Posts

Showing posts from November, 2025

Jamii yatakiwa kuchunguza afya mara kwa mara ili kuzuia magonjwa yasiyoambukiza

Image
Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Edward Martin akiwafundisha wafanyakazi wa TATA Africa Holdings Limited umuhimu wa kupata vipimo na matibabu ya magonjwa ya moyo mapema wakati wa kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya moyo iliyofanyika katika ofisi za kampuni hiyo zilizopo vingunguti Dar es Salaam. Fundi sanifu wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikiwete (JKCI) Renata Kulwa akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiography - ECHO) mfanyakazi wa TATA Africa Holdings Limited wakati wa kambi maalum ya uchunguzi na matibabu ya moyo iliyofanyika katika ofisi za kampuni hiyo zilizopo vingunguti Dar es Salaam. Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Husna Faraji akimfundisha namna ya kuzingatia lishe bora mfanyakazi wa TATA Africa Holdings Limited wakati wa kambi maalum ya uchunguzi na matibabu ya moyo iliyofanyika katika ofisi za kampuni hiyo zilizopo vingunguti Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa TATA Africa...

Mwelekeo mpya wa huduma za moyo: JKCI yaunganisha timu yake kuunda mpango mkakati wa 2026/2031

Image
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya mpango mkakati wa watu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Tiba Shirikishi Dkt. Naizihijwa Majani akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi wakati wa kikao cha kuwashirikisha wafanyakazi kuhusu mpango huo kilichofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa JKCI uliopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Fedha na Katibu wa maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Agnes Kuhenga akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi hiyo wakati wa kikao cha kuwashirikisha wafanyakazi kuhusu mpango huo kilichofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa JKCI uliopo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa katika kikao cha kuwashirikisha wafanyakazi kuhusu maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam. Na JKCI **************************************************************************...

Huduma kamili za moyo Kawe: Maabara, Vipimo na dawa kwa wagonjwa

Image

Hatua mpya JKCI: Huduma za moyo sasa zinakufuata kazini

Image

Hatua mpya JKCI: Huduma za moyo sasa zinakufuata kazini

Image
Afisa Masoko wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Agnes Mndasha akimkabidhi Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) CPA. Nicodemas Deogratius Mkama folder lenye taarifa za taasisi hiyo wakati wa kambi maalum ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo katika ofisi za CMSA zilizopo Garden Avenue Tower jijini Dar es Salaam. Wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wafanyakazi wa  Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa kambi maalum ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo  katika ofisi za CMSA  zilizopo Garden Avenue Tower jijini Dar es Salaam. Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Maria Samlongo  akitoa elimu ya jinsi ya kuepukana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza yakiwemo ya moyo kwa kufuata mtindo bora wa maisha kwa wafanyakazi wa  Mamlaka ya Masoko na Mitaji (CMSA) wakati wa kambi maalum ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo  kati...

Huduma za JKCI Dar Group Kuboreka Kupitia Ujenzi wa Jengo la Kisasa

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi tuzo ya shukrani Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo (JKCI) Hospitali ya Dar Group Dkt. Tulizo Shemu wakati wa kikao na wafanyakazi wa JKCI Hospitali ya Dar Group katika ukumbi wa mikutano hospitalini hapo. Tuzo hiyo imetolewa kutambua mchango na kujituma kwao katika kutoa huduma bora kwa wananchi. Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo (JKCI) Hospitali ya Dar Group Dkt. Tulizo Shemu akitoa ripoti ya utendaji kazi ya robo mwaka 2025/2026 wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete Hospitali ya Dar Group kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wakati wa kikao cha  wafanyakazi wa hospitali hiyo kilichofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group wakisikiliza  ripoti ya utendaji kazi ya robo mwaka 2025/2026 iliyokuwa inasomwa na Mkurugenzi wa Hospitali hiyo D...

Wagonjwa wasifu huduma bora za moyo kliniki ya JKCI Kawe

Image

JKCI yahimiza wananchi kuhudhuria kliniki ya moyo Kawe

Image

JKCI yaandaa mpango mkakati mpya wa miaka mitano 2026/2031

Image

JKCI yaandaa mpango mkakati mpya wa miaka mitano 2026/2031

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na V iongozi na Waratibu wa taasisi hiyo pamoja na waratibu wakati wa mafunzo ya kuandaa mpango mkakati wa JKCI wa mwaka 2026/2031 yaliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Agnes Kuhenga akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa mafunzo ya kuandaa mpango mkakati wa taasisi hiyo wa mwaka 2026/2031 yaliyofanyika hivi karibuni  jijini  Dar es Salaam. Baadhi ya  V iongozi  na Waratibu  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Mwezeshaji kutoka  Kampuni ya Ernest & Young (EY)   Obi Kamwaga wakati wa mafunzo ya kuandaa mpango mkakati wa taasisi hiyo wa mwaka 2026/2031 yaliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Mwezeshaji Obi Kamwaga  kutoka  Kampuni ya Ernes...

Hatua kubwa JKCI – yazindua kitengo cha kisasa cha Dialysis kwa wagonjwa wa moyo

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza  na  wafanyakazi  wa kitengo cha  kusafisha damu  (dialysis unit)   ambacho kinatoa huduma kwa wagonjwa wa moyo wenye matatizo ya figo wanaotibiwa katika taasisi hiyo . Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akikata utepe wakati wa uzinduzi wa kitengo cha usafishaji damu  (dialysis unit)  ambacho kinatoa huduma kwa wagonjwa wa moyo wenye matatizo ya figo wanaotibiwa katika taasisi hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa taasisi hiyo mara baada kuzindia kitengo cha  kusafisha damu (dialysis unit)  kinachotoa huduma kwa wagonjwa wa moyo wenye matatizo ya figo wanaotibiwa katika taasisi hiyo. ********************************************************************************************************************************...

Wahasibu JKCI wagusa mioyo ya wagonjwa

Image

Wahasibu JKCI wagusa mioyo ya wagonjwa

Image
Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Agnes Kuhenga akimkabidhi Afisa Muuguzi wa taasisi hiyo ambaye pia ni msimamizi wa wodi ya watoto Maryam Maarufu zawadi za   watoto waliolazwa katika wodi hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wahasibu. Mhasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mohamed Isimbula akimkabidhi zawadi mzazi wa mtoto aliyelazwa katika taasisi hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wahasibu. Mkuu wa Kitengo cha   Uhasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Reuben Nyiti akimkabidhi Afisa Muuguzi wa taasisi hiyo ambaye pia ni msimamizi wa wodi ya watoto Maryam Maarufu zawadi za   watoto waliolazwa katika wodi hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wahasibu. *************************************************************************************************************** Jamii imetakiwa kujenga utamaduni wa kusaidia watu wenye mahitaji mbalimba...

JKCI yapokea mashine ya kisasa kuboresha uangalizi wa wagonjwa ICU

Image

JKCI yapokea mashine ya kisasa kuboresha uangalizi wa wagonjwa ICU

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akipokea kutoka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya kusambaza vifaa tiba ya Computech Healthcare Tanzania Sandip Datta msaada wa monitor ambayo inapokea taarifa za hali za wagonjwa zaidi ya 16 kwa wakati mmoja (Monitoring Central Station). Monitor hiyo yenye thamani ya shilingi milioni 68 itasaidia kukusanya taarifa za hali za wagonjwa waliolazwa katika wodi ya wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU). Mkurugenzi wa kampuni ya kusambaza vifaa tiba ya Computech Healthcare Tanzania Sandip Datta akimuonesha Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge namna Monitor ya kupokea taarifa za hali za wagonjwa zaidi ya 16 (Monitoring Central Station) inavyofanya kazi wakati kampuni hiyo ilipotoa msaada wa monita hiyo leo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Idara ya Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Robert Mallya akisikiliza maelekezo ya jinsi   ya kutumia monitor inay...