Viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wahitimu mafunzo ya ngazi ya juu ya Ukurugenzi (Mastery Directorship)

Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. William Mahalu akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Taasisi hiyo walioshiriki mafunzo  ya ngazi ya juu  ya Ukurugenzi (Mastery Directorship) yaliyoandaliwa na Taasisi ya wakurugenzi Tanzania(Institute of Directors in Tanzania) kulia kwake ni Mtendaji Mkuu wa  Taasisi hiyo Said Kambi.


Mtendaji Mkuu wa  Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (Institute of Directors in Tanzania) Said Kambi akimkabidhi Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)  Prof. William Mahalu cheti cha kuhitimu mafunzo ya ngazi ya juu  ya Ukurugenzi (Mastery Directorship) yalifanyika hivi karibuni katika Hoteli za Malaika  na Aden Palace zilizopo jijini Mwanza.

Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. William Mahalu akimkabidhi  Mkurugenzi wa Uuguzi wa Taasisi hiyo Robert Mallya cheti cha  kuhitimu mafunzo ya ngazi ya juu  ya Ukurugenzi (Mastery Directorship) yaliyoandaliwa na Taasisi ya wakurugenzi Tanzania (Institute of Directors in Tanzania). Mafunzo hayo ya siku tatu yalifanyika hivi karibuni  katika Hoteli za Malaika  na Aden Palace zilizopo jijini Mwanza.

Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. William Mahalu akimkabidhi  Mkuu wa  Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Taasisi hiyo Anna Nkinda cheti cha  kuhitimu mafunzo ya ngazi ya juu  ya Ukurugenzi (Mastery Directorship) yaliyoandaliwa na Taasisi ya wakurugenzi Tanzania (Institute of Directors in Tanzania). Mafunzo hayo ya siku tatu yalifanyika hivi karibuni  katika Hoteli za Malaika  na Aden Palace zilizopo jijini Mwanza.

Mkuu wa Kitengo cha Sheria na Katibu wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adv. Maulid Kikondo akipokea cheti kutoka kwa Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya taasisi hiyo Prof. William Mahalu mara baada ya kuhitimu mafunzo ya ngazi ya juu  ya Ukurugenzi (Mastery Directorship) yaliyoandaliwa na Taasisi ya wakurugenzi Tanzania(Institute of Directors in Tanzania). Mafunzo hayo ya siku tatu yalifanyika hivi karibuni  katika Hoteli za Malaika  na Aden Palace zilizopo jijini Mwanza

     Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa ubora wa huduma wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naiz Majani akipokea cheti kutoka kwa Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya taasisi hiyo Prof. William Mahalu mara baada ya kuhitimu mafunzo ya ngazi ya juu  ya Ukurugenzi (Mastery Directorship) yaliyoandaliwa na Taasisi ya wakurugenzi Tanzania (Institute of Directors in Tanzania) . Mafunzo hayo ya siku tatu yalifanyika hivi karibuni katika Hoteli za Malaika  na Aden Palace zilizopo jijini Mwanza.

                                                                                                                                                         


  Washiriki wa  mafunzo ya ngazi ya juu  ya Ukurugenzi (Mastery Directorship) yaliyoandaliwa na Taasisi ya wakurugenzi Tanzania (Institute of Directors in Tanzania) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufunguliwa kwa mafunzo hayo ya siku  tatu yalifanyika katika Hoteli za Malaika  na Aden Palace zilizopo jijini Mwanza.

                                                     

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari