Wafanyabiashara Kariakoo Kunufaika na Huduma za Afya Baada ya JKCI Kufungua Kliniki Mpya
Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Hassan Mahmoud Mshinda pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge wakikata utepe leo wakati wa ufunguzi wa kliniki mpya ya JKCI iliyopo katika Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Alex Msoka akiwaelezea viongozi huduma zitakazotolewa katika kliniki mpya ya JKCI iliyofunguliwa leo katika Soko Kuu la Kariakoo lililopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wadau waliofika katika ufunguzi wa kliniki mpya ya JKCI iliyopo katika Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Hassan Mahmoud Mshinda akizungumza na waandishi wa habari wakati wa ufunguzi wa Kliniki mpya ya JKCI leo katika Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taa...