Benki ya Absa yachangia milioni 20 matibabu ya watoto wanaotibiwa JKCI
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akipokea hati ya makubaliano ya shilingi milioni 20 kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania Obedi Laiser kwaajili ya kuwasaidia watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa katika taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza wakati wa hafla fupi ya kusaini na kupokea hati ya makubaliano ya shilingi milioni 20 kutoka Benki ya Absa kwaajili ya kuwasaidia watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa katika taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania Obedi Laiser akizungumza wakati wa hafla fupi ya kusaini na kukabidhi hati ya makubaliano ya shilingi milioni 20 kwaajili ya kuwasaidia watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt....