Posts

Rasimu ya kwanza ya mpango mkakati wa tatu wa JKCI yajadiliwa

Image
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mada zilizokuwa zikiendelea wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani akichangia mada wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wajumbe wa kamati ya maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mada zilizokuwa zikiendelea wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa kamati ya maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Fiona Kavishe akichangia mada wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Mshauri wa mpango mkakati kutok...

Rushwa na Ukiukwaji wa maadili vyapigwa vita JKCI

Image
Afisa Maadili Mwandamizi kutoka Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Grace Matunda akitoa elimu ya maadili kwa viongozi na wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) hii leo katika ukumbi wa mikutano wa JKCI jijini Dar es Salaam. Elimu hiyo imelenga kuwajenga viongozi na wafanyakazi wa taasisi hiyo kuendelea kuwa na maadili mazuri katika maeneo yao ya kazi.   Afisa Maadili Mwandamizi kutoka Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda Maalum ya Dar es Salaam Hamadi Bakari  akitoa elimu ya maadili ya Utumishi wa Umma kwa viongozi na wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.   Baadhi ya Viongozi na Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia  mafunzo ya maadili kwa viongozi wa utumishi wa yaliyokuwa yanatolewa na  Afisa Maadili Mwandamizi ...

Afya Kwanza: JKCI yawafikia Waumini wa KKKT Mbezi Beach kwa huduma za kibingwa

Image
Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Morisi Budotela akizungumza na muumini wa Kanisa la Kiinjili ya Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mbezi Beach Magrateh Misericordias mara baada ya kufanya vipimo vya moyo wakati wa kambi maalumu ya siku moja iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Kanisa hilo lililopo jijini Dar es Salaam. Mtalaamu wa vipimo vya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete ( JKCI) Yatimuni Mushi akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi mwananchi aliyefika katika kambi maalumu ya siku moja ya uchunguzi na matibabu ya moyo iliyokuwa ikifanywa na Taasisi hiyo katika Kanisa la Kiinjili ya Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam . Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Happiness Muragwa akimpima shinikizo la damu mkazi wa Bunju B wakati wa kambi maalumu ya siku moja ya uchunguzi na matibabu ya moyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa Mb...

Kambi Maalum ya Upimaji na Matibabu ya Moyo Yawafikia watu 302 Arusha

Image
Mkurugenzi wa Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) ambayo kwa sasa inasimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akipokea cheti cha shukrani kutoka kwa Daktari Bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watu wazima na Mshauri wa Upasuaji wa moyo kupitia tundu dogo kutoka  National Heart Institute (NHI) nchini Misri Prof. Ghada Kazamel baada ya kumalizika kwa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzi na matibabu ya moyo kwa watoto na watu wazima iliyokuwa ikifanyika katika Hospitali ya ALMC  na wataalamu wa JKCI, ALMC, Heart to Heart Association for Sustainable Development na  Egyptian African Heart Association (EAHA). Daktari Bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Goup Eva Wakuganda akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (ECHO) mtoto wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzi na matibabu ya moyo iliyofanywa na wataalamu wa JKCI, ALMC na   Heart to Heart Association f...

Shilingi milioni 30 zatoa tumaini kwa watoto wenye magonjwa ya Moyo

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akipokea hundi ya Shilingi milioni 30 kutoka kwa viongozi wanawake wanaoshiriki mafunzo ya Female Future Program msimu 11 yanayotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) walipotembelea Taasisi hiyo jana na kukabidhi mchango huo. Mtendaji Mkuu wa Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Heart Team Africa Foundation (HTAF) Dkt. Naizihijwa Majani akizungumza na viongozi wanawake wanaoshiriki mafunzo ya Female Future Program msimu 11 yanayotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) walipotembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) jana kwaajili ya kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa na JKCI. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwashukuru viongozi wanawake wanaoshiriki mafunzo ya Female Future Program msimu 11 yanayotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE)  mara baada ya kuchangia kiasi cha shilingi milioni 30 kwaajili ya matibabu ya watot...

Ziara ya Kujifunza: Viongozi wa Congo wapata huduma za kibingwa za Moyo JKCI

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimpima Shinikizo la damu (BP) Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mhe. Said Juma Mshana alipofika katika Taasisi hiyo leo kwaajili ya kufanya uchunguzi wa afya. Mtaalamu wa Maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Jesca Mlay akimtoa damu Gavana wa jimbo la Maniema Mhe. Mussa Kabwankubi Moise alipofika katika Taasisi hiyo tawi la Oysterbay leo pamoja na ujumbe wa viongozi kutoka jimbo hilo kwaajili ya kufanya uchunguzi wa afya.  Mtaalamu wa vipimo vya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Loyce Victor akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanyakazi (Echocardiograph – ECHO) mjumbe kutoka jimbo la Maniema wakati wajumbe hao walipotembelea JKCI tawi la Oysterbay leo kwaajili ya kufanya uchunguzi wa afya Gavana wa jimbo la Maniema Mhe. Mussa Kabwankubi Moise pamoja na wajumbe kutoka jimbo hilo wakisubiri kupata huduma alipofika katika Taasisi ya Moyo Ja...

JKCI na ABC Group kushirikiana kufikisha huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya ABC Group Mohammed Shareef wakisaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kuwatibu wateja wa ABC Group Tanzania kwa punguzo la asilimia 20, uliofanyika katika ofisi za ABC jijini leo Dar es Salaam.   Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiongea na waandishi wa habari wakati wa hafla fupi ya kusaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano kati ya JKCI na Kampuni ya ABC Group kuwatibu wateja wa ABC kwa punguzo la asilimia 20 iliyofanyika leo katika ofisi za ABC zilizopo jijini Dar es Salaam.   Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akipokea hundi kuashiria ushirikiano kati ya Taasisi hiyo na kampuni ya ABC Group mara baada ya hafla fupi ya kusaini mkataba wa ushirikiano kuwatibu wateja wa ABC kwa punguzo la asilimia 20 iliyofanyika leo ofisi za ABC zilizopo jijini Dar es...