHINI YA MIAKA 20 NGORONGORO HEROES WAFANYIWA UCHUNGUZI WA MOYO

Image
Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa chini ya miaka 20 Ngorongoro Heroes wakiwa katika foleni ya kufanyiwa uchunguzi wa afya ya moyo leo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Wachezaji 30 wa timu hiyo walifanyiwa vipimo vya kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi, umeme wa moyo unavyofanya kazi na damu ikiwa ni mojawapo ya kutekeleza sheria ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kwa kila mchezaji anayeshiriki mashindano hayo kupima. Mtaalam wa maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Jesca Mlay akimtoa damu kapteni wa timu ya taifa chini ya miaka 20 Ngorongoro Heroes  Kelvin John kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa afya ya mwili wakati wachezaji 30 wa timu hiyo walivyofika katika taasisi hiyo kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa afya ya moyo kabla ya kushiriki mashindano ya kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) yatakayofanyika nchini Mauritania mwezi Februari mwaka huu. Fundi sanifu wa moyo (Cardiovascular technologist) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Paschal Kondi

Wachezaji 29 wa timu ya Taifa Stars wanaocheza ligi za ndani barani Afrika (CHAN) wapimwa vipimo vya moyo

Image
Mtaalamu wa maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Jesca Mlay akimpima kipimo cha damu mchezaji wa timu ya  Taifa Stars anayeshiriki mashidano ya wachezaji wa n aocheza ligi za ndani barani Afrika (CHA N ) Ibrahim Ame Mohamed . Wachezaji 29 wa timu hiyo  walifanyiwa  vipimo vya kua n galia ji n si moyo u n avyofa n ya kazi, umeme wa moyo u n avyofa n ya kazi  na damu ikiwa n i mojawapo ya kutelekeza sheria ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kwa kila mchezaji anayeshiriki mashidano hayo kupima. N a Ntiba Nongwe -  Dar es Salaam Wachezaji 29 wa timu ya Taifa Stars wa n aocheza ligi za ndani barani Afrika (CHA N ) wamepima vipimo vya moyo  ikiwa n i mojawapo ya kutelekeza sheria ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kwa kila mchezaji anayeshiriki mashidano hayo apime vipimo hivyo. Upimaji wa vipimo hivyo umefa n yika hivi  karibu n i katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambapo wachezaji hao walipimwa vipimo vya kua n galia ji n si moyo u n avyofa n y