Wafungwa zaidi ya 600 Gereza kuu Ukonga kupimwa moyo
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza na Mkuu wa Kitengo cha Afya Nsajigwa Mwankenja na baadhi ya askari magereza wa Gereza Kuu Ukonga wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa kambi maalumu ya upimaji na matibabu ya magonjwa ya moyo inayoendelea kwa wafungwa wa Gereza hilo. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kambi maalumu ya upimaji na matibabu ya magonjwa ya moyo inayofanyika kwa wafungwa wa Gereza Kuu Ukonga leo jijini Dar es Salaam. Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza na Mkuu wa Kitengo cha Afya Nsajigwa Mwankenja akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kambi maalumu ya upimaji na matibabu ya magonjwa ya moyo inayofanyika kwa wafungwa wa Gereza Kuu Ukonga leo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akisaini kitabu cha wageni alipofika k...