Posts

Serikali yaokoa Mil.500 kwa Upasuaji wa moyo JKCI

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimpatia tuzo ya shukrani  Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mratibu wa Shirika la Open Heart International (OHI) la nchini Australia Darren Wolfers kutokana na ushirikiano uliopoa baina ya JKCI na shirika hilo katika kutoa huduma za matibabu ya moyo kwa watanzania na mafunzo kwa wataalamu wa afya. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza wakati wa kufunga kambi maalumu ya upasuaji wa moyo iliyofanywa na  wataalam wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa  Shirika la Open Heart International (OHI) la nchini Australia ambapo wagonjwa 17 wamefanyiwa upasuaji katika kambi hiyo. Mkurugenzi wa Idara ya Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akitoa neno la shukrani wakati wa     kufunga kambi maalumu ya upasuaji wa moyo iliyofanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao kutoka Shirika la O...

Viongozi wa JKCI Hospital ya Dar Group wajengewa uwezo wa kudhibiti viha...

Image

Viongozi wa JKCI Hospital ya Dar Group wajengewa uwezo wa kudhibiti vihatarishi vya kiutendaji

Image
Viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospital ya Dar Group wakimsikiza CPA. Cosmas Mbogela wakati akitoa  mafunzo ya jinsi ya  kutambua na kudhibiti vihatarishi vinavyoweza kuathiri utendaji kazi wa hospitali hiyo yanayofanyika kwa siku tatu jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospital ya Dar Group Dkt. Tulizo Shemu na Mkuu wa Kitengo cha  Ugavi na Ununuzi  wa hospitali hiyo Iddi Lemmah wakimsikiza CPA. Cosmas Mbogela wakati akitoa  mafunzo ya jinsi ya kutambua na kudhibiti vihatarishi vinavyoweza kuathiri utendaji kazi wa hospitali hiyo yanayofanyika  kwa siku tatu jijini Dar es Salaam. ************************************************************************************************************************************************************************************** Viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group wanahudhuria   mafunzo ya kutambua na kudhibiti vihata...

Watoto 9 wafanyiwa upasuaji wa moyo kwa mafanikio JKCI

Image
Wataalamu wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao wa  Shirika la Save a Child’s Heart (SACH) la nchini Israel   wakizibua mshipa wa damu wa moyo wa mtoto uliokuwa umeziba,  kwa kutumia mtambo wa Cathlab wakati wa kambi maalumu ya matibabu kwa watoto iliyomalizika hivi karibuni. *************************************************************************************************************************************************************************************************************** Watoto tisa wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wamefanyiwa upasuaji wa moyo kwa mafanikio kwenye kambi maalumu ya matibabu ya siku mbili iliyomalizika hivi karibuni katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Upasuaji huo umefanywa na wataalamu wa magonjwa ya moyo kwa watoto JKCI kwa kushirikiana na wenzao kutoka Shirika la Save a Child’s Heart (SACH) la nchini Israel. Akizungumza na waandishi wa habari Dakt...

Shindano la uandishi wa Insha kwa wanafunzi wa shule za Sekondari"Moyo W...

Image

Zawadi nono kutolewa kwa washindi uandishi wa Insha Mashuleni "Moyo Wangu Afya Yangu"

Image

JKCI yawagusa wananchi wa Anjouan – Wagonjwa 852 wapatiwa huduma za matibabu ya moyo

Image
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Salehe Mwinchete akimkabidhi zawadi Mkurugenzi wa Hospitali ya Hombo iliyopo kisiwani Anjouan Dkt. Ibrahim Salim Mari mara baada ya kumaliza kwa kambi ya matibabu ya madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali kutoka Tanzania wakiwemo wa moyo iliyokuwa inatolewa kwa wananchi.   Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Salehe Mwinchete akiangalia dawa anazotumia Abdouloihid Idarouse mkazi wa kisiwa cha Ngazidja ambaye alifanyiwa upasuaji kwa njia ya tundo dogo wa kuzibua mshipa wa damu wa moyo uliokuwa umeziba katika taasisi hiyo. Idarouse alifika katika hospitali ya Hombo iliyopo kisiwani Anjouan ambako madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali kutoka Tanzania wakiwemo wa JKCI walikuwa wanatoa huduma za matibabu kwa wananchi. Mtaalamu wa vipimo vya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Gerson Mpondo akimkabidhi mkazi wa kisiwa cha  Anjouan  Soufiane Mohamed maj...