JKCI yaandika historia yafanya upasuaji wa mshipa mkubwa wa damu (Aorta) kwa kutumia mtambo wa cathlab
Wataalam wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na mwenzao kutoka nchini India Dkt. Gireesh Mukund Warawdekar wakifanya upasuaji wa tundu dogo kwa kutumia mtambo wa cathlab kuziba mshipa mkubwa wa damu (Aorta) ambao ulichanika kutokana na ajali raia kutoka Jamhuri ya Watu wa China. Wataalam wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na mwenzao kutoka nchini India Dkt. Gireesh Mukund Warawdekar wakifanya upasuaji wa tundu dogo kwa kutumia mtambo wa cathlab kuziba mshipa mkubwa wa damu (Aorta) ambao ulichanika kutokana na ajali raia kutoka Jamhuri ya Watu wa China. Wataalam wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na mwenzao kutoka nchini India Dkt. Gireesh Mukund Warawdekar wakifanya upasuaji wa tundu dogo kwa kutumia mtambo wa cathlab kuziba mshipa mkubwa wa damu (Aorta) ambao ulichanika kutokana na ajali raia kutoka Jamhuri ya Watu wa China. Picha Na ************************************************************************************************************************* Wataalamu wa T...