Wananchi wahimizwa kutumia kampeni ya “Jua Namba Zako” kupima afya zao SABASABA
Mwenyekiti Tume ya Madini Dkt. Janeth Lekashingo akimsikiliza Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Edna Kajuna alipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Juliaus Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Afisa Tehama wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Kliniki ya Oysterbay Suleiman Jafari akimuelezea namna shuka maalumu la Dozee linavyofanya kazi Mwenyekiti Tume ya Madini Dkt. Janeth Lekashingo alipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Juliaus Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Daktari wa wagonjwa wa dharura wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospital ya Dar Group Peace Masaoe akimuelezea huduma za dharura zinazotolewa na Taasisi hiyo Mwenyekiti Tume ya Madini Dkt. Janeth Le...