JKCI yawahimiza Wafanyakazi kupima Afya mara kwa mara kuepuka magonjwa yasiyoambukiza
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi zawadi ya mashine ya kupimia shinikizo la damu, joto la mwili na kiwango cha sukari Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Lucius Mwenda mara baada ya kumaliza kutoa elimu ya kujikinga na magonjwa ya moyo wakati wa zoezi la upimaji wa afya kwa watumishi wa Wizara hiyo jijini Dodoma. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter Kisenge akitoa elimu kuhusu magonjwa ya moyo kwa wafanyakazi wa Wizara ya Fedha wakati wa zoezi la upimaji wa afya kwa watumishi wa Wizara hiyo jijini Dodoma. Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha Lucius Mwenda akizungumza na wafanyakazi wa wizara hiyo mara baada ya kupata elimu ya kujikinga na magonjwa ya moyo wakati wa zoezi la upimaji wa afya kwa watumishi wa Wizara ya Fedha jijini Dodoma. Mtaalamu wa Maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)Glory Mtui akimchukua sampuli ya damu Afisa ...