Viongozi CAF watembelea JKCI, walidhishwa na huduma zinazotolewa
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge, Meneja wa Tiba wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Dkt. Boubakary Sidiki, ujumbe wa CAF na baadhi ya wafanyakazi wa JKCI wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa ziara iliyofanywa na uongozi wa CAF kuangalia huduma na miundombinu ya JKCI kuelekea michuano ya AFCON itakayofanyika mwakani nchini Tanzania. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimuonesha Meneja wa Tiba wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Dkt. Boubakary Sidiki moja ya chumba cha VIP wakati ujumbe kutoka CAF ulipofanya ziara katika Taasisi hiyo kuangalia huduma na miundombinu ya JKCI kuelekea michuano ya AFCON itakayofanyika mwakani nchini Tanzania . Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimueleza Meneja wa Tiba wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Dkt. Boubakary Sidiki huduma zinazofanyika katika maabara...