JKCI yaweka kambi ya matibabu ya moyo mkoani Manyara
Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Pedro Pallangyo akimsikiliza mwananchi aliyefika katika kambi maalumu ya siku 5 ya uchunguzi na matibabu ya moyo ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba inayofanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara (MRRH). Kaimu Mganga Mfawadhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara (MRRH) Dkt. Yesige Mutajwaa akizungumza na wataalamu wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa kambi maalumu ya siku 5 ya uchunguzi na matibabu ya moyo ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba inayofanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa MRRH Wataalamu wa afya kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika kikao cha pamoja na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara (MRRH) wakati wa kambi maalumu ya siku 5 ya uchunguzi na matibabu ya moyo ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba inayofanywa na wataalamu wa J...