Posts

JKCI yapokea tuzo Mkutano Mkuu wa Utumishi wa Umma Arusha

Image
Waziri Ofisi ya Rais, Menenjiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge tuzo ya mdhamini mkuu wa Mkutano wa pili Jumuishi wa Jumuiya za Wataalamu wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu katika Utumishi wa Umma Tanzania unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC). Waziri Ofisi ya Rais, Menenjiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akimkabidhi cheti mfanyakazi bora wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Afisa Utawala Adila Lugamara wakati wa Mkutano wa pili Jumuishi wa Jumuiya za Wataalamu wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu katika Utumishi wa Umma Tanzania unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC). Waziri Ofisi ya Rais, Menenjiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge tuzo ya mtoa m...

Kampeni ya Jua Namba Zako yawafikia Maafisa Utawala na Rasilimali Watu nchini

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akitoa mada kuhusu magonjwa ya moyo kwa maafisa Utawala na Rasilimali watu wakati wa Mkutano Mkuu wa pili Jumuishi wa Jumuiya za Wataalamu wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu katika Utumishi wa Umma Tanzania unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC). Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) inayosimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Salehe Mwinchete akielezea huduma ambazo Hospitali hiyo inazitoa kwa maafisa Utawala na Rasilimali watu wakati wa Mkutano Mkuu wa pili Jumuishi wa Jumuiya za Wataalamu wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu katika Utumishi wa Umma Tanzania unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC). Afisa Muuguzi wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) inayosimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Anna Faustine akimpima sukari kwenye damu Afisa Utawala aliy...

Zaidi ya watu 150 wabainika na matatizo ya Moyo katika kambi ya uchunguzi Njombe

Image
Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mahawa Asenga akimpima shinikizo la damu na mapigo ya moyo mwananchi aliyefika katika banda la JKCI Dar Group kwaajili ya kufanya uchunguzi wa afya wakati wa maonesho ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi yaliyomalizika hivi karibuni  Mkoani Njombe. Jumla ya watu 386 wamefanyiwa uchunguzi wa afya katika maonesho hayo. Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Happiness Shirima akitoa elimu ya mtindo     bora wa maisha kujilinda na magonjwa ya moyo kwa wananchi wa Mkoa wa Njombe waliofika katika banda la JKCI Dar Group kwaajili ya kufanya uchunguzi wa afya wakati wa maonesho ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi yaliyomalizika hivi karibuni Mkoani Njombe. Jumla ya watu 386 wamefanyiwa uchunguzi wa afya katika maonesho hayo.   Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Moses Manumbu akisikiliza mapigo ya moyo ya mwananchi aliyefika katika banda la JK...

Dkt. Kisenge awapongeza Wafanyakazi JKCI, Asisitiza ufanisi na weledi kazini

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni tano Mfanyakazi Hodari wa taasisi hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2025/2026 Afisa Tawala Adila Musa wakati wa hafla ya kuwatambua na kuwapongeza wafanyakazi Hodari iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni mbili Mfanyakazi Hodari wa taasisi hiyo nafasi ya pili kwa mwaka wa fedha wa 2025/2026 Mkaguzi wa Hesabu za Ndani Sitty Hamis wakati wa hafla ya kuwatambua     na kuwapongeza wafanyakazi Hodari iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni moja na nusu Mfanyakazi Hodari wa taasisi hiyo nafasi ya tatu kwa mwaka wa fedha wa 2025/2026 Afisa Muuguzi Edna Kajuna wakati wa hafla ya kuwatambua na kuwapongeza wafanyakazi hodari ili...

JKCI na TBS waungana kuboresha Afya ya Wafanyakazi kupitia upimaji wa Moyo

Image
Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Agnes Kajangwa akimpima kiwango cha sukari kwenye damu Mkurugenzi wa Uandaaji Viwango wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) David Ndibalema Lugome wakati wa kambi maalumu ya upimaji wa magonjwa ya moyo iliyolenga kuongeza uelewa kuhusu magonjwa hayo na njia za kujikinga ili kuboresha afya na ufanisi kazini kwa wafanyazi wa shirika hilo. Jumla ya Wafanyakazi 68 walipata huduma ambapo nane kati yao walipewa rufaa ya kwenda kutibiwa katika Tawi la JKCI Oysterbay. Afisa Masoko wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Agness Mndasha akimkabidhi vipeperushi vya taasisi hiyo Afisa Utumishi Mwandamizi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Mariam Mbarouk wakati wa kambi maalumu ya upimaji wa magonjwa ya moyo iliyolenga kuongeza uelewa kuhusu magonjwa hayo na njia za kujikinga ili kuboresha afya na ufanisi kazini kwa wafanyazi wa shirika hilo. Jumla ya Wafanyakazi 68 walipata huduma ambapo nane kati yao walipewa rufaa ya kwenda ku...

Wafanyakazi JKCI Dar Group wapewa onyo dhidi ya ubadhilifu wa mali za Umma

Image
Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Dkt. Tulizo Shemu akizungumza   na wafanyakazi wa Hospitali hiyo hiyo jana   jijini Dar es Salam wakati   wa hafla ya kuwatambua wafanyakazi bora kuelekea maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi duniani. Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Dkt. Tulizo Shemu akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa taasisi hiyo wakati   wa hafla ya kuwatambua wafanyakazi bora kuelekea maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani. Na JKCI **************************************************************************************************** Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group wametakiwa kuepuka ubadhilifu katika matumizi ya mali za umma ikiwemo matumizi yasiyo sahihi ya vifaa vya ofisi pamoja na vitendo vya uhujumu uchumi vinavyoweza kuathiri utendaji wa kazi za taasisi. Rai hiyo imetolewa  jana na Mkurugenzi wa JKCI Hospital...

Serikali yajipanga kusogeza huduma bingwa za Moyo karibu na Wananchi

Image
Meneja wa Rasilimali watu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Abdulrahman Muya akimkabidhi Waziri wa Kazi Mhe. Deus Clement Sanga zawadi ya mashine ya BP, RBG na Thermometer kama sehemu ya kampeni ya kuhamasisha jamii kujua namba zao za afya alipotembelea banda la taasisi hiyo lililopo kwenye maonesho ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mwema Mjini Njombe. Daktari bingwa wa magonjwa yatokanayo na kazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Elius Birago akimueleza  Waziri wa Kazi Mhe. Deus Clement Sanga huduma zinazotolewa na Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi yanayofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mwema Mjini Njombe. Daktari bingwa wa magonjwa yatokanayo na kazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Elius Birago akimpa zawadi Mganga Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. Juma Mfanga alipotembelea banda la Taasisi hiyo wa...