Viatu vyenye kisigino kirefu hatari kwa afya ya magoti.
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Beatrice Nangawe akitoa elimu ya afya bora kwa wafanyakazi wa Bohari ya Dawa (MSD) wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzi wa afya iliyofanyika hivi karibuni katika ofisi za MSD Kanda ya Mabibo jijini Dar es Salaam. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mohamed Aloyce akimpa ushauri mmoja wa wafanyakazi wa Bohariy a Dawa (MSD) wakati wa kambi maalumu ya uchunguzi wa afya iliyofanyika hivi karibuni katika ofisi za MSD Kanda ya Mabibo jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Theophilly Mushi akitoa elimu kuhusu magonjwa ya moyo kwa wafanyakazi wa Bohari ya Dawa (MSD) wakati wa kambi maalumu ya uchunguzi wa afya iliyokuwa ikifanywa na wataalamu wa JKCI hivi karibuni katika ofisi za MSD Kanda ya Mabibo jijini Dar es Salaam. Mtaalamu wa mazoezi tiba wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Da...