Posts

Viatu vyenye kisigino kirefu hatari kwa afya ya magoti.

Image
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Beatrice Nangawe akitoa elimu ya afya bora kwa wafanyakazi wa Bohari ya Dawa (MSD) wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzi wa afya iliyofanyika hivi karibuni katika ofisi za MSD Kanda ya Mabibo jijini Dar es Salaam. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mohamed Aloyce akimpa ushauri mmoja wa wafanyakazi wa Bohariy a Dawa (MSD) wakati  wa kambi maalumu ya uchunguzi wa afya iliyofanyika hivi karibuni katika ofisi za MSD Kanda ya Mabibo jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Theophilly Mushi  akitoa elimu kuhusu magonjwa ya moyo kwa wafanyakazi wa Bohari ya Dawa (MSD) wakati wa kambi maalumu ya uchunguzi wa afya iliyokuwa ikifanywa na wataalamu wa JKCI hivi karibuni katika ofisi za MSD Kanda ya Mabibo jijini Dar es Salaam. Mtaalamu wa mazoezi tiba wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Da...

JKCI na TTB kushirikiana kukuza Utalii Tiba nchini

Image
Mkurungenzi Mkuu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Ephraim Mafuru akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge alipotembelea taasisi hiyo jana kwaajili ya kuona namna ya kushirikiana katika kukuza utalii tiba nchini.  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akielezea namna JKCI inafanya utalii tiba nchini wakati wa kikao cha ushirikiano na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) katika kukuza utalii tiba nchini kilichofanyika jana   katika Kliniki ya JKCI Osterbay iliyopo jijini Dar es salaam. Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi zawadi Mkurungenzi Mkuu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Ephraim Mafuru mara baada ya kumalizika kwa kikao cha ushirikiano kati ya taasisi hizo mbili katika kukuza utalii tiba nchini kilichofanyika jana JKCI Kliniki ya Osterbay iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kiseng...

Wagonjwa 138,699 watibiwa Hospitali ya JKCI Dar Group mwaka 2025

Image

Watu 138,699 wapata huduma za matibabu Hospitali ya Dar Group mwaka 2025

Image
Mkurugenzi wa Hospitali ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Dkt. Tulizo Shemu akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya hospitali hiyo kwa mwaka 2025 leo wakati wa mkutano huo uliofanyika katika hospitali hiyo iliyopo Tazara jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group wakisikiliza wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya hospitali hiyo kwa mwaka 2025 uliofanyika leo JKCI Hospitali ya Dar Group iliyopo Tazara jijini Dar es Salaam. Na: JKCI *********************************************************************************************************** Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group imetoa huduma za upimaji na matibabu ya magonjwa mbalimbali kwa watu 138,699 kwa mwaka 2025.   Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Hospitali ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Dkt. Tu...

JKCI kutoa huduma za matibabu ya moyo bila gharama IST Festival

Image

Huduma za uchunguzi wa magonjwa ya moyo kutolewa IST Festival

Image

Viongozi wa JKCI SACCOS watakiwa kufanya uwekezaji

Image
Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tulizo Shemu akizungumza na wanachama wa SACCOS hiyo wakati wa mkutano mkuu wa sita uliofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa PSSF uliopo Makumbusho jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwaeleza wanachama wa SACCOS ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) umuhimu wa kuwekeza wakati wa mkutano Mkuu sita wa Chama hicho uliofanyika   mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa PSSF uliopo Makumbusho jijini Dar es Salaam.  Afisa Ushirika wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Abdulhakim Haidar akitoa ufafanuzi kuhusu uwekezaji kwa wanachama wa SACCOS ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa mkutano mkuu wa sita wa SACCOS hiyo uliofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa PSSF uliopo Makumbusho jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa SACCOS ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Sophia Bishashara akichangia mada wakati wa mkutano mkuu ...