China kutumia shilingi bilioni 112 kujenga Jengo jipya la JKCI Mloganzila
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimpatia zawadi mhandisi kutoka Jamhuri ya Watu wa China Zhang Ziying wakati wa kikao na ujumbe wa wahandisi kutoka China kujadili mradi wa ujenzi wa jengo jipya la JKCI litakalojengwa katika eneo la mloganzila jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akielezea mafanikio ya Taasisi hiyo wakati wa kikao na ujumbe wa wahandisi kutoka Jamhuri ya Watu wa China kujadili mradi wa ujenzi wa jengo jipya la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) litakalojengwa katika eneo la mloganzila jijini Dar es Salaam. Mwakilishi kutoka Ubalozi wa China Nchini Tanzania Yang Zeyu akizungumza wakati wa kikao na Ujumbe wa wahandisi kutoka nchini China kujadili mradi wa ujenzi wa jengo jipya la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) litakalojengwa katika eneo la mloganzila jijini Dar es Salaam. Mkuu wa mradi wa ujenzi wa jengo jipya la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)...