Posts

JKCI na ABC Group kushirikiana kufikisha huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya ABC Group Mohammed Shareef wakisaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kuwatibu wateja wa ABC Group Tanzania kwa punguzo la asilimia 20, uliofanyika katika ofisi za ABC jijini leo Dar es Salaam.   Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiongea na waandishi wa habari wakati wa hafla fupi ya kusaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano kati ya JKCI na Kampuni ya ABC Group kuwatibu wateja wa ABC kwa punguzo la asilimia 20 iliyofanyika leo katika ofisi za ABC zilizopo jijini Dar es Salaam.   Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akipokea hundi kuashiria ushirikiano kati ya Taasisi hiyo na kampuni ya ABC Group mara baada ya hafla fupi ya kusaini mkataba wa ushirikiano kuwatibu wateja wa ABC kwa punguzo la asilimia 20 iliyofanyika leo ofisi za ABC zilizopo jijini Dar es...

JKCI kufungua tawi DRC Congo

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimpatia zawadi Gavana wa jimbo la Maniema la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mhe. Mussa Kabwankubi Moise alipotembelea Taasisi hiyo leo kwaajili ya kuona huduma zinazotolewa pamoja na kuangalia namna ya kushirikiana na Taasisi hiyo kukuza huduma za moyo nchini Congo. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na balozi wa Tanzania katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mhe. Said Juma Mshana na Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo nchini Tanzania Mhe. Prof. Jean Pierre Massala walipotembela Taasisi hiyo leo kwaajili ya kuona huduma zinazotolewa pamoja na kuangalia namna ya kushirikiana na Taasisi hiyo kukuza huduma za moyo nchini Congo. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na Gavana wa jimbo la Maniema la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mhe. Mussa Kabwankubi Moise alipotem...

Wafanyabiashara Kariakoo Kunufaika na Huduma za Afya Baada ya JKCI Kufungua Kliniki Mpya

Image
Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Hassan Mahmoud Mshinda pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge wakikata utepe leo wakati wa ufunguzi wa kliniki mpya ya JKCI  iliyopo katika Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam.    Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Alex Msoka akiwaelezea viongozi huduma zitakazotolewa katika kliniki mpya ya JKCI iliyofunguliwa leo katika Soko Kuu la Kariakoo lililopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wadau waliofika katika ufunguzi wa kliniki mpya ya JKCI iliyopo katika Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Hassan Mahmoud Mshinda akizungumza na waandishi wa habari wakati wa ufunguzi wa Kliniki mpya ya JKCI leo katika Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taa...

Siku ya Msikilizaji Habari Maalum Media yaleta uchunguzi wa Moyo bure Ngaramtoni

Image
Matroni wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center (ALMC) inayosimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Sr.  Flora Kasembe akitoa elimu ya magonjwa ya moyo kwa wananchi waliohudhuria maadhimisho ya Siku ya Msikilizaji yaliyoandaliwa na Habari Maalum Media na kufanyika Ngaramtoni jijini Arusha.   Wakazi wa Arusha wakisubiri kupata huduma ya upimaji wa magonjwa ya moyo iliyokuwa inatolewa na wataalamu wa  Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center (ALMC) inayosimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa  maadhimisho ya Siku ya Msikilizaji yaliyoandaliwa na Habari Maalum Media na kufanyika Ngaramtoni jijini Arusha. Matroni wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center (ALMC) inayosimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Sr. Flora Kasembe akimpima shinikizo la damu mkazi wa Arusha wakati wa maadhimisho ya Siku ya Msikilizaji iliyoandaliwa na Habari Maalum Media na kufanyika Ngaramtoni jijini Arusha. Na JKCI ***********************...

Watu 253 wafanyiwa uchunguzi wa afya mkutano wa e-GA

Image
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akimpatia tuzo Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) ambayo kwa sasa inasimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Salehe Mwinchete kutambua na kuthamini mchango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa kufunga kikao kazi cha sita cha Serikali Mtandao kilichofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Arusha (AICC) jijini Arusha.  Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Sahiya Yahya akimsikiliza mmoja wa wafanyakazi aliyepata huduma wakati wa kambi maalumu ya siku tatu ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha sita cha Serikali Mtandano kilichofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Arusha (AICC) jijini Arusha. Mtaalamu wa vipimo vya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Beatrice Mwakabende akimpima mmoja wa wafanyakazi aliyefika katika kambi maalumu ya siku tatu ya uch...

JKCI yahimiza kupima afya mapema: Fursa adimu kwa washiriki wa mkutano wa e-GA

Image
Mkurugezi wa Tiba Shirikishi wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) Salehe Mwinchete akipokea zawadi kutoka kwa Afisa mwendesha ofisi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Getrude Shirima wakati wa kambi maalumu ya siku tatu ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika Kikao kazi cha 6 cha Serikali Mtandao kinachofanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Arusha (AICC). Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Sahiya Yahya akitoa ushauri wa kiafya kwa mfanyakazi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) wakati wa kambi maalumu ya siku tatu ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika Kikao kazi cha 6 cha Serikali Mtandao kinachofanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Arusha (AICC). Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Epifania Mlay akimpima shinikizo la damu (BP) Mfanyakazi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) aliyehudhuria  kambi maalumu ya siku tatu ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika Kikao Kazi cha 6 cha Serikali Mtandao kinachofa...

JKCI yaiweka Tanzania kwenye ramani ya Afrika kwa upasuaji wa Moyo wa kisasa

Image
  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi zawadi  Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi hiyo Dkt. Hassan Mahmoud Mshinda alipotembelea JKCI kwa mara ya kwanza leo kwaajili ya kuona utendaji kazi pamoja na kukutana na viongozi.   Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimweleza utendaji kazi wa taasisi hiyo     Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wadhamini ya JKCI     Dkt. Hassan Mahmoud Mshinda alipotembelea taasisi hiyo     kwa mara ya kwanza leo kwaajili ya kuona utendaji kazi pamoja na kukutana na viongozi.  Baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiza Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wadhamini ya JKCI Dkt. Hassan Mahmoud Mshinda alipotembelea taasisi hiyo     kwa mara ya kwanza leo kwaajili ya kuona utendaji kazi pamoja na kukutana na viongozi. *************************************************************...