Posts

Ukuaji wa teknolojia wachochea ufanisi matibabu ya moyo

Image
Baadhi ya wadau wa sekta ya afya wakifuatilia mada inayohusu magonjwa ya moyo wakati wa mdahalo wa kitaaluma (Symposium) uliofanyika jana katika kituo cha mikutano cha Jakaya Kikwete  katika kuadhimisha ya wiki ya Afya kitaifa  **************************************************************************************** Imeelezwa kuwa ukuaji na maendeleo ya Teknolojia umechochea kwa kiwango kikubwa katika ufanisi wa kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo hapa nchini. Hayo yamebainishwa   jana Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Upasuaji wa Moyo kutoka Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya wakati akitoa wasilisho kwenye mdahalo wa Kitaaluma (Symposium) uliofanyika wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Afya Kitaifa. Dkt. Angela alisema matumizi ya Teknolojia yamekuwa na ufanisi mkubwa kwenye matibabu ya magonjwa ya moyo kwani kwa kutumia simu Janja App mwananchi anaweza kupima mapigo ya moyo, shinikizo la damu na umeme wa moyo.   “Serika...

JKCI yatoa huduma za matibabu ya moyo bila malipo Zanzibar

Image
   Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Aika Nnkya akimuonyesha mkazi wa Zanzibar kipimo cha kuangalia jinsi moyo wake unavyofanya kazi wakati wa zoezi la upimaji na matibabu ya magonjwa ya moyo bila malipo linalofanyika     katika uwanja wa Amaani. Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dotto Sebastian akimpatia dawa za moyo mkazi wa Zanzibar aliyefika   katika uwanja wa Amaani kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zinazotolewa bila malipo katika kikao kazi cha 20 cha Maafisa Habari, Uhusiano na Itifaki wa Serikali.

Wakazi wa Zanzibar watakiwa kujitokezeni kupimwa afya ya moyo

Image
Afisa Muuguzi wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Happy Mabonka akimpima shinikizo la damu mkazi wa Zanzibar aliyefika katika uwanja wa Amaani kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zinazotolewa bila malipo na wataalamu wa taasisi hiyo katika kikao kazi  cha 20 cha Maafisa Habari, Uhusiano na Itifaki wa Serikali kilichoandaliwa na Idara za Habari - Maelezo za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Happy Mabonka akizungumza na wakazi wa Zanzibar waliokuwa wanasubiri kumuona daktari wakati wa zoezi la upimaji na matibabu ya moyo linalofanyika katika  uwanja wa Amaani. ************************************************************************************************************************************************************************************************************************ Wakazi wa Zanzibar wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupata huduma za kibingw...

Wafanyakazi wa JKCI wafuturu kwa pamoja

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi hiyo wakati wa futari ya pamoja iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika foleni ya kuchukua futari iliyoandaliwa na Taasisi hiyo jana jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuturu wakati wa futari iliyoandaliwa na Taasisi hiyo jana jijini Dar es Salaam. Picha na: Hamis Mussa ***********************************************************************************************

Wizara ya Maji yachangia matibabu ya watoto watano wenye magonjwa ya moyo

Image
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Eng. Mwajuma Waziri akimkabidhi mfano wa hundi ya Tshs. Milioni 20 iliyotolewa na Wizara hiyo pamoja na Taasisi zake kwaajili ya kugharamia matibabu ya watoto watano wenye magonjwa ya moyo kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya alipotembelea Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu Wizara ya Maji Eng. Mwajuma Waziri akiwajulia hali watoto waliolazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) alipofika katika Taasisi hiyo leo kwaajili ya kukabidhi mfano wa hundi ya Tshs. Milioni 20 iliyotolewa na Wizara hiyo pamoja na Taasisi zake kwaajili ya kugharamia matibabu ya watoto watano wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI. Msimamizi wa Wodi ya watoto wenye magonjwa ya moyo ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Tedy Tarimo akimuelezea namna wodi hiyo inavyotoa huduma kwa watoto hao Katibu Mkuu Wizara ya Maji Eng. Mwajuma Waziri alipofika katika Taasisi hiyo leo kwaajili ya kukabidhi mfano wa hundi y...

Young Tanzanian doctor masters cardiac screening under Chinese mentorship

Image

Feature: Young Tanzanian doctor masters cardiac screening under Chinese mentorship

Image
Mercy Theogenes (R) screens a child with congenital heart diseases under the guidance of Zhao Lijian, a pediatric cardiologist from the 27th Chinese medical team, in Dar es Salaam, Tanzania, March 5, 2025. (Xinhua/Emmanuel Herman) Mercy Theogenes speaks during an interview with Xinhua in Dar es Salaam, Tanzania, March 5, 2025. (Xinhua/Emmanuel Herman) ****************************************************************************************************************************************** On a sunny Wednesday morning, Mercy Theogenes, a 25-year-old Tanzanian cardiovascular technologist, was busy screening children with congenital heart diseases at the state-of-the-art Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) in Dar es Salaam. Under the guidance of Zhao Lijian, a pediatric cardiologist from the 27th Chinese medical team, Theogenes conducted the screenings adeptly and confidently. "After six months of training with Dr. Zhao, I have become proficient in screening children for cardiovas...