Jengo la Utawala na Vipimo lenye thamani ya Tshs Bilioni 9.7 lazinduliwa kuimarisha huduma za moyo nchini
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa na Mwenyekiti wa bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Hassan Mshinda wakizindua jengo la Utawala na Vipimo wakati wa hafla fupi ya kuzindua jengo hilo iliyofanyika jana katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa akiangalia moja ya mashine inayotumia akili unde kufanya uchunguzi wa afya wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa jengo la Utawala na Vipimo iliyofanyika jana katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa akiangalia moja ya mashine inayotumia akili unde kufanya uchunguzi wa afya wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa jengo la Utawala na Vipimo iliyofanyika jana katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa magonjwa ya figo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Frida Moyo akimuelezea Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa huduma zinazo...