Ushirikiano wataalamu wa JKCI na China kuokoa maisha na kupunguza rufaa za wagonjwa wa moyo kwenda nje ya nchi
Mkurugenzi wa upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwaaaga madaktari bingwa wa moyo kutoka Jamhuri ya Watu wa China waliokuwa wakifanya kazi katika Taasisi hiyo kwa kipindi cha miaka miwili. Hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akimkabidhi zawadi daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto kutoka Jamhuri ya watu wa China Zhao Lijian wakati wa hafla fupi ya kuwaaaga madaktari kutoka China iliyofanyika leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akimkabidhi cheti daktari bingwa wa wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu kutoka Jamhuri ya watu wa China Zhang Mingming wakati wa hafla fupi ya kuwaaaga madaktari kutoka wa China iliyofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa JKCI iliyo...