JKCI yazindua mfumo wa kidijitali wa kufuatilia wagonjwa majumbani ujulikanao kama DOZEE mkoani Arusha
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimuonesha Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda shuka maalumu lijulikanalo kama DOZEE wakati wa uzinduzi wa shuka hilo kwaajili ya kuwahudumia wagonjwa wa Arusha wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo jijini Arusha Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimuonesha Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda shuka maalumu lijulikanalo kama DOZEE wakati wa uzinduzi wa shuka hilo kwaajili ya kuwahudumia wagonjwa wa Arusha wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo jijini Arusha Mwananchi wa Arusha akiwa amelala katika kitanda kilichowekwa shuka maalumu lijulikanalo kama DOZEE wakati wa uzinduzi wa shuka hilo kwaajili ya kuwahudumia wagonjwa wa Arusha uliofanyika katika k...