Posts

Wananchi wahimizwa kutumia kampeni ya “Jua Namba Zako” kupima afya zao SABASABA

Image
Mwenyekiti Tume ya Madini Dkt. Janeth Lekashingo akimsikiliza Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Edna Kajuna alipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Juliaus Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.  Afisa Tehama wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Kliniki ya Oysterbay Suleiman Jafari akimuelezea namna shuka maalumu la Dozee linavyofanya kazi Mwenyekiti Tume ya Madini Dkt. Janeth Lekashingo alipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Juliaus Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Daktari wa wagonjwa wa dharura wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospital ya Dar Group Peace Masaoe akimuelezea huduma za dharura zinazotolewa na Taasisi hiyo Mwenyekiti Tume ya Madini Dkt. Janeth Le...

JKCI na BMH kuokoa maisha ya watoto wenye magonjwa ya moyo kutoka nchini Burundi

Image
Wataalamu wa upasuaji wa moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakishirikiana na wenzake wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kumfanyia upasuaji wa moyo mtoto mwenye tundu kwenye moyo kutoka nchini Burundi wakati wa kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto inayofanyika katika Hospitali ya Benjamini Mkapa iliyopo jijini Dodoma. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) Prof. Abel Makubi akizungumza na wataalamu wa upasuaji wa moyo kwa watoto kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) walipofika katika Hospitali hiyo kwaajili ya kubadilishana ujuzi pamoja na kufanya kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Stella Mongela akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (ECHO) mtoto kutoka nchini Burundi wakati wa kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto inayofanyika katika Hospitali ya Benjamini Mkapa iliyopo jijini Dodoma. Mkurugenzi Mtendaji w...

Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) atembelea banda la JKCI katika maonesho ya SABASABA

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) Dkt. Diwani Msemo akiwa katika picha ya Pamoja na wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) alipotembelea Kliniki ya Taasisi hiyo iliyopo katika maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) Dkt. Diwani Msemo akipokea zawadi kutoka kwa daktari bingwa wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Thabit Ramadhani alipotembelea kliniki ya Taasisi hiyo iliyopo katika maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) Dkt. Diwani Msemo akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Kliniki ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (...

Benki ya Absa yachangia milioni 20 matibabu ya watoto wanaotibiwa JKCI

Image
  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akipokea hati ya makubaliano ya shilingi milioni 20 kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania Obedi Laiser kwaajili ya kuwasaidia watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa katika taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza wakati wa hafla fupi ya kusaini na kupokea hati ya makubaliano ya shilingi milioni 20 kutoka Benki ya Absa kwaajili ya kuwasaidia watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa katika taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania Obedi Laiser akizungumza wakati wa hafla fupi ya kusaini na kukabidhi hati ya makubaliano ya shilingi milioni 20 kwaajili ya kuwasaidia watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt....

Prof. Kabudi; Watanzania jivunieni kuwa na JKCI, Ni Taasisi ya umahiri Barani Afrika

Image
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Profesa Palamagamba Kabudi akipimwa joto la mwili na Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Jackline Mwaipopo alipotembelea katika banda la JKCI wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Profesa Palamagamba Kabudi akimsikiliza Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Emmanuel Lingido alipotembelea banda la JKCI wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Profesa Palamagamba Kabudi akipokea zawadi kutoka kwa daktari bingwa wa magonjwa ya mo...

Bodi ya Wadhamini ya JKCI yafanya kikao maalumu, yapitia mpango mkakati wa mwaka 2026/2031

Image
Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Viongozi wa Menejimenti wa Taasisi hiyo wakisikiliza wakati wa kikao maalumu cha Bodi kilichofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Hassan Mahmoud Mshinda akiongoza kikao maalumu cha Bodi hiyo kilichofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Godfrey Kilenga akichangia mada wakati wa kikao maalumu cha Bodi hiyo kilichofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Delilah Kimambo akichangia mada wakati wa kikao maalumu cha bodi hiyo kilichofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Taaisi hiyo iliyopo jijini Da...

JKCI yapongezwa kwa kutoa huduma bora kwa wateja katika maonesho ya SABASABA

Image
Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Agnes Kuhenga akimkabidhi zawadi Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Mhe. Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya alipotembelea banda la JKCI wakati wa maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Mhe. Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya akimsikiliza Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Emmanuel Lingido alipotembelea banda la JKCI katika maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Mhe. Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya akizungumza na daktari bingwa wa upasua...