Kutoka miaka 22 hadi kustaafu: Safari ya Lemmah yatoa somo kwa Watumishi wa Umma
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi mfano wa hundi ya zawadi ya kustaafu aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi JKCI Dar Group Iddi Lemmah wakati wa hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika jana katika ukumbi wa Taasisi ya hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasiliamali Watu wa JKCI, Ghati Chacha. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi tuzo ya shukrani kutokana na mchango wake alioutoa katika taasisi hiyo aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi JKCI Dar Group Iddi Lemmah ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika jana katika ukumbi wa Taasisi ya hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasiliamali Watu wa JKCI Ghati Chacha. Mkurugenzi wa Utawala na Rasiliamali Watu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ghati Chacha akimkabidhi cheti cha shukrani kutokan...