Wafanyakazi JKCI Watakiwa Kujituma Ili Kuongeza Kipato Chao
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dr. Peter Kisenge akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa taasisi hiyo wakati wa mkutano wa baraza hilo uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Agnes Kuhenga akisoma mapato na matumizi wakati wa Mkutano wa Baraza la kumi la Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) uliofanyika jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) Makao Makuu Taifa Shedrack Mgodo akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa taasisi hiyo wakati wa mkutano wa baraza hilo uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dkt. Peter Kisenge alipokuwa akizungumza nao wakati wa Mkutano wa Baraza la kumi la JKCI lililofanyika leo jijini Dar es...