Afya kwanza! JKCI Dar Group yawafikia watu 527 Kijichi
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimjulia hali bibi aliyefika katika kambi maalumu ya siku tatu ya uchunguzi wa afya iliyomalizika hivi karibuni Kijichi wilaya ya Temeke na. Zaidi ya watu 500 wamefanyiwa uchunguzi wa afya katika kambi hiyo. Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dar Group Steven Kihoko akimpima kiwango cha sukari kwenye damu mwananchi aliyefika katika kambi maalumu ya siku tatu ya uchunguzi wa afya iliyomalizka hivi karibuni Kijichi wilayani Temeke ambapo zaidi ya watu 500 wamefanyiwa uchunguzi wa afya katika kambi hiyo. Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Abderahman Njale akimpima mfumo wa umeme wa moyo mwananchi aliyefika katika kambi maalumu ya siku tatu ya uchunguzi wa afya iliyomalizka hivi karibuni Kijichi wilayani Temeke ambapo zaidi ya watu 500 wamefanyiwa uchunguzi wa afya katika kambi hiyo. Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ...