Posts

Watu 303 wapimwa moyo mkoani Manyara

Image
  Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Evelyne Furumbe akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiography - ECHO) mtoto wakati wa kambi maalumu ya siku 5 ya uchunguzi na matibabu ya moyo ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba iliyokuwa ikifanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara (MRRH) na kimalizika hivi karibuni. Mtaalamu wa vipimo vya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Loyce Gideon akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi mkazi wa Manyara aliyefika katika kambi maalumu ya siku 5 ya uchunguzi na matibabu ya moyo ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba iliyokuwa ikifanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara (MRRH) na kumalizika hivi karibuni. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Geofrey Mohammed akiz...

Wataalamu wa JKCI wafanya ukaguzi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe (NRRH), maandalizi ya kuanzisha huduma bingwa za moyo

Image
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe (NRRH) Dkt. Gilbert Kwesi akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa wa Uhakiki na Udhibiti Ubora kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wafanyakazi wa NRRH wakati maafisa hao walipotembelea Hospitali hiyo kwaajili ya kufanya ukaguzi wa maandalizi ya kutoa huduma bingwa za magonjwa ya moyo Mkoani Njombe. Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe (NRRH) Dkt. Gilbert akizungumza na Maafisa wa Uhakiki na Udhibiti Ubora kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati maafisa hao walipotembelea Hospitali hiyo kwaajili ya kufanya ukaguzi wa maandalizi ya kutoa huduma bingwa za magonjwa ya moyo Mkoani Njombe. Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uhakiki na udhibigti ubora wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adelphina Ncheye akielezea namna ukaguzi wa maandalizi ya huduma za matibabu ya moyo utakavyofanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe (NRRH) wakati maafisa wa Uhakiki na Udhibiti Ubora kutoka JKCI walipote...

JKCI yafanya upasuaji wa moyo bila kusimamisha moyo kwa wagonjwa watano wenye matatizo ya mishipa ya damu ya moyo kuziba

Image
  Wataalamu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Jaslok iliyopo Mumbai nchini India Upendra Bhalerao waki pandikiza mshipa wa damu kwenye moyo bila kusimamisha moyo (off Pump CABG) kwa mgonjwa aliyefika katika taasisi hiyo wakati wa kambi maalumu ya siku tano jijini Dar es Salaam. Wataalamu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Jaslok iliyopo Mumbai nchini India Upendra Bhalerao waki pandikiza mshipa wa damu kwenye moyo bila kusimamisha moyo (off Pump CABG) kwa mgonjwa aliyefika katika taasisi hiyo wakati wa kambi maalumu ya siku tano jijini Dar es Salaam. Wataalamu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Jaslok iliyopo Mumbai nchini India Upendra Bhalerao waki pandikiza mshipa wa damu kwenye moyo bila kusimamisha moyo (off ...

JKCI yaandika historia yafanya upasuaji wa mshipa mkubwa wa damu (Aorta) kwa kutumia mtambo wa cathlab

Image
Wataalam wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na mwenzao kutoka nchini India Dkt. Gireesh Mukund Warawdekar wakifanya upasuaji wa tundu dogo kwa kutumia mtambo wa cathlab kuziba mshipa mkubwa wa damu (Aorta) ambao ulichanika kutokana na ajali raia kutoka Jamhuri ya Watu wa China. Wataalam wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na mwenzao kutoka nchini India Dkt. Gireesh Mukund Warawdekar wakifanya upasuaji wa tundu dogo kwa kutumia mtambo wa cathlab kuziba mshipa mkubwa wa damu (Aorta) ambao ulichanika kutokana na ajali raia kutoka Jamhuri ya Watu wa China. Wataalam wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na mwenzao kutoka nchini India Dkt. Gireesh Mukund Warawdekar wakifanya upasuaji wa tundu dogo kwa kutumia mtambo wa cathlab kuziba mshipa mkubwa wa damu (Aorta) ambao ulichanika kutokana na ajali raia kutoka Jamhuri ya Watu wa China. Picha Na ************************************************************************************************************************* Wataalamu wa T...

JKCI kuanzisha Kitengo cha matibabu ya moyo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe (NRRH).

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na kamati ya kuanzisha huduma za matibabu ya moyo katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa Njombe (NRRH) wakati wa kikao cha kujadili ushirikiano kati ya JKCI na NRRH kilichofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), wataalamu wa afya wa mkoa wa njombe na wafanyakazi wa hospitali ya rufaa ya mkoa Njombe (NRRH) wakisikiliza wakati wa kikao cha kujadili ushirikiano wa kuanzisha huduma za matibabu ya moyo kati ya JKCI na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Njombe jana jijini Dar es Salaam. Mganga Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. Juma Mfanga akizungumza na kamati ya kuanzisha huduma za matibabu ya moyo katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa Njombe (NRRH) wakati wa kikao cha kujadili ushirikiano kati ya JKCI na NRRH kilichofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Hospitali ya JKCI...

JKCI yaweka kambi ya matibabu ya moyo mkoani Manyara

Image
  Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Pedro Pallangyo akimsikiliza mwananchi aliyefika katika kambi maalumu ya siku 5 ya uchunguzi na matibabu ya moyo ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba inayofanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara (MRRH). Kaimu Mganga Mfawadhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara (MRRH) Dkt. Yesige Mutajwaa akizungumza na wataalamu wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa kambi maalumu ya siku 5 ya uchunguzi na matibabu ya moyo ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba inayofanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa MRRH Wataalamu wa afya kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika kikao cha pamoja na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara (MRRH) wakati wa kambi maalumu ya siku 5 ya uchunguzi na matibabu ya moyo ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba inayofanywa na wataalamu wa J...

JKCI yazindua Bodi ya kusimamia tafiti (Institutional Review Board – IRB) kuimarisha utafiti wa magonjwa ya moyo nchini

Image
Mwenyekiti wa bodi ya kusimamia tafiti (Institutional Review Board – IRB) ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Ahmed Abdallah akifuatilia mada zilizokuwa zikiendelea wakati wa uzinduzi wa bodi hiyo uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Wajumbe wa bodi ya kusimamia tafiti (Institutional Review Board – IRB) ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakisikiliza wakati wa uzinduzi wa bodi hiyo uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa bodi ya kusimamia tafiti (Institutional Review Board – IRB) ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Ahmed Abdallah na wajumbe wa bodi hiyo wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa uzinduzi wa bodi hiyo uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Na JKCI ************************************************************************************************************************ Taasisi ya Moyo Jakaya Ki...