Watu 1,200 wafanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo maonesho ya SABASABA
Afisa huduma kwa Wateja Stephano Zavara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) akimsikiliza mwananchi aliyefika katika banda la JKCI wakati wa maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya Julius Kambarage Nyerere vilivyopo Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Happy Malunde akiwaelezea umuhimu wa kulinda afya ya moyo wanafunzi waliofika katika banda la JKCI wakati wa maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya Julius Kambarage Nyerere vilivyopo Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam Mteknolojia wa maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Jordan Megabe akichukua vipimo vya dkwa kutoka kwa mwananchi aliyefika katika banda la JKCI wakati wa maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya Julius Kambarage Nyerere vilivyopo baraba...