Posts

Tumaini jipya kwa watoto wenye magonjwa ya moyo: JKCI na China waunganisha nguv

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi zawadi Mkurugenzi wa Fedha wa International Health Exchange and Cooperation Center kutoka nchini China, Yong Yu alipotembelea taasisi hiyo  kufuatilia utekelezaji wa ushirikiano katika matibabu ya moyo kwa watoto  ikiwa ni  ahadi ya Rais wa nchi hiyo  Xi Jinping aliyoitoa katika Mkutano wa Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC)  uliofanyika mwaka 2024. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Fedha wa International Health Exchange and Cooperation Center kutoka nchini China, Yong Yu alipotembelea taasisi hiyo  kufuatilia utekelezaji wa ushirikiano katika matibabu ya moyo kwa watoto ikiwa ni  ahadi ya Rais wa nchi hiyo Xi Jinping aliyoitoa katika Mkutano wa Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC)  uliofanyika mwaka 2024.   Mkurugenz...

“Alikuwa Taa Yetu”: JKCI Yamkumbuka Patrick kwa maono yake makubwa

Image
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa afisa TEHAMA wa Taasisi hiyo    marehemu Patrick Ngalawa (30) aliyefariki alfajiri ya tarehe    09/12/2025 jijini Dar es Salaam. Mwili wa marehemu Patrick utazikwa kesho tarehe 13/12/2025 Manyoni mkoani Singida.   Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Delilah Kimambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya wakiwa katika misa ya kuuaga mwili wa  aliyekuwa Afisa TEHAMA  wa JKCI  marehemu Patrick Ngalawa iliyofanyika jana katika viwanja vya JKCI jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanafamilia wa aliyekuwa  afisa TEHAMA wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Patrick Ngalawa wakiwa katika misa ya kuuaga mwili wa  aliyekuwa Afisa TEHAMA  wa JKCI...

Wagonjwa 760 kunufaika na mpango wa bilioni 6.7 wa Serikali

Image
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wakati wa kikao kazi na   wafanyakazi wa sekta ya afya wa mkoa wa Dar es Salaam kilichofanyika hivi karibuni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) iliyopo Jijini Dar es Salaam . Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na wakurugenzi wa Taasisi za Afya mara baada ya kumalizika kwa kikao kazi   watumishi wa sekta hiyo kilichofanyika hivi karibuni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam. Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) akizungumza na wafanyakazi wa sekta ya afya wakati wa kikao kazi na watumishi hao kilichofanyika hivi karibuni  katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam.  Baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa (MB) wakati wa kikao kazi cha  watumis...

Dkt. Peter Kisenge aandika historia: Atwaa tuzo ya CEO bora wa 2025

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge ambaye pia ni daktari bingwa wa magonjwa ya moyo na mtaalamu wa kuzibua mishipa ya damu ya moyo iliyoziba akimuhudumia mgonjwa kutoka nchini Malawi alinayetibiwa katika Taasisi hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge. Tuzo ambayo Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya  (JKCI) Dkt. Peter Kisenge amepewa ya kuwa  Mkurugenzi Mtendaji Bora wa Mwaka 2025 iliyotolewa na kampuni ya Eastern Star Consulting Group kwa ushirikiano na CEO Roundtable South Africa. ***************************************************************************************************************** Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge ameibuka mshindi wa Tuzo ya Mkurugenzi Mtendaji Bora wa Mwaka 2025 iliyotolewa na kampuni ya Eastern Star Consulting Group kwa ushirikiano na CEO Roundtable South Africa. Tuzo hiyo imetolewa hivi karibuni kat...

JKCI yaanza kutoa matibabu ya kupunguza msisimko wa shinikizo la damu katika mishipa ya figo

Image

JKCI yaweka tena historia; Yaanza kutoa matibabu ya kupunguza msisimko wa shinikizo la damu katika mishipa ya figo

Image
Wataalamu wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na mwenzao kutoka Hospitali ya Shifa iliyopo nchini Misri Mohamed Atef wakimfanyia upasuaji wa kupunguza msisimko wa shinikizo la damu katika mishipa ya damu inayoenda kwenye figo (Renal denervation therapy) mgonjwa mwenye tatizo la shinikizo la juu la damu la muda mrefu wakati wa kambi maalumu ya siku moja ya matibabu hayo inayofanyika JKCI. Matibabu hayo yanatolewa kwa mara ya kwanza Tanzania, Afrika Mashariki na Kati. ******************************************************************************************************** Kwa mara ya kwanza Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) yawekea historia Tanzania, Afrika Mashariki na Kati kwa kutoa matibabu mapya ya tiba ya kupunguza msisimko wa shinikizo la damu katika mishipa ya figo (Renal denervation therapy). Matibabu hayo ambayo yameanza kutolewa leo katika Taasisi hiyo yanatolewa kwa wagonjwa wenye matatizo ya shinikizo la juu la damu la muda mrefu ambalo halishuki kwa matibab...

Moyo kwa Moyo: NMB yaendelea kuwagusa watoto kupitia JKCI

Image