JKCI yafungua kliniki inayotumia mashine za Akili Unde (AI) SABASABA
Fundi sanifu wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mussa Omary akimpima mfumo wa umeme wa moyo mkazi wa Dar es Salaam aliyetembelea kliniki ya JKCI iliyopo katika maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiangalia mashine inayotumia akili unde (AI) kufanya usajiri kwa kumulika sura ya mgonjwa wakati wa uzinduzi wa kliniki ya taasisi hiyo iliyopo katika maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge, viongozi wa Taasisi hiyo na washiriki wa maonesho ya SABASABA wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzinduzi kliniki ya JKCI iliyopo...