JKCI yahimiza kupima afya mapema: Fursa adimu kwa washiriki wa mkutano wa e-GA
Mkurugezi wa Tiba Shirikishi wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) Salehe Mwinchete akipokea zawadi kutoka kwa Afisa mwendesha ofisi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Getrude Shirima wakati wa kambi maalumu ya siku tatu ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika Kikao kazi cha 6 cha Serikali Mtandao kinachofanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Arusha (AICC). Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Sahiya Yahya akitoa ushauri wa kiafya kwa mfanyakazi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) wakati wa kambi maalumu ya siku tatu ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika Kikao kazi cha 6 cha Serikali Mtandao kinachofanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Arusha (AICC). Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Epifania Mlay akimpima shinikizo la damu (BP) Mfanyakazi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) aliyehudhuria kambi maalumu ya siku tatu ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika Kikao Kazi cha 6 cha Serikali Mtandao kinachofa...