Posts

Prof. Kabudi; Watanzania jivunieni kuwa na JKCI, Ni Taasisi ya umahiri Barani Afrika

Image
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Profesa Palamagamba Kabudi akipimwa joto la mwili na Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Jackline Mwaipopo alipotembelea katika banda la JKCI wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Profesa Palamagamba Kabudi akimsikiliza Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Emmanuel Lingido alipotembelea banda la JKCI wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Profesa Palamagamba Kabudi akipokea zawadi kutoka kwa daktari bingwa wa magonjwa ya mo...

Bodi ya Wadhamini ya JKCI yafanya kikao maalumu, yapitia mpango mkakati wa mwaka 2026/2031

Image
Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Viongozi wa Menejimenti wa Taasisi hiyo wakisikiliza wakati wa kikao maalumu cha Bodi kilichofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Hassan Mahmoud Mshinda akiongoza kikao maalumu cha Bodi hiyo kilichofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Godfrey Kilenga akichangia mada wakati wa kikao maalumu cha Bodi hiyo kilichofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Delilah Kimambo akichangia mada wakati wa kikao maalumu cha bodi hiyo kilichofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Taaisi hiyo iliyopo jijini Da...

JKCI yapongezwa kwa kutoa huduma bora kwa wateja katika maonesho ya SABASABA

Image
Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Agnes Kuhenga akimkabidhi zawadi Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Mhe. Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya alipotembelea banda la JKCI wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Mhe. Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya akimsikiliza Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Emmanuel Lingido alipotembelea banda la JKCI katika maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Mhe. Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya akizungumza na daktari bingwa wa upasua...

Wananchi wapongeza huduma zinazotolewa na JKCI Maonesho ya Sabasaba

Image
Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Emmanuel Lingido akimfundisha aina na makundi ya vyakula mwananchi aliyetembela banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Idd Kimario akimpima joto la mwili mwananchi aliyetembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mohamed Aloyce akizungumza na mwananchi aliyetembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilw...

JKCI yafungua kliniki inayotumia mashine za Akili Unde (AI) SABASABA

Image
  Fundi sanifu wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mussa Omary akimpima mfumo wa umeme wa moyo mkazi wa Dar es Salaam aliyetembelea kliniki ya JKCI iliyopo katika maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiangalia mashine inayotumia akili unde (AI) kufanya usajiri kwa kumulika sura ya mgonjwa wakati wa uzinduzi wa kliniki ya taasisi hiyo iliyopo katika maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge, viongozi wa Taasisi hiyo na washiriki wa maonesho ya SABASABA wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzinduzi kliniki ya JKCI iliyopo...

Kliniki ya JKCI iliyopo SABASABA yaanza kutoa huduma kwa wananchi

Image
Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Nyanjura Nyaruga akimpima kiwango cha sukari kwenye damu mwananchi aliyetembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Happy Malunde akiwaelezea huduma zinazotolewa katika chumba cha upasuaji wa wananchi waliotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es S...

Wizara ya Afya, JKCI na Children’s HeartLink waweka mikakati ya kuimarisha huduma za moyo kwa watoto nchini

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa sekta ya afya na viongozi kutoka Wizara ya Afya mara baada ya mkutano na wadau hao kuweka mikakati ya kitaifa kuimarisha huduma za matibabu ya moyo kwa watoto uliofanyika jana katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akielezea namna Taasisi hiyo inavyotoa huduma kwa watoto wenye magonjwa ya moyo wakati wa mkutano na wadau wa afya kuweka mikakati ya kitaifa kuimarisha huduma za matibabu ya moyo kwa watoto uliofanyika jana katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.   Mkurugenzi wa huduma za tiba Wizara ya Afya Dkt. Hamad Nyembea akizungumza wakati wa mkutano na wadau wa afya kuweka mikakati ya kitaifa kuimarisha huduma za matibabu ya moyo kwa watoto uliofanyika jana katika ukumbi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. M...