Watu 546 wapimwa Namba Zao katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma Dodoma
Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyokuwa yakifanyika katika Viwanja vya Chinangali Park na kumalizika leo jijini Dodoma. Jumla ya watu 546 wamepimwa Namba Zao. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Bakar Mohamed akimpima shinikizo la damu mwananchi aliyefika katika banda la Taasisi hiyo kwaajili ya kujua Namba Zake wakati wa maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyokuwa yakifanyika katika Viwanja vya Chinangali Park na kumalizika leo jijini Dodoma. Jumla ya watu 546 wamepimwa Namba Zao. Wananchi wakiendelea kupata elimu kuhusu Namba Zao katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyokuwa yakifanyika katika Viwanja vya Chinangali Park na kumalizika leo jijini Dodoma. Jumla ya watu 546 wamepimwa Namba Zao. Na JKCI *******************************************************************************...