JKCI yawataka wananchi kufanya uchunguzi wa afya, kujua namba zao
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Edna Kajuna akimuelezea huduma za upasuaji wa moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo Rais wa Shirikisho la Vyama vya Kinywa na Meno Duniani (FDI) Prof. Dkt. Nikolai Sharkov alipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya kimataifa ya vifaa tiba na huduma za kinywa na meno (Dental Expo 2026) yanayofanyika katika viwanja vya Mlimani City Jijini Dar es Salaam. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Edna Kajuna akimuelezea mkazi wa Tabata Mussa Mrisho namna betri ya moyo (Pace maker) inavyofanya kazi alipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa waonesho ya kimataifa ya vifaa tiba na huduma za kinywa na meno (Dental Expo 2026) yanayofanyika katika viwanja vya Mlimani City Jijini Dar es Salaam. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Edna Kajuna akitoa elimu ya ‘Jua Namba Zako’ kwa baadhi ya washiriki wa waonesho ya kimataifa ya vifaa tiba na huduma za kinywa na meno (Dental Expo 2026) yanayofanyik...