Posts

JKCI mshindi wa kwanza watoa huduma bora za afya na tiba maonesho ya SABASABA

Image
  Waziri wa Kazi na Uwekezaji Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Shariff Ali Shariff akimkabidhi tuzo ya mshindi wa kwanza kwa utoaji wa huduma bora za afya na tiba Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Agnes Kuhenga wakati wa hafla ya kufunga maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA). Afisa uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Simon Sawe akimpima kiwango cha sukari kwenye damu mkazi wa Dar es Salaam aliyetembelea banda la JKCI wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyofungwa jana jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Agnes Kuhenga akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Taasisi hiyo mara baada ya kuibuka washindi wa kwanza wa mtoa huduma bora za afya na tiba katika maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA). Picha na JKCI ***************************************************...

Mhe. Makonda awahimiza wananchi wa Arusha kupima afya ya moyo

Image
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda akiangalia daftari maalumu la usajiri wa wagonjwa alipotembelea banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo jijini Arusha. Wapili kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge Afisa Uuguzi wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) ambayo inasimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Nadia Zuberi akimuonesha majibu ya sukari kwenye damu mwananchi aliyefika kufanya uchunguzi wa afya katika banda la JKCI wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo jijini Arusha.  Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hania Bwahama akimpima shinikizo la damu (BP) mwananchi aliyefika kufanya uchunguzi wa afya katika banda la Taasisi hiyo wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binada...

JKCI yatoa huduma za uchunguzi wa afya Bonanza la NBC

Image
  Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ditram Mgimba akimpima uwiano wa urefu kwa uzito (BMI) mkazi wa Dar es Salaam aliyefika katika viwanja vya Police Office Mess Oysterbay wakati wa bonanza la NBC kuelekea mbio za NBC zitakazofanyika Julai 26 mwaka huu kwaajili ya kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa na JKCI Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Moris Budotela akimuelezea umuhimu wa kupima afya mkazi wa Dar es Salaam aliyefika katika viwanja vya Police Office Mess Oysterbay wakati wa bonanza la NBC kuelekea mbio za NBC zitakazofanyika Julai 26 mwaka huu kwaajili ya kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa na JKCI. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ditram Theodory Mgimba akimpima shinikizo la damu mkazi wa Dar es Salaam aliyefika katika viwanja vya Police Office Mess Oysterbay wakati wa bonanza la NBC kuelekea mbio za NBC zitakazofanyika Julai 26 mwaka huu kwaajili ya kuchangia matib...

Mhe. Fatma Nyangasa awahamasisha wananchi kupima afya kupitia Kampeni ya Jua Namba Zako

Image
Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Thabit Ramadhani akumueleza Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mhe. Fatma Almasi Nyangasa namna moyo unavyofanya kazi alipotembelea banda la Taasisi hiyo lililopo katika maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Idd Kimario akimpima Shinikizo la damu Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mhe. Fatma Almasi Nyangasa alipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mhe. Fatma Almasi Nyangasa akitazama mfano wa saani ya makundi ya chakula alipotembelea banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) lililopo katika maonesho ya 50 ya Biashara ya...

JKCI na BMH waimarisha utalii tiba, wafanya upasuaji wa moyo kwa watoto kutoka nchini Burundi

Image
Wataalamu wa upasuaji wa moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) wakimfanyia upasuaji wa moyo mtoto mwenye tundu kwenye moyo kutoka nchini Burundi wakati wa kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto iliyokuwa ikifanyika katika Hospitali hiyo iliyopo jijini Dodoma. Wataalamu wa kuhudumia wagonjwa wa dharura na wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimuhudumia mtoto kutoka nchini Burundi aliyefanyiwa upasuaji wa moyo katika kambi maalumu iliyofanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) iliyopo jijini Dodoma. Wataalamu wa upasuaji wa moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) wakimfanyia upasuaji wa moyo mtoto mwenye tundu kwenye moyo kutoka nchini Burundi wakati wa kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto iliyokuwa ikifanyika katika Hos...

JKCI yapongezwa kwa kuanza kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Image
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo akiweka jiwe la msingi la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) tawi la Temeke kwa niaba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mwigulu Nchemba jana wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi iliyofanyika katika Taasisi hiyo tawi la Dar Group lililopo Tazara jijini Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Naibu Waziri wa Afya Dkt. Florence Samizi na viongozi mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) tawi la Temeke iliyofanyika jana katika Hospitali ya JKCI Dar Group iliyopo Tazara jijini Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Hassan Mahmoud Mshinda wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi la Taasis...

Wananchi wahimizwa kuzingatia lishe bora kujikinga na magonjwa ya moyo

Image
Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Emmanuel Lingindo akimuelezea kuhusu uwiano wa urefu kwa uzito (BMI) mwananchi aliyetembelea banda la Taasisi hiyo lililopo katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Abdulahman Njale akiwaonesha baadhi ya vifaa vinavyotumika katika chumba cha upasuaji wa moyo wananchi waliotembelea banda la Taasisi hiyo lililopo katika maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. *************************************************************************************************************** Vyakula vyenye mafuta mengi, sukari, chumvi kupita kiasi pamoja na vyakula vya wanga kwa wingi vyatajwa kuwa miongoni mwa vicho...