JKCI yatoa huduma za uchunguzi wa afya Bonanza la NBC
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ditram Mgimba akimpima uwiano wa urefu kwa uzito (BMI) mkazi wa Dar es Salaam aliyefika katika viwanja vya Police Office Mess Oysterbay wakati wa bonanza la NBC kuelekea mbio za NBC zitakazofanyika Julai 26 mwaka huu kwaajili ya kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa na JKCI Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Moris Budotela akimuelezea umuhimu wa kupima afya mkazi wa Dar es Salaam aliyefika katika viwanja vya Police Office Mess Oysterbay wakati wa bonanza la NBC kuelekea mbio za NBC zitakazofanyika Julai 26 mwaka huu kwaajili ya kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa na JKCI. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ditram Theodory Mgimba akimpima shinikizo la damu mkazi wa Dar es Salaam aliyefika katika viwanja vya Police Office Mess Oysterbay wakati wa bonanza la NBC kuelekea mbio za NBC zitakazofanyika Julai 26 mwaka huu kwaajili ya kuchangia matib...