JKCI yapongezwa kupambana dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Edna Kajuna akitoa elimu kuhusu magonjwa ya moyo kwa wanafunzi wa chuo cha KAM College walipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya Dental Expo 2026 yaliyomalizika leo katika viwanja vya Mlimani City vilivyopo jijini Dar es Salaam. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Edna Kajuna akitoa elimu ya namna ya kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza kwa wananchi waliotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya Dental Expo 2026 yaliyomalizika leo katika viwanja vya Mlimani City vilivyopo jijini Dar es Salaam. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Edna Kajuna akimuonesha jinsi moyo unavyokuwa mwananchi aliyetembelea banda la JKCI wakati wa maonesho ya Dental Expo 2026 yaliyomalizika leo katika viwanja vya Mlimani City vilivyopo jijini Dar es Salaam. Na JKCI ********************************************************************************************************* Washiriki wa maonesho ya ...