Posts

Watumishi wa Wizara ya Fedha wanufaika na kambi maalumu ya uchunguzi wa Moyo

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akitoa elimu ya magonjwa ya moyo kwa mfanyakazi wa Wizara ya Fedha wakati wa kambi maalumu ya upimaji wa afya kwa watumishi hao iliyomalizika jana jijini Dodoma. Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Fedha wakisubiri kupata huduma za uchunguzi wa afya zinazotolewa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa kambi maalumu ya upimaji wa afya iliyomalizika jana jijini Dodoma. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mohamed Aloyce  akitoa elimu ya “ Jua Namba Zako ” kwa mtumishi wa Wizara ya Fedha wakati wa kambi maalumu ya upimaji wa afya kwa watumishi hao iliyomalizika jana jijini Dodoma. Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Moris Budotela  akitoa elimu ya “ Jua Namba Zako ” kwa Afisa Sheria wa Idara ya Huduma za Sheria wa Wizara ya Fedha Yohana Msengi  wakati wa kambi maalumu ya upimaji wa afya iliyomalizika jana jiji...

Shinikizo la Damu laua kimyakimya, JKCI yatoa wito wa hatua za haraka

Image
  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimpima shinikizo la damu mwandishi wa habari wakati wa zoezi la upimaji afya ikiwa ni kuelekea katika  Maadhimisho ya Siku ya Shinikizo la Juu la Damu Duniani yanayofanyika kila mwaka tarehe 17 Mei. Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Kliniki ya Oysterbay Noel Mushi akimpima shinikizo la damu mwandishi wa Azam TV Esterbella Malisa wakati wa zoezi la upimaji afya ikiwa ni kuelekea katika  Maadhimisho ya Siku ya Shinikizo la Juu la Damu Duniani yanayofanyika kila mwaka tarehe 17 Mei. *************************************************************************************************************************************************************************************************** Mtindo usiofaa wa maisha umetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazochangia kuongezeka kwa tatizo la shinikizo la juu la damu ugonjwa unaoendelea kuwa tishio kubwa la afya duniani na kusaba...

JKCI yawahimiza Wafanyakazi kupima Afya mara kwa mara kuepuka magonjwa yasiyoambukiza

Image
  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi zawadi ya mashine ya kupimia shinikizo la damu, joto la mwili na kiwango cha sukari Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Lucius Mwenda mara baada ya kumaliza kutoa elimu ya kujikinga na magonjwa ya moyo wakati wa zoezi la upimaji wa afya kwa watumishi wa Wizara hiyo jijini Dodoma. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter Kisenge akitoa elimu kuhusu magonjwa ya moyo kwa wafanyakazi wa Wizara ya Fedha wakati wa zoezi la upimaji wa afya kwa watumishi wa Wizara hiyo jijini Dodoma. Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha Lucius Mwenda akizungumza na wafanyakazi wa wizara hiyo mara baada ya kupata elimu ya kujikinga na magonjwa ya moyo wakati wa zoezi la upimaji wa afya kwa watumishi wa Wizara ya Fedha jijini Dodoma. Mtaalamu wa Maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)Glory Mtui akimchukua sampuli ya damu Afisa ...

Mbunge Kigoma mjini Cleyton Chipando ataka Kitengo cha elimuishe mtandaoni

Image
Mbunge wa Kigoma Mjini, Clayton Chipando, (Baba Levo) akichangia Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa fedha 2026/27 leo jijini Dodoma ************************************************************************************************************************** Mbunge wa Kigoma Mjini, Clayton Chipando, (Baba Levo) ameshauri Wizara ya Afya kuwa na Kitengo maalum kwa ajili ya kutoa elimu Afya ya Lishe Mitandaoni dhidi ya baadhi ya watu wanaotoa Elimu hiyo bila kuwa na mwongozo sahihi wa Wizara yenye dhamana ya Afya. Mhe. Chipando ameyasema hayo Mei 12, 2026 jijini Dodoma wakati akichangia Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa fedha 2026/27  "Mhe. Mwenyekiti mimi nimekula Ugali kwa miaka 35, lakini Leo kila ukiingia mtandaoni utakutana na matangazo mbalimbali yanayotumika kuelimisha watu juu ya utaratibu wa matumizi ya chakula" amesema Mhe. Chipando Mhe. Chipando amesema katìka siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la watoa huduma, ambao kwa namna moja au nyi...

