Watoto 29 wafanyiwa upasuaji wa moyo JKCI
Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Dar Group Dkt. Tulizo Shemu na Balozi wa Saudi Arabia nchini Tanzania, Mhe. Yahya Ahmad wakiwa katika picha ya pamoja na wataalamu kutoka Kituo cha King Salman Humanitarian Aid and Relief Center cha nchini Saud Arabia wakati wa hafla fupi ya kuhitimisha kambi maalumu ya upasuajia wa moyo kwa watoto iliyomalizika jana katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Jumla ya watoto 29 wamefanyiwa upasuaji wa moyo Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Dkt. Tulizo Shemu na Balozi wa Saudi Arabia nchini Tanzania Mhe. Yahya Ahmad wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa JKCI wakati wa hafla fupi ya kuhitimisha kambi maalumu ya upasuajia wa moyo kwa watoto iliyomalizika jana katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Jumla ya watoto 29 wamefanyiwa upasuaji wa moyo Balozi wa Saudi Arabia nchini Tanzania Mhe. Yahya Ahmad akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuhiti...