Posts

GSM Foundation na Yanga wachangia milioni 50 za matibabu ya moyo kwa watoto

Image
Rais wa klabu ya mpira ya Yanga Eng. Hersi Said akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge mfano wa hundi ya shilingi milioni 50 fedha zilizotolewa na GSM Foundation na klabu hiyo kwa ajili ya kulipia gharama za upasuaji wa moyo kwa watoto wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo kiuchumi wanaotibiwa katika taasisi hiyo. Rais wa klabu ya mpira ya Yanga Eng. Hersi Said akimjulia hali mtoto aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) alipotembelea taasisi hiyo leo kwa ajili ya kukabidhi hundi ya shilingi milioni 50 fedha zilizotolewa  na GSM Foundation na klabu hiyo kwa ajili ya kulipia gharama za upasuaji wa moyo kwa watoto wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo kiuchumi wanaotibiwa katika taasisi hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimsikiliza Rais wa klabu ya mpira ya Yanga Eng. Hersi Said alipotembelea taasisi hiyo leo kwa ajili ya kukabidhi hundi ya shilingi...

Zanzibar waendelea kupata huduma za matibabu ya moyo

Image
Wakazi wa Zanzibar wakiwa katika foleni ya kupata huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali yakiwemo magonjwa ya moyo wakati wa maonesho ya wiki ya Afya Zanzibar yanayoendelea katika viwanja vya Golden Tulip Airport. Wakazi wa Zanzibar wakipata huduma mbalimbali katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa maonesho ya wiki ya Afya Zanzibar yanayoendelea katika viwanja vya Golden Tulip Airport Zanzibar. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Eva Wakuganda akiwafundisha wanafunzi namna huduma za matibabu ya moyo zinavyofanyika wakati wa maonesho ya wiki ya Afya Zanzibar yanayoendelea katika viwanja vya Golden Tulip Airport. Kaimu Mtendaji Mkuu wa Shirika lisilo la kiserikali Heart Team Africa Foundation (HTAF) Linda Gideon akiwa katika picha ya pamoja na wakazi wa Zanzibar mara baada ya kuchangia matibabu ya upasuaji wa moyo kwa watoto kwa kununua T-shirt wakati wa maonesho ya wiki ya Afya Zanzibar yanayoendelea katika v...

Mke wa Rais wa Msumbiji Mama Gueta Chapo atamani matibabu ya kibingwa y...

Image

Mke wa Rais wa Msumbiji Mama Gueta Chapo atamani matibabu ya kibingwa y...

Image

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi tuzo ya kumshukuru Mke wa Rais wa Msumbiji Mhe.   Mama Gueta Selemane Chapo kwa kutembelea taasisi hiyo na kuahidi kushirikiana nayo katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo alipotembelea taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi zawadi   Mke wa Rais wa Msumbiji Mhe. Mama Gueta Selemane Chapo mara baada ya kumaliza ziara yake ya kutembelea taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam   kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa. Mke wa Rais wa Msumbiji Mhe. Mama Gueta Selemane Chapo akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge mara baada ya kumaliza ziara yake ya kutembelea taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolew...

Elimu ya Magonjwa ya moyo yatolewa Maonesho ya Afya Zanzibar

Image
Wakazi wa Zanzibar wakipata elimu kuhusu huduma za upasuaji wa moyo zinavyofanyika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kutoka kwa Afisa Uuguzi wa Taasisi hiyo Edna Kajuna wakati wa maonesho ya Wiki ya Afya Zanzibar yanayoendelea katika viwanja vya Golden Tulip Airport Zanzibar. Kaimu Mtendaji Mkuu wa Shirika lisilo la kiserikali Heart Team Africa Foundation (HTAF) Linda Gideon akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa timu ya mpira wa miguu Young African (Yanga) mara baada ya kuchangia matibabu ya upasuaji wa moyo kwa watoto kwa kununua T-shirt wakati wa maonesho ya Wiki ya Afya Zanzibar yanayoendelea katika viwanja vya Golden Tulip Airport Zanzibar Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Edna Kajuna akimuonesho mtangazaji wa Clouds Tv Babuu wa Kitaa betri ya moyo (Pace maker) inayowekwa kwa wagonjwa ambao mapigo yao ya moyo yapo chini ya 50 wakati wa maonesho ya Wiki ya Afya Zanzibar yanayoendelea katika viwanja vya Golden Tulip Airport Zanzibar. Wadau kutoka Zan...

Wakazi Zanzibar wafaidika na huduma za JKCI maonesho ya Afya

Image