DC Ubungo, msanii wa mziki G Nako wahamasisha wananchi kujua Namba Zao za Afya
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimpima shinikizo la damu msanii wa Bongo Fleva George Mdemu almaarufu kama G Nako alipofika katika Taasisi hiyo tawi la Oysterbay kwaajili ya kufanya uchunguzi wa afya. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Albert Msando pamoja na msanii wa bongo fleva George Mdemu almaarufu kama G Nako alipofika katika Taasisi hiyo tawi la Oysterbay kwaajili ya kufanya uchunguzi wa afya. Mtaalamu wa Maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) tawi la Osterbay Jesca Mlay akimtoa damu msanii wa bongo fleva George Mdemu maarufu kama G Nako alipofika katika Taasisi hiyo tawi la Oysterbay kwaajili ya kufanya uchunguzi wa afya. Picha Na JKCI *************************************************************************************************************************************************************** Mkuu wa Wilaya ya Ubu...