Wafanyakazi wa TBC Taifa watoa msaada kwa watoto wenye magonjwa ya moyo

Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji la Taifa upande wa redio ya taifa (TBC taifa) wakimkabidhi msimamizi wa wodi ya watoto wenye magonjwa ya moyo ambaye pia ni Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Tedy Tarimo zawadi kwa ajili ya watoto baada ya kumalizika kwa kipindi cha Mirindimo ya Asubuhi kilichokuwa kinarushwa mubashara kupitia redio hiyo leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam  

Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa upande wa redio ya taifa (TBC taifa) Johari Mayoka akimkabidhi zawadi mbalimbali mama ambaye mtoto wake amelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya matibabu ya moyo Janeth Lema baada ya kumalizika kwa kipindi cha Mirindimo ya Asubuhi kilichokuwa kinarushwa mubashara kupitia redio hiyo leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam

Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa upande wa redio ya taifa (TBC taifa) Bety Tesha akimkabidhi zawadi mbalimbali mama ambaye mtoto wake amelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya matibabu ya moyo Siwa Selemani baada ya kumalizika kwa kipindi cha Mirindimo ya Asubuhi kilichokuwa kinarushwa mubashara kupitia redio hiyo leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam

Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa upande wa redio ya taifa (TBC taifa) Mbazigwa Hassan akimkabidhi zawadi mbalimbali mama ambaye mtoto wake amelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya matibabu ya moyo Monica Kobe baada ya kumalizika kwa kipindi cha Mirindimo ya Asubuhi kilichokuwa kinarushwa mubashara kupitia redio hiyo leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam


 Fundi mitambo wa Shirika la Utangazaji la Taifa upande wa redio ya taifa (TBC taifa) Nicholaus Mwanyilu akimkabidhi zawadi mbalimbali mama ambaye mtoto wake amelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya matibabu ya moyo Aziza Kondo baada ya kumalizika kwa kipindi cha Mirindimo ya Asubuhi kilichokuwa kinarushwa mubashara kupitia redio hiyo leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam 

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari