Watu 1,089 wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo kambi maalumu ya Mhe. Makonda
Wananchi kutoka mikoa mbalimbali ya Kaskazini wakiwa katika foleni ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu iliyoandaliwa na Ofisi ya Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Paul Makonda na kufanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. Jumla ya watu 1,089 wamepimwa moyo. Daktari wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) ambayo inasimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adda Justine akimpatia maelekezo mwananchi aliyefika kufanya uchunguzi wa afya wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu iliyoandaliwa na Ofisi ya Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Paul Makonda na kufanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. Jumla ya watu 1,089 wamepimwa moyo. Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Mhe. Paul Makonda akizungumza na wananchi waliokuwa wakisubiri kupata huduma katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu m...