Diaspora yaahidi kushirikiana na Afrika katika kuboresha huduma za afya

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza na aliyekuwa mwakilishi wa umoja wa Afrika nchini Marekani ambaye pia ni mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Waafrika wanaoishi Marekani (Diaspora – ADDI) Balozi Arikana Chihombori – Quao alipotembelea Taasisi hiyo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa leo Jijini Dar es Salaam


Aliyekuwa mwakilishi wa umoja wa Afrika nchini Marekani ambaye pia ni mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Waafrika wanaoishi Marekani (Diaspora – ADDI) Balozi Arikana Chihombori – Quao akimjulia hali mtoto aliyelazwa katika wodi ya watoto wenye magonjwa ya moyo alipotembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam


Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Tulizo Shem akimwelezea aliyekuwa mwakilishi wa umoja wa Afrika nchini Marekani ambaye pia ni mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Waafrika wanaoishi Marekani (Diaspora – ADDI) Balozi Arikana Chihombori – Quao huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa kwa wagonjwa baada ya balozi huyo kutembelea moja ya chumba cha kliniki wakati wa ziara yake kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi katika picha ya pamoja na aliyekuwa mwakilishi wa umoja wa Afrika nchini Marekani ambaye pia ni mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Waafrika wanaoishi Marekani (Diaspora – ADDI) Balozi Arikana Chihombori – Quao baada ya kufanya ziara katika Taasisi hiyo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa leo Jijini Dar es Salaam

 

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari