Rasimu ya kwanza ya mpango mkakati wa tatu wa JKCI yajadiliwa
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mada zilizokuwa zikiendelea wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani akichangia mada wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wajumbe wa kamati ya maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mada zilizokuwa zikiendelea wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa kamati ya maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Fiona Kavishe akichangia mada wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Mshauri wa mpango mkakati kutok...