Posts

Wafungwa zaidi ya 600 Gereza kuu Ukonga kupimwa moyo

Image
  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza na Mkuu wa Kitengo cha Afya Nsajigwa Mwankenja na baadhi ya askari magereza wa Gereza Kuu Ukonga wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa kambi maalumu ya upimaji na matibabu ya magonjwa ya moyo inayoendelea kwa wafungwa wa Gereza hilo. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kambi maalumu ya upimaji na matibabu ya magonjwa ya moyo inayofanyika kwa wafungwa wa Gereza Kuu Ukonga leo jijini Dar es Salaam.  Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza na Mkuu wa Kitengo cha Afya Nsajigwa Mwankenja akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kambi maalumu ya upimaji na matibabu ya magonjwa ya moyo inayofanyika kwa wafungwa wa Gereza Kuu Ukonga leo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akisaini kitabu cha wageni alipofika k...

Kampuni ya WATU yatoa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 11 kwa JKCI

Image
  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akipokea vifaa tiba aina ya Syringe Pump System vyenye thamani ya shilingi milioni 11 kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja kutoka Kampuni ya Mikopo ya Simu na Vyombo vya Moto (WATU) Patricia Sempinge wakati kampuni hiyo ilipochangia mashine hizo   ili kuongeza ufanisi wa huduma kwa wagonjwa wa moyo wanaotibiwa JKCI.  Mkurugenzi wa Idara ya Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Robert Mallya akipokea baadhi ya zawadi kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja kutoka Kampuni ya Mikopo ya Simu na Vyombo vya Moto (WATU) Patricia Sempinge wakati kampuni hiyo ilivyochangia mashine hizo ili kuongeza ufanisi wa huduma kwa wagonjwa wa moyo wanaotibiwa JKCI.  Mfanyakazi wa Kampuni ya Mikopo ya Simu na Vyombo vya Moto (WATU) akimpatia mzazi wa mtoto aliyelazwa katika wodi ya watoto wenye magonjwa ya moyo zawadi wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipotembelea Ta...

Wanawake wenye matatizo ya kifafa cha mimba epukeni kubadilisha wenza: Dkt. Raya

Image
  Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake na wajawazito wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Raya Chambali akitoa elimu kuhusu magojwa ya wanawake kwa wagonjwa wanaopata huduma katika Hospitali hiyo iliyopo Temeke jijini Dar es Salaam.  Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake na wajawazito wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Raya Chambali akiandika taarifa za mgonjwa aliyefika kupata huduma katika hospitali hiyo iliyopo Temeke jijini Dar es Salaam.  *************************************************************************************                                        *************************************** Na JKCI Wanawake wenye matatizo ya kupata kifafa cha mimba wakati wa ujauzito wameshauriwa kutobadilisha mwenza baada ya kujifunga mtoto wa kwanza ili kuepuka vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Rai hiyo imetolewa...

Benki ya NBC kuchangia kiasi cha shilingi bilioni 1 matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo

Image
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 200 Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani kwaajili ya kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI iliyotolewa na Benki ya NBC kupitia mbio za NBC zilizofanyika jana jijini Dodoma. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa wakati wa mbio za NBC zilizofanyika jana katika  uwanja wa michezo Jamhuri uliopo jijini Dodoma.   Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Kassim Hussein akishiriki katika mazoezi ya viungo wakati wa mbio za NBC zilizofanyika jana katika uwanja wa michezo Jamhuri uliopo jijini Dodoma kwaajili ya kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI.  Wafanyakazi wa Taasis...

Watu 1,089 wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo kambi maalumu ya Mhe. Makonda

Image
Wananchi kutoka mikoa mbalimbali ya Kaskazini wakiwa katika foleni ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu iliyoandaliwa na Ofisi ya Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Paul Makonda na kufanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. Jumla ya watu 1,089 wamepimwa moyo. Daktari wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) ambayo inasimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adda Justine akimpatia maelekezo mwananchi aliyefika kufanya uchunguzi wa afya wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu iliyoandaliwa na Ofisi ya Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Paul Makonda na kufanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. Jumla ya watu 1,089 wamepimwa moyo. Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Mhe. Paul Makonda akizungumza na wananchi waliokuwa wakisubiri kupata huduma katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu m...

Watu 1,200 wafanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo maonesho ya SABASABA

Image
Afisa huduma kwa Wateja Stephano Zavara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) akimsikiliza mwananchi aliyefika katika banda la JKCI wakati wa maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya Julius Kambarage Nyerere vilivyopo Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Happy Malunde akiwaelezea umuhimu wa kulinda afya ya moyo wanafunzi waliofika katika banda la JKCI wakati wa maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya Julius Kambarage Nyerere vilivyopo Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam   Mteknolojia wa maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Jordan Megabe akichukua vipimo vya dkwa kutoka kwa mwananchi aliyefika katika banda la JKCI wakati wa maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya Julius Kambarage Nyerere vilivyopo baraba...

JKCI yazindua mfumo wa kidijitali wa kufuatilia wagonjwa majumbani ujulikanao kama DOZEE mkoani Arusha

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimuonesha Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda shuka maalumu lijulikanalo kama DOZEE wakati wa uzinduzi wa shuka hilo kwaajili ya kuwahudumia wagonjwa wa Arusha wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo jijini Arusha Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimuonesha Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda shuka maalumu lijulikanalo kama DOZEE wakati wa uzinduzi wa shuka hilo kwaajili ya kuwahudumia wagonjwa wa Arusha wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo jijini Arusha Mwananchi wa Arusha akiwa amelala katika kitanda kilichowekwa shuka maalumu lijulikanalo kama DOZEE wakati wa uzinduzi wa shuka hilo kwaajili ya kuwahudumia wagonjwa wa Arusha uliofanyika katika k...