Posts

Showing posts from 2021

Wachezaji wawili wa klabu ya Yanga wafanyiwa vipimo vya moyo kabla ya kupatiwa leseni ya kujiunga na timu hiyo

Image
Fundi sanifu wa moyo (Cardiovascular technologist) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Paschal Kondi akimpima kipimo cha kuangalia jinsi mfumo wa umeme wa moyo unavyofanya kazi (Electrocardiography – ECG) mchezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Yanga Aboutwaleeb Mshery wakati wachezaji wawili wa timu hiyo walipofika katika Taasisi hiyo kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa afya ya moyo kabla ya kupata leseni ya kujiunga na timu hiyo Radiografa wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Indrisa Juma akimpima X-ray ya kifua ili kuchunguza moyo na mapafu mchezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Yanga Salum Salum (Sureboy) wakati wachezaji wawili wa timu hiyo walipofika katika Taasisi hiyo jana kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa afya ya moyo kabla ya kupata leseni ya kujiunga na timu hiyo  Mtaalam wa maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Jordan Megabe akimtoa damu mchezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Yanga Aboutwaleeb Mshery wakati wachezaji wawili wa timu hiyo walipofika katika Taasi

Mara ya kwanza upasuaji wa kuzibua mshipa wa damu wa moyo wafanyika nchi...

Image

Mafunzo ya wahudumia wagonjwa wa dharura na mahututi

Image

Kwa mara ya kwanza upasuaji wa kuzibua mshipa wa damu wa moyo wafanyika nchini kwa njia ya tiba mtandao

Image
  Wataalamu wa magonjwa ya moyo na wazibuaji wa mishipa ya damu ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimfanyia mgonjwa upasuaji   mgumu (Complex Percutaneous Coronary Intervention – PCI)   wa kuzibua mshipa wa moyo uliokuwa umeziba kwa asilimia 99 na hivyo kushindwa kupitisha damu vizuri   kwa njia ya tiba mtandao (Telemedicine). Wataalamu kutoka Shirika la madaktari Afrika waliopo Hospitali ya Central jimbo la Virginia nchini Marekani walikuwa wanatoa maelekezo ya jinsi ya kuzibua mshipa huo kwa wenzao wa JKCI waliopo nchini Tanzania.   Wataalamu wa magonjwa ya moyo na wazibuaji wa mishipa ya damu ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza kumfanyia mgonjwa upasuaji   mgumu (Complex Percutaneous Coronary Intervention – PCI)   wa kuzibua mshipa wa moyo uliokuwa umeziba kwa asilimia 99 na hivyo kushindwa kupitisha damu vizuri   kwa njia ya tiba mtandao (Telemedicine). Wataalamu kutoka Shirika la madaktari Afrika

Upasuaji wa moyo kwa watoto kwa udhamini wa Mfalme Salman

Image

Watoto 23 wafanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo katika kambi maalum ya matibabu inayofanyika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete

Image
    Madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao kutoka Kituo cha Mfalme Salman cha Misaada ya Kibinadamu kilichopo nchini Saud Arabia walimfanyia mtoto upasuaji mkubwa wa kuziba tundu lililopo kwenye moyo wakati wa kambi maalum ya matibabu ya moyo ya siku 10 inayofanyika katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.   ******************************************************************************** TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI  WATOTO 23 WAFANYIWA UPASUAJI MKUBWA WA MOYO KATIKA KAMBI MAALUM YA MATIBABU INAYOFANYIKA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) Jumla ya watoto 23 wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo (Congenital Heart Disease) wamefanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo katika kambi maalum ya matibabu ya moyo inayofanyika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Upasuaji huo wa moyo unafanywa na   Madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kik