Posts

Huduma za Moyo zawafikia wananchi Njombe, DC atoa ombi Maalumu

Image
Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe. Juma Sweda akimsikiliza daktari bingwa wa magonjwa yatokanayo na kazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Elius Birago alipotembelea banda la Taasisi hiyo lililopo katika maonesho ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi ili kuona huduma za matibabu zinazotolewa. Daktari wa kinywa na meno wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Joachim Mvungi akichunguza kinywa cha mwananchi aliyejitokeza kufanya uchunguzi wa afya wakati wa maonesho ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mwema Mkoani Njombe. Afisa Masoko wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Rajabu Hamis akiwaelezea wakazi wa Njombe huduma zinazotolewa na Taasisi hiyo walipotembelea banda la JKCI lililopo katika maonesho ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mwema Mkoani Njombe. Na JKCI ******************************************************************************...

JKCI, Israel waimarisha huduma za upasuaji wa Moyo kwa watoto 252

Image
Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani akitoa historia ya JKCI kwa balozi wa Israel nchini Tanzania Mhe. Gideon Behar wakati alipotembelea Taasisi hiyo hiyo hivi  karibuni kwaajili ya kuona huduma za kibingwa za matibabu ya moyo zinazotolewa  pamoja na uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali ya Tanzania katika matibabu ya moyo.  Balozi wa Israel nchini Tanzania Mhe. Gideon Behar akiongea na waandishi wa habari wakati alipotembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) hivi karibuni kwaajili ya kuona huduma za kibingwa za matibabu ya moyo zinazotolewa pamoja na   uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali ya Tanzania katika matibabu ya moyo.  Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani akimkabidhi zawadi Balozi wa Israel nchini Tanzania Mhe. Gideon Behar  alipotembelea JKCI hivi karibuni kwaajili ya kuona huduma za kibingwa za matibabu ya moyo zinazotolewa p...

JKCI yapima Wanamichezo 482, Yatoa elimu ya aya ya Moyo

Image
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dar Group ambaye pia ni mratibu wa magonjwa ya moyo kwa wanamichezo Eva Wakuganda akisalimiana na Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam (DPA) Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Dkt. Lazaro Mambosasa wakati alipotembelea ofisini kwake kuaga na kuwasilisha ripoti ya mwenendo wa kambi maalumu ya siku tano ya upimaji wa magonjwa ya moyo kwa wanamichezo na Askari Polisi walioshiriki  mashindano ya Dkt. Mambosasa Cup yaliyomalizika hivi karibuni  jijini Dar es Salaam. Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dar Group Christina Yonatham akimsajili Askari Polisi wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam (DPA) wakati wa kambi maalumu ya upimaji wa magonjwa ya moyo kwa wanamichezo na Askari Polisi  walioshiriki mashindano ya Dkt. Mambosasa Cup yaliyomalizika hivi karibuni katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam (DPA). Wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ...

Madaktari waonya: Usisubiri dalili za Moyo zionekane ndipo uanze uchunguzi

Image
Daktari bingwa wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Theophilly Mushi  akitoa elimu ya jinsi ya kujikinga na magonjwa ya moyo kwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) wakati wa kambi maalumu ya elimu na uchunguzi wa afya kwa wafanyakazi wa LATRA iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam. Afisa Muuguzi mbobezi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Happiness Muragwa akimpima kiwango cha sukari kwenye damu Afisa Mfawidhi wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) Rukia Kibwana wakati wa kambi maalumu ya kutoa elimu na uchunguzi wa afya kwa wafanyakazi wa LATRA iliyofanyika jana  jijini Dar es Salaam. Daktari wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Edward Martin akitoa elimu ya magonjwa ya moyo kwa Kaimu Meneja Leseni za Usafiri wa Barabara wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) Pateli Ngereza wakati wa kambi maalumu ya kutoa elimu na uchunguzi wa afya kwa wafanyakazi wa LATRA iliyofanyika jana ...

Huduma za kibingwa za Moyo zawafikia wakazi wa Njombe

Image
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. Juma Mfanga akizungumza na Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group walioko Mkoani Njombe wanaotoa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali kwenye maonesho ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mwema vilivyopo mkoani humo. Daktari bingwa wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Moses Manumbu akimsikiliza mwananchi aliyefika katika banda la JKCI Hospitali ya Dar Group kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali zinazotolewa na taasisi hiyo katika maonesho ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mwema vilivyopo mjini Njombe. Wananchi wakipata huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group wakati wa maonesho ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mwema...

JKCI yawajengea uwezo viongozi katika usimamizi wa vihatarishi kwaajili ya ufanisi wa malengo

  Menejimenti ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)   inahudhuria mafunzo maalumu ya siku mbili yanayolenga   kuwajengea uwezo wa kutambua na kudhibiti vihatarishi vinavyoweza kujitokeza na kuathiri taasisi hiyo katika utoaji wa huduma bora kwa wagonjwa wanaowahudumia. Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dkt. Peter Kisenge   wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo Mkuu wa Kitengo cha Sheria Adv.   Maulid Kikondo alisema ni takwa la kisheria kwa taasisi za umma na binafsi kuwajengea uwezo viongozi wake ili waweze kutambua na kudhibiti hatari katika maeneo yao ya kazi sambamba na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi. Adv. Kikondo alisema mafunzo hayo ni muhimu kwa viongozi katika kulinda taasisi dhidi ya vihatarishi vinavyoweza kujitokeza ili waweze kufahamu mbinu bora za kukabiliana navyo na kuepusha usumbufu au kusitishwa kwa huduma za afya kwa wananchi. “Taasisi inapokuwa na viongozi wenye uelewa wa kutosha kuhusu usimamizi wa h...

Jamii yahimizwa kutambua vihatarishi vya magonjwa ya moyo mapema

Image
Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Rafael Kwileka akimsomea majibu mwananchi aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi wa afya ya siku tatu inayofanywa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo katika kliniki ya JKCI iliyopo Kariakoo jijini Dar es Salaam.  Mhudumu wa Afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Halima Shaban akimpima uwiano wa urefu na uzito mwananchi aliyejitokeza kufanya uchunguzi wa afya wakati wa kambi maalumu ya siku tatu ya uchunguzi wa afya inayofanywa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo katika kliniki ya JKCI iliyopo Kariakoo jijini Dar es Salaam.  Mtunza kumbukumbu za afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Emiliana Roshy akimsajiri mwananchi aliyejitokeza kufanya uchunguzi wa afya wakati wa kambi maalumu ya siku tatu ya uchunguzi wa afya inayofanywa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Jumu...