Wafanyakazi JKCI wahimizwa kujifunza mbinu mpya kukuza huduma za moyo
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi hiyo wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa JKCI jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ghati Chacha akizungumza na wafanyakazi wa taasisi hiyo kuhusu umuhimu wa kujaza taarifa zao za kazi katika mfumo wa PEPMIS wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo jijini Dar es Salaam. Afisa Uhasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adamu Sembe akitoa taarifa kuhusu fedha wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo jijini Dar es Salaam. Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi hiyo Dkt. Peter Kisenge wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa JKCI jijini Dar es Salaam. N a JKCI *...