Posts

Showing posts with the label Upimaji moyo

Pinda: Kupatikana kwa matibabu ya kibingwa ya moyo nchini kumeokoa maisha ya watu wengi

Image
  Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda akisoma folder lenye taarifa za Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati alipotembelea banda la taasisi hiyo leo kwa ajili ya kuona huduma za upimaji wa moyo zinazotolewa katika zoezi la kupima magonjwa hayo     linalofanyika katika viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma. Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Veronica Galiyaya akimpima kiwango cha sukari kwenye damu Mbunge wa Ngorongoro Mhe. Emmanuel Ole Shangai aliyetembelea banda la taasisi hiyo leo kwa ajili ya kupata huduma za upimaji wa magonjwa ya moyo zinazotolewa katika viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma. Afisa Utafiti wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Makrina Komba akimpima uwiano baina ya urefu na uzito Mbunge wa Momba Mhe. Condester Sichalwe aliyetembelea banda la taasisi hiyo leo kwa ajili ya kupata huduma za upimaji wa magonjwa ya moyo zinazotolewa ...

Zanzibar waendelea kupata huduma za matibabu ya moyo

Image
Wakazi wa Zanzibar wakiwa katika foleni ya kupata huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali yakiwemo magonjwa ya moyo wakati wa maonesho ya wiki ya Afya Zanzibar yanayoendelea katika viwanja vya Golden Tulip Airport. Wakazi wa Zanzibar wakipata huduma mbalimbali katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa maonesho ya wiki ya Afya Zanzibar yanayoendelea katika viwanja vya Golden Tulip Airport Zanzibar. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Eva Wakuganda akiwafundisha wanafunzi namna huduma za matibabu ya moyo zinavyofanyika wakati wa maonesho ya wiki ya Afya Zanzibar yanayoendelea katika viwanja vya Golden Tulip Airport. Kaimu Mtendaji Mkuu wa Shirika lisilo la kiserikali Heart Team Africa Foundation (HTAF) Linda Gideon akiwa katika picha ya pamoja na wakazi wa Zanzibar mara baada ya kuchangia matibabu ya upasuaji wa moyo kwa watoto kwa kununua T-shirt wakati wa maonesho ya wiki ya Afya Zanzibar yanayoendelea katika v...