JKCI kuanzisha Kitengo cha matibabu ya moyo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe (NRRH).
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na kamati ya kuanzisha huduma za matibabu ya moyo katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa Njombe (NRRH) wakati wa kikao cha kujadili ushirikiano kati ya JKCI na NRRH kilichofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), wataalamu wa afya wa mkoa wa njombe na wafanyakazi wa hospitali ya rufaa ya mkoa Njombe (NRRH) wakisikiliza wakati wa kikao cha kujadili ushirikiano wa kuanzisha huduma za matibabu ya moyo kati ya JKCI na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Njombe jana jijini Dar es Salaam. Mganga Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. Juma Mfanga akizungumza na kamati ya kuanzisha huduma za matibabu ya moyo katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa Njombe (NRRH) wakati wa kikao cha kujadili ushirikiano kati ya JKCI na NRRH kilichofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Hospitali ya JKCI...