Posts

Showing posts from January, 2022

Wataalam wa afya wapatiwa mafunzo ya kutambua moyo unaofanya kazi chini ya asilimia 50

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akitoa elimu ya jinsi ya kutambua moyo unaofanya kazi chini ya asilimia 50 kwa wataalam wa afya kutoka hospitali za wilaya na binafsi za Mkoa wa Dar es Salaam walioshiriki mafunzo maalum ya siku mbili ya jinsi ya kutoa huduma ya dharura kwa wagonjwa yaliyoandaliwa na kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharura na kufanyika katika ukumbi wa JKCI leo Jijini Dar es Salaam Baadhi ya washiriki wa mafunzo maalum ya kutoa huduma ya dharura wakifuatilia elimu iliyokuwa ikitolewa na Prof. Janabi (hayupo pichani) wakati wa mafunzo maalum ya siku mbili ya jinsi ya kutoa huduma ya dharura kwa wagonjwa yaliyoandaliwa na kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharula na kufanyika katika ukumbi wa JKCI leo Jijini Dar es Salaam Washiriki wa Mafunzo ya siku mbili ya jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wa dharura wakifanya mazoezi kwa vitendo jinsi ya kuokoa maisha ya mtu anayehitaji huduma ya dharura wakati wa mafunzo ya s

Prof. Janabi afungua mafunzo ya jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wa dharura na mahututi

Image
Daktari bingwa wa mifupa ambaye pia ni Mkufunzi kutoka kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharura (Emergency Medicine Services Academy - EMSA)  Sylvester Faya    akiwafundisha washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya jinsi ya kumuhudumia mgonjwa   wa dharura na mahututi yanayofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Washiriki wa mafunzo hayo ni waganga na wauguzi wafawidhi kutoka hospitali mbalimbali hapa nchini. Washiriki wa   mafunzo   ya jinsi ya kuwahudumia wagonjwa   wa dharura na mahututi yaliyoandaliwa na   kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharura (Emergency Medicine Services Academy - EMSA) yanayofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam wakijifunza kwa vitendo jinsi ya kuwahudumia wagonjwa hao . Washiriki wa mafunzo hayo ya siku mbili ni waganga na wauguzi wafawidhi kutoka hospitali mbalimbali hapa nchini. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mo

Diaspora yaahidi kushirikiana na Afrika katika kuboresha huduma za afya

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza na aliyekuwa mwakilishi wa umoja wa Afrika nchini Marekani ambaye pia ni mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Waafrika wanaoishi Marekani (Diaspora – ADDI) Balozi Arikana Chihombori – Quao alipotembelea Taasisi hiyo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa leo Jijini Dar es Salaam Aliyekuwa mwakilishi wa umoja wa Afrika nchini Marekani ambaye pia ni mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Waafrika wanaoishi Marekani (Diaspora – ADDI) Balozi Arikana Chihombori – Quao akimjulia hali mtoto aliyelazwa katika wodi ya watoto wenye magonjwa ya moyo alipotembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Tulizo Shem akimwelezea aliyekuwa mwakilishi wa umoja wa Afrika nchini Marekani ambaye pia ni m

Ripoti ya Uviko - 19

Image
 

Madaktari bingwa wazawa wafanya uchunguzi na upasuaji wa moyo kwa njia y...

Image

Watoa msaada wa vifaa tiba vya shilingi milioni 81 kwa ajili ya matibab...

Image

Watoto wenye matatizo ya moyo kutoka nje ya nchi watibiwa JKCI

Image

SACH Israel na Canada watoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 81 kwa ajili ya matibabu ya moyo kwa watoto

Image
  Wataalamu wabobezi wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)   wakiziba tundu la moyo wa mtoto kwa njia ya upasuaji wa bila kufungua kifua kupitia tundu dogo linalotobolewa kwenye paja kwa kutumia mtambo wa Cathlab (Catheterization   Laboratory). Vifaa vya kuziba   tundu hilo vimetolewa msaada na Shirika la Okoa Moyo wa Mtoto (Save a Child’s Heart – SACH) la nchini Israel na Canada. Mafundi sanifu   wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika   mashine iliyowekwa dawa ya kuwezesha kuonesha tundu lililopo kwenye moyo wakati wataalamu wabobezi wa magonjwa ya moyo kwa watoto wakiziba tundu la moyo wa mtoto kwa njia ya upasuaji wa bila kufungua kifua kupitia tundu dogo linalotobolewa kwenye paja kwa kutumia mtambo wa Cathlab (Catheterization   Laboratory). **********************************************************************************************************************************************  Shirika la   Okoa Moyo wa Mtoto (