Kwa mara ya kwanza abiria wanaosafiri na treni ya SGR kunufaika na huduma za uchunguzi wa magonjwa ya moyo
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo itakayofanywa kwa abiria wanaotumia treni ya SGR katika kuadhimisha siku ya moyo duniani. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Mhandisi Machibya Shiwa akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo itakayofanywa kwa abiria wanaotumia treni ya SGR katika kuadhimisha siku ya moyo duniani Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Mhandisi Machibya Shiwa wakati wa uzinduzi wa kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo itakayofanywa kwa abiria wanaotumia treni ya SGR katika kuadhimisha siku ya moyo duniani. Picha na JKCI ******************************************...