Serikali yazindua kitabu safari ya upandikizaji wa moyo Tanzania, JKCI yaweka historia mpya ya huduma za kibobezi
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa (Mb) akionesha kitabu cha mwongozo wa upandikizaji moyo alichokizindua wakati wa hafla fupi ya kuzindua kitabu hicho iliyofanyika katika viwanja vya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) akimkabidhi begi lenye vitendea kazi Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Hassan Mshinda baada ya kuzindua bodi hiyo katika viwanja vya JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) akimkabidhi begi lenye vitendea kazi Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo baada ya kuzindua bodi hiyo katika viwanja vya JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge, Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)...