Tumaini jipya kwa watoto wenye magonjwa ya moyo: JKCI na China waunganisha nguv
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi zawadi Mkurugenzi wa Fedha wa International Health Exchange and Cooperation Center kutoka nchini China, Yong Yu alipotembelea taasisi hiyo kufuatilia utekelezaji wa ushirikiano katika matibabu ya moyo kwa watoto ikiwa ni ahadi ya Rais wa nchi hiyo Xi Jinping aliyoitoa katika Mkutano wa Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika mwaka 2024. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Fedha wa International Health Exchange and Cooperation Center kutoka nchini China, Yong Yu alipotembelea taasisi hiyo kufuatilia utekelezaji wa ushirikiano katika matibabu ya moyo kwa watoto ikiwa ni ahadi ya Rais wa nchi hiyo Xi Jinping aliyoitoa katika Mkutano wa Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika mwaka 2024. Mkurugenz...