Shilingi bilioni 500 zaokolewa matibabu ya moyo kufanyika nchini
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge na Mtendaji Mkuu wa Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Heart Team Africa Foundation (HTAF) Dkt. Naizihijwa Majani wakifurahia wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya kuchangisha fedha kwaajili ya matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo ijulikanayo “Kutoa ni Moyo” leo katika ukumbi wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wadau wakati wa hafla fupi ya kuzindua kampeni ya kitaifa ya kuchangisha fedha kwaajili ya matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo ijulikanayo “Kutoa ni Moyo” inayofanywa na Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Heart Team Africa Foundation (HTAF). Mtendaji Mkuu wa Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Heart Team Africa Foundation (HTAF) Dkt. Naizihijwa Majani akitoa taarifa ya fedha zilizokusanywa na Taasisi hiyo kusaidia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wakati wa hafla fupi ya kuzindua kampeni ya ki...