JKCI yawapima watu 314 magonjwa ya Moyo Njombe, 37 wapewa rufaa ya kibingwa

Image
 Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Modesta Nyagawa akimpima kiwango cha sukari kwenye damu Revocatus William ambaye ni Mfanyakazi wa Wizara ya Ardhi wakati wa zoezi la uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali lililofanyika katika Kikao Kazi cha 21 cha Maafisa Habari, Mawasiliano, Itifaki na Uhusiano Serikalini kilichoandaliwa na Idara ya Habari- Maelezo mjini Njombe.  Mtaalamu wa vipimo vya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Stev Kamugisha akisoma taarifa ya mwananchi aliyefika katika Hoteli ya Agreement iliyopo mjini Njombe kwaajili ya kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali zilizokuwa zinatolewa kwenye Kikao Kazi cha 21 cha Maafisa Habari, Mawasiliano, Itifaki na Uhusiano Serikalini kilichoandaliwa na Idara ya Habari- Maelezo na kumalizika hivi karibuni mjini Njombe. Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Samweli Mbilinyi akitoa elimu ya magonjwa ya moyo kwa Fakii Mjaka ambaye ni Afisa Habari kutoka Ofisi ya...

JKCI yawagusa wananchi Njombe kupitia kampeni ya “Jua Namba Zako”

Image
Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Samweli Mbilinyi akimpa vipeperushi vya elimu ya magonjwa ya moyo Dorah Kachele ambaye ni Mkurugenzi wa vipindi na maudhui wa Kings FM ya mjini Njombe alipofika katika Hoteli ya Agreement kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali zinayotolewa kwenye Kikao Kazi cha 21 cha Maafisa Habari, Mawasiliano, Itifaki na Uhusiano Serikalini kilichoandaliwa na Idara ya Habari- Maelezo. Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Modesta Nyagawa akimpima shinikizo la damu mkazi wa Njombe aliyefika katika Hoteli ya Agreement iliyopo mjini Njombe kwaajili ya kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali zinazotolewa kwenye Kikao Kazi cha 21 cha Maafisa Habari, Mawasiliano, Itifaki na Uhusiano Serikalini kilichoandaliwa na Idara ya Habari- Maelezo. Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Modesta Nyagawa akimpima kiwango cha sukari kwenye damu mkazi wa Njombe aliyefika katika Hotel...

Maafisa Utawala na Rasirimali Watu 316 nchini wapimwa moyo

Image
Afisa Muuguzi wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) ambayo inasimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Nadia Zuberi akimpima shinikizo la damu (BP) Afisa Rasirimali Watu aliyefika katika kliniki ya JKCI wakati wa Mkutano Mkuu wa pili Jumuishi wa Jumuiya za Wataalamu wa Utawala na Usimamizi wa Rasirimali Watu katika Utumishi wa Umma Tanzania uliomalizika jana katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC). Jumla ya maafisa Utawala na Rasirimali Watu 316 wamepima moyo. Daktari wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) ambayo inasimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adda Justine akimpa ushauri Afisa Rasirimali Watu aliyefika katika kliniki ya JKCI wakati wa Mkutano Mkuu wa pili Jumuishi wa Jumuiya za Wataalamu wa Utawala na Usimamizi wa Rasirimali Watu katika Utumishi wa Umma Tanzania uliomalizika jana katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC). Jumla ya maafisa Utawala na Rasirimali Watu 316 wamepima moyo. Baadhi ya maafi...