JKCI na ABC Group kushirikiana kufikisha huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya ABC Group Mohammed Shareef wakisaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kuwatibu wateja wa ABC Group Tanzania kwa punguzo la asilimia 20, uliofanyika katika ofisi za ABC jijini leo Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiongea na waandishi wa habari wakati wa hafla fupi ya kusaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano kati ya JKCI na Kampuni ya ABC Group kuwatibu wateja wa ABC kwa punguzo la asilimia 20 iliyofanyika leo katika ofisi za ABC zilizopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akipokea hundi kuashiria ushirikiano kati ya Taasisi hiyo na kampuni ya ABC Group mara baada ya hafla fupi ya kusaini mkataba wa ushirikiano kuwatibu wateja wa ABC kwa punguzo la asilimia 20 iliyofanyika leo ofisi za ABC zilizopo jijini Dar es...