Mkutano wa CardioTan Imaging 2026 Kujadili Matumizi ya Akili Unde matibabu ya moyo
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusu Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo – CardioTan Imaging 2026 utakaofanyika tarehe 4 hadi 6 mwezi Juni mwaka huu katika ukumbi wa Blue Sapphire Jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo – CardioTan Imaging 2026, Iddi Lemah akizungumza na waandishi wa habari leo kuelekea mkutano huo utakaofanyika tarehe 4 hadi 6 mwezi Juni mwaka huu katika Ukumbi wa Blue Sapphire jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Engerasia Kifai akizungumza na waandishi wa habari kuhusu umuhimu wa Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo – CardioTan Imaging 2026 utakaofanyika tarehe 4 hadi 6 mwezi Juni mwaka huu katika Ukumbi wa Blue Sapphire jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Idara ya magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akiz...