TPDC Marathon 2026 kuokoa maisha ya watoto 100 wenye magonjwa ya moyo
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Derick Moshi wakati wa uzinduzi wa TPDC Marathon uliofanyika leo katika hoteli ya Johari Rotana iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa TPDC Marathon kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI leo katika hoteli ya Johari Rotana iliyopo jijini Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Derick Moshi akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa TPDC Marathon itakayofanyika tarehe 29 Novemba, 2026 katika viwanja vya Polisi Officers Mess iliyopo Masaki kwaajili ya kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya K...