Posts

Showing posts from August, 2026

Wanawake wenye matatizo ya kifafa cha mimba epukeni kubadilisha wenza: Dkt. Raya

Image
  Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake na wajawazito wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Raya Chambali akitoa elimu kuhusu magojwa ya wanawake kwa wagonjwa wanaopata huduma katika Hospitali hiyo iliyopo Temeke jijini Dar es Salaam.  Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake na wajawazito wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Raya Chambali akiandika taarifa za mgonjwa aliyefika kupata huduma katika hospitali hiyo iliyopo Temeke jijini Dar es Salaam.  *************************************************************************************                                        *************************************** Na JKCI Wanawake wenye matatizo ya kupata kifafa cha mimba wakati wa ujauzito wameshauriwa kutobadilisha mwenza baada ya kujifunga mtoto wa kwanza ili kuepuka vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Rai hiyo imetolewa...