Posts

Showing posts with the label Dar es Salaam

JKCI yawapa siku nane wananchi Dodoma kupima moyo bure

Image
Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Aisha Ally Said akimwelekeza namna ambavyo mishipa ya damu ya moyo inavyoweza kuziba Mpiga Picha Mwandamizi wa magazeti Deus Mhagale alipotembelea banda la taasisi hiyo hivi karibuni kwa ajili ya kupata huduma za upimaji wa magonjwa ya moyo zilizokuwa zinatolewa katika viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma. Afisa Utafiti wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Makrina Komba akimkabidhi folder lenye taarifa za Taasisi hiyo Mpiga Picha Mwandamizi wa magazeti Richard Mwaikenda alipotembelea banda la taasisi hiyo hivi karibuni kwa ajili ya kupata huduma za upimaji wa magonjwa ya moyo zilizokuwa zinatolewa katika viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma. ************************************************************************************************************************************************************************************** Na Shose Romwald - JKCI  Wataalamu wa   Taasi...

GSM Foundation na Yanga wachangia milioni 50 za matibabu ya moyo kwa watoto

Image
Rais wa klabu ya mpira ya Yanga Eng. Hersi Said akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge mfano wa hundi ya shilingi milioni 50 fedha zilizotolewa na GSM Foundation na klabu hiyo kwa ajili ya kulipia gharama za upasuaji wa moyo kwa watoto wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo kiuchumi wanaotibiwa katika taasisi hiyo. Rais wa klabu ya mpira ya Yanga Eng. Hersi Said akimjulia hali mtoto aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) alipotembelea taasisi hiyo leo kwa ajili ya kukabidhi hundi ya shilingi milioni 50 fedha zilizotolewa  na GSM Foundation na klabu hiyo kwa ajili ya kulipia gharama za upasuaji wa moyo kwa watoto wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo kiuchumi wanaotibiwa katika taasisi hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimsikiliza Rais wa klabu ya mpira ya Yanga Eng. Hersi Said alipotembelea taasisi hiyo leo kwa ajili ya kukabidhi hundi ya shilingi...

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi tuzo ya kumshukuru Mke wa Rais wa Msumbiji Mhe.   Mama Gueta Selemane Chapo kwa kutembelea taasisi hiyo na kuahidi kushirikiana nayo katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo alipotembelea taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi zawadi   Mke wa Rais wa Msumbiji Mhe. Mama Gueta Selemane Chapo mara baada ya kumaliza ziara yake ya kutembelea taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam   kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa. Mke wa Rais wa Msumbiji Mhe. Mama Gueta Selemane Chapo akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge mara baada ya kumaliza ziara yake ya kutembelea taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolew...