Posts

Jengo la Utawala na Vipimo lenye thamani ya Tshs Bilioni 9.7 lazinduliwa kuimarisha huduma za moyo nchini

Image
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa na Mwenyekiti wa bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Hassan Mshinda wakizindua jengo la Utawala na Vipimo wakati wa hafla fupi ya kuzindua jengo hilo iliyofanyika jana katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa akiangalia moja ya mashine inayotumia akili unde kufanya uchunguzi wa afya wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa jengo la Utawala na Vipimo iliyofanyika jana katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa akiangalia moja ya mashine inayotumia akili unde kufanya uchunguzi wa afya wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa jengo la Utawala na Vipimo iliyofanyika jana katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa magonjwa ya figo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Frida Moyo akimuelezea Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa huduma zinazo...

Wafanyakazi JKCI wahimizwa kujifunza mbinu mpya kukuza huduma za moyo

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi hiyo wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa JKCI jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ghati Chacha akizungumza na wafanyakazi wa taasisi hiyo kuhusu umuhimu wa kujaza taarifa zao za kazi katika mfumo wa PEPMIS wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo jijini Dar es Salaam. Afisa Uhasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adamu Sembe akitoa taarifa kuhusu fedha wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo jijini Dar es Salaam. Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi hiyo Dkt. Peter Kisenge wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa JKCI jijini Dar es Salaam.  N a JKCI *...

Wagonjwa nane wenye mishipa ya damu iliyoziba kufanyiwa upasuaji wa moyo

Image
Wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakishirikiana na mwenzao kutoka Hospitali ya Jaslok iliyopo Mumbai nchini India Upendra Bhalerao kumfanyia upasuaji wa kupandikiza mshipa wa damu wa moyo bila kusimamisha moyo mgonjwa mwenye matatizo ya mishipa ya damu kuziba wakati wa kambi maalumu ya siku nane inayofanyika katika Taasisi hiyo jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo, mishipa ya damu na kifua kutoka Hospitali ya Jaslok iliyopo Mumbai nchini India Upendra Bhalerao akitoa mafunzo kwa wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) namna ya kutoa huduma kwa wagonjwa ambao mshipa yao ya damu imeziba wakati wa kambi maalumu ya siku nane inayofanyika katika Taasisi hiyo jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo, mishipa ya damu na kifua kutoka Hospitali ya Jaslok iliyopo Mumbai nchini India Upendra Bhalerao akiangalia taarifa za mgonjwa aliyelazwa katika wodi ya uangalizi maalumu (ICU) mara baada ya kufanyiwa upasuaji wa kupandikiza ms...

Mkutano wa CardioTan 2026 wahitimishwa, wataalamu wapata ujuzi uchunguzi vipimo vya moyo

Image
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Saad Mtambule akimpatia tuzo mshindi wa kesi bora iliyowasilishwa wakati wa mkutano wa nne wa Kimataifa wa magonjwa ya moyo – CardioTan Imaging 2026 Dkt. Abdi Dibaba kutoka Hospitali ya Saifee wakati wa hafla fupi ya kufunga mkutano huo iliyofanyika jana katika ukumbi wa Blue Sapphire jijini Dar es Salaam. Jumla ya washiriki zaidi ya 600 kutoka nchi zaidi ya 16 wameshiriki mkutano huo. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Saad Mtambule akizungumza na wataalamu wa afya walioshiriki mkutano wa nne wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo – CardioTan Imaging 2026 wakati wa hafla fupi ya kufanga mkutano huo iliyofanyika jana katika ukumbi wa Blue Sapphire jijini Dar es Salaam. Jumla ya washiriki zaidi ya 600 kutoka nchi zaidi ya 16 wameshiriki mkutano huo Mkurugenzi wa Idara ya Upasuaji wa Moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akizungumza na washiriki wa mkutano wa nne wa kimataifa wa magonjwa ya moyo – CardioTan Imaging 2026 kwa niaba y...

Mkutano wa CardioTan Imaging 2026, WHO yaeleza maendeleo ya JKCI

Image
Meneja wa Program Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini Tanzania Dkt. Sisay Tegegne akizungumza na wataalamu wa afya alipokuwa akimwakilisha Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika, Shirika la Afya Duniani (WHO) Prof. Mohame Janabi wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo – CardioTan Imaging 2026 unaofanyika katika ukumbi wa Blue Sapphire jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akielezea mafanikio ya taasisi hiyo wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo – CardioTan Imaging 2026 unaofanyika katika ukumbi wa Blue Sapphire jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Katibu Mkuu Msaidizi wa Ligi ya Arab kutoka nchini Misri Balozi Mohanad Legouzi wakisaini mkataba wa mashirikiano katika kujali afya za wanamichezo, kubadilishana ujuzi na kushiriki katika huduma za jamii kupitia  shirika la Heart to Heart Association for sustainable develop...

Mkutano wa CardioTan Imaging 2026 Kujadili Matumizi ya Akili Unde matibabu ya moyo

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusu Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo – CardioTan Imaging 2026 utakaofanyika tarehe 4 hadi 6 mwezi Juni mwaka huu katika ukumbi wa Blue Sapphire Jijini Dar es Salaam.  Mwenyekiti wa Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo – CardioTan Imaging 2026, Iddi Lemah akizungumza na waandishi wa habari leo kuelekea mkutano huo utakaofanyika tarehe 4 hadi 6 mwezi Juni mwaka huu katika Ukumbi wa Blue Sapphire jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Engerasia Kifai akizungumza na waandishi wa habari kuhusu umuhimu wa Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo – CardioTan Imaging 2026 utakaofanyika tarehe 4 hadi 6 mwezi Juni mwaka huu katika Ukumbi wa Blue Sapphire jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Idara ya magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akiz...

Kampeni ya “Jua Namba Zako” yawafikia Mashabiki wa Arsenal

Image
Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Joyce Kyando akimuonesha shabiki wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Arsenal namba tano za afya zinazohimizwa na Wizara ya afya kuzingatia ili kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza wakati wa tukio la Ongea na Waziri wa Afya lililofanyika katika halfa ya kufurahia ushindi wa Timu ya Arsenal leo katika uwanja wa Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam.  Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Henry Mimbo akimpima sukari kwenye damu shabiki wa Arsenal aliyefika katika banda la JKCI wakati wa tukio la Ongea na Waziri wa Afya lililofanyika katika halfa ya kufurahia ushindi wa Timu ya Arsenal leo katika uwanja wa Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam.  Afisa Utafiti wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Loveness Mfanga akimpima urefu na uzito shabiki wa Arsenal aliyefika katika banda la JKCI wakati wa tukio la Ongea na Waziri wa Afya lililofanyika katika halfa ya kufurahia ushindi wa Timu ya Arsenal leo katika uwanja wa Posta...