Posts

JKCI yafanya upasuaji wa Nikaidoh kwa mtoto wa miaka miwili

Image
  Wataalamu wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimfanyia upasuaji wa moyo mtoto wa miaka miwili (Nikaidoh Operation) kwa kushirikiana na daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Uturuki Ahmet Sasmazel wa Mradi wa Liitle Aid wa Shirika la Muntada Aid jijini Dar es Salaam. Mama wa mtoto Deus Mgonzo, Witness Kibuga akiwa na Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Idd Kimaro katika chumba cha ungalizi wa watoto (PICU) alipolazwa mtoto huyo jijini Dar es Salaam Picha na JKCI *********************************************************************************************************** Na Mwandishi Maalumu-Dar es Salaam Kwa mara ya kwanza watalamu wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na mwenzao kutoka Mradi wa Little Heart wa Shirika la Muntada lililopo nchini Uingereza Dkt. Ahmet Sasmazel wamemfanyia upasuaji wa moyo mtoto aliyezaliwa na mishipa miwili mikubwa ya damu inayotoka kwenye moyo kupishana (Nikaido...

Watu 1,005 wapimwa moyo na macho Arusha

Image
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI – ALMC) Dkt. Godwin Kivuyo akimjulia hali mwananchi aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza iliyokuwa ikifanyika katika Hospitali ya JKCI-ALMC na kumalizika jana jijini Arusha. Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI – ALMC) Dkt. Godwin Kivuyo akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha waliofika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza iliyokuwa ikifanyika katika Hospitali ya JKCI-ALMC na kumalizika jana jijini Arusha. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI - ALMC) Beatrice Mshana akimpima joto la mwili mwananchi wa mkoa wa Arusha aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza Iliyokuwa ikifanyika katika Hospitali ya JKCI-ALMC na kumalizika jana jijini Aru...

JKCI-ALMC na GSM Foundation wapongezwa kuendesha kambi ya matibabu mkoani Arusha

Image
Fundi sanifu wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI – ALMC) Rosemary Leonard akimpima kipimo cha kuangalia jinsi mfumo wa umeme wa moyo unavyofanya kazi (Electrocardiography – ECG) mkazi wa Arusha aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza inayofanyika katika Hospitali ya JKCI-ALMC iliyopo jijini Arusha. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI - ALMC) Fabian Bura akimpima shinikizo la damu mkazi wa Arusha aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza inayofanyika katika Hospitali ya JKCI-ALMC iliyopo jijini Arusha. Daktari wa macho wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI - ALMC) Wilen Wilson akimpima kipimo cha miwani mkazi wa Arusha aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza inayofanyika katika Hospitali ya JKCI-...

Kwa mara ya kwanza JKCI yafanya upasuaji wa myo kwa mtoto wa siku mbili

Image
  Wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao kutoka mradi wa Little Heart wa Shirika la Muntada Aid  kutoka nchini Uingereza wakimfanyia upasuaji wa kuziba tundu lililopo kwenye moyo wa mtoto   wakati wa kambi maalumu ya siku sita iliyokuwa ikifanyika katika Taasisi hiyo na kumalizika jana jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakisikiliza wakati wa kuhitimisha kambi maalumu ya siku sita ya upasuaji wa moyo kwa watoto iliyokuwa ikifanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao kutoka  mradi wa Little Heart  wa Shirika la Muntada Aid kutoka nchini Uingereza na kumalizika jana jijini Dar es Salaam Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akiwa katika picha ya pamoja na wataalamu wa afya wa JKCI na wenzao kutoka mradi wa Little Heart wa Shirika la Muntada Aid lenye makao yake nchini Uingereza mara baada ya kuhitimisha kambi maalumu...

Watu 200 wanufaika na huduma ya uchunguzi na matibabu ya macho Arusha

Image
Daktari bingwa wa macho wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI - ALMC) John Njelango akimpima kipimo cha kuchunguza macho mwananchi aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza inayofanyika katika Hospitali hiyo iliyopo jijini Arusha. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI - ALMC) Fabian Bura akimsaidia mkazi wa Arusha aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza kwaajili ya kufanya uchunguzi wa afya inayofanyika katika Hospitali iliyopo jijini Arusha. Mhudumu wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI - ALMC) Ombeni Daniel akimpima joto la mwili mkazi wa Arusha aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza inayofanyika katika Hospitali hiyo iliyopo jijini Arusha. Baadhi ya wananchi wa mkoa wa Arusha wakisoma vipeperush...

Asilimia 30 ya watu wenye magonjwa yasiyoambukiza wanaotibiwa JKCI hutoka Kanda ya Kaskazini

Image
Daktari wa macho wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI – ALMC) John Moteswa akimuonesha Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya GSM Foundation Faith Gugu kifaa maalum kinachotumika kufanya uchunguzi wa macho (Slit Lamp) alipotembelea kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza inayofanyika katika Hospitali ya JKCI-ALMC jijini Arusha. Kaimu Mkurugenzi wa Tiba na Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Dharura wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI – ALMC) Peter Mabula akimueleza Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya GSM Foundation Faith Gugu huduma zinazotolewa katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza inayofanyika katika Hospitali ya JKCI-ALMC jijini Arusha. Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI – ALMC) Veronica Masandika akimpima mapigo ya moyo mwananchi aliyefika kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya magonj...

Watu 303 wapimwa moyo mkoani Manyara

Image
  Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Evelyne Furumbe akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiography - ECHO) mtoto wakati wa kambi maalumu ya siku 5 ya uchunguzi na matibabu ya moyo ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba iliyokuwa ikifanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara (MRRH) na kimalizika hivi karibuni. Mtaalamu wa vipimo vya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Loyce Gideon akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi mkazi wa Manyara aliyefika katika kambi maalumu ya siku 5 ya uchunguzi na matibabu ya moyo ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba iliyokuwa ikifanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara (MRRH) na kumalizika hivi karibuni. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Geofrey Mohammed akiz...