Posts

Viongozi CAF watembelea JKCI, walidhishwa na huduma zinazotolewa

Image
  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge, Meneja wa Tiba wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Dkt. Boubakary Sidiki, ujumbe wa CAF na baadhi ya wafanyakazi wa JKCI wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa ziara iliyofanywa na uongozi wa CAF kuangalia huduma na miundombinu ya JKCI kuelekea michuano ya AFCON itakayofanyika mwakani nchini Tanzania.   Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimuonesha Meneja wa Tiba wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Dkt. Boubakary Sidiki moja ya chumba cha VIP wakati ujumbe kutoka CAF ulipofanya ziara katika Taasisi hiyo kuangalia huduma na miundombinu ya JKCI kuelekea michuano ya AFCON itakayofanyika mwakani nchini Tanzania   .  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimueleza Meneja wa Tiba wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Dkt. Boubakary Sidiki huduma zinazofanyika katika maabara...

Wataalamu wa MOI watembelea JKCI kubadilishana ujuzi

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na viongozi kutoka Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) walipotembelea JKCI leo kwaajili ya kubadilishana uzoefu kufuatia agizo la Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa kuzitaka taasisi za afya kujifunza kutoka kwa wenzao na kuboresha huduma za afya nchini. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na viongozi kutoka Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) walipotembelea JKCI leo kwaajili ya kubadilishana uzoefu kufuatia agizo la Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa kuzitaka taasisi za afya kujifunza kutoka kwa wenzao na kuboresha huduma za afya nchini. Mtaalamu wa Maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Samweli Chuvaka akiwaelezea namna maabara ya kisasa inayotumia teknolojia ya roboti na akili unde (AI) inavyofanya kazi viongozi kutoka Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wa...

JKCI yafanya upasuaji wa Nikaidoh kwa mtoto wa miaka miwili

Image
  Wataalamu wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimfanyia upasuaji wa moyo mtoto wa miaka miwili (Nikaidoh Operation) kwa kushirikiana na daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Uturuki Ahmet Sasmazel wa Mradi wa Liitle Aid wa Shirika la Muntada Aid jijini Dar es Salaam. Mama wa mtoto Deus Mgonzo, Witness Kibuga akiwa na Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Idd Kimaro katika chumba cha ungalizi wa watoto (PICU) alipolazwa mtoto huyo jijini Dar es Salaam Picha na JKCI *********************************************************************************************************** Na Mwandishi Maalumu-Dar es Salaam Kwa mara ya kwanza watalamu wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na mwenzao kutoka Mradi wa Little Heart wa Shirika la Muntada lililopo nchini Uingereza Dkt. Ahmet Sasmazel wamemfanyia upasuaji wa moyo mtoto aliyezaliwa na mishipa miwili mikubwa ya damu inayotoka kwenye moyo kupishana (Nikaido...

Watu 1,005 wapimwa moyo na macho Arusha

Image
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI – ALMC) Dkt. Godwin Kivuyo akimjulia hali mwananchi aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza iliyokuwa ikifanyika katika Hospitali ya JKCI-ALMC na kumalizika jana jijini Arusha. Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI – ALMC) Dkt. Godwin Kivuyo akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha waliofika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza iliyokuwa ikifanyika katika Hospitali ya JKCI-ALMC na kumalizika jana jijini Arusha. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI - ALMC) Beatrice Mshana akimpima joto la mwili mwananchi wa mkoa wa Arusha aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza Iliyokuwa ikifanyika katika Hospitali ya JKCI-ALMC na kumalizika jana jijini Aru...

JKCI-ALMC na GSM Foundation wapongezwa kuendesha kambi ya matibabu mkoani Arusha

Image
Fundi sanifu wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI – ALMC) Rosemary Leonard akimpima kipimo cha kuangalia jinsi mfumo wa umeme wa moyo unavyofanya kazi (Electrocardiography – ECG) mkazi wa Arusha aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza inayofanyika katika Hospitali ya JKCI-ALMC iliyopo jijini Arusha. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI - ALMC) Fabian Bura akimpima shinikizo la damu mkazi wa Arusha aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza inayofanyika katika Hospitali ya JKCI-ALMC iliyopo jijini Arusha. Daktari wa macho wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI - ALMC) Wilen Wilson akimpima kipimo cha miwani mkazi wa Arusha aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza inayofanyika katika Hospitali ya JKCI-...

Kwa mara ya kwanza JKCI yafanya upasuaji wa myo kwa mtoto wa siku mbili

Image
  Wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao kutoka mradi wa Little Heart wa Shirika la Muntada Aid  kutoka nchini Uingereza wakimfanyia upasuaji wa kuziba tundu lililopo kwenye moyo wa mtoto   wakati wa kambi maalumu ya siku sita iliyokuwa ikifanyika katika Taasisi hiyo na kumalizika jana jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakisikiliza wakati wa kuhitimisha kambi maalumu ya siku sita ya upasuaji wa moyo kwa watoto iliyokuwa ikifanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao kutoka  mradi wa Little Heart  wa Shirika la Muntada Aid kutoka nchini Uingereza na kumalizika jana jijini Dar es Salaam Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akiwa katika picha ya pamoja na wataalamu wa afya wa JKCI na wenzao kutoka mradi wa Little Heart wa Shirika la Muntada Aid lenye makao yake nchini Uingereza mara baada ya kuhitimisha kambi maalumu...

Watu 200 wanufaika na huduma ya uchunguzi na matibabu ya macho Arusha

Image
Daktari bingwa wa macho wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI - ALMC) John Njelango akimpima kipimo cha kuchunguza macho mwananchi aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza inayofanyika katika Hospitali hiyo iliyopo jijini Arusha. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI - ALMC) Fabian Bura akimsaidia mkazi wa Arusha aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza kwaajili ya kufanya uchunguzi wa afya inayofanyika katika Hospitali iliyopo jijini Arusha. Mhudumu wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI - ALMC) Ombeni Daniel akimpima joto la mwili mkazi wa Arusha aliyefika katika kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza inayofanyika katika Hospitali hiyo iliyopo jijini Arusha. Baadhi ya wananchi wa mkoa wa Arusha wakisoma vipeperush...