Kampuni ya Vunja bei yatoa zawadi za vyombo kwa wafayakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Mkurugenzi
wa Kampuni ya Vunja bei Shija Kamanija akimpa zawadi ya boxi lenye glasi za
kuywea juice Vida Mushi ambaye ni mfanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya
Kikwete (JKCI) mara baada ya kufika katika taasisi hiyo jana kwa ajili ya kutoa
zawadi za vyombo na kuwauzia wafanyakazi bidhaa hizo kwa bei naafuu.
Kampuni hiyo ilifanya hivyo ikiwa ni moja ya njia ya kufikisha huduma
wanayoitoa kiurahisi kwa wafanyakazi hao pamoja na kuwapa motisha ya kazi
wanayoifanya ya kutibu wagonjwa wenye matatizo ya moyo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Vunjabei ShijaKamanija akimpa zawadi ya vikombe vya chai Rebecca Kengele ambaye ni mfanyakazi wa TaasisiyaMoyoJakayaKikwete (JKCI) mara baada ya kufika katika taasisi hiyo jana kwaajili ya kutoa zawadi za vyombo na kuwauzia wafanyakazi bidhaa hizo kwa bei naafuu. Kampuni hiyo ilifanya hivyo ikiwani moja ya njia ya kufikisha huduma wanayoitoa kiurahisi kwa wafanyakazi hao pamoja na kuwapa motisha yakazi wanayoifanya ya kutibu wagonjwa wenye matatizo ya moyo.
Mkurugenzi
wa Kampuni ya Vunja bei Shija Kamanija akimkabidhi zawadi ya mashine ya
kutengeneza juisi za matunda Mwanasheria wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) Maulid Kikondo alipofika katika taasisi hiyo kwa ajili ya
kutoa zawadi za vyombo pamoja na kuwauzia wafanyakazi bidhaa hizo kwa bei
naafuu. Kampuni hiyo pia imetoa zawadi za vifaa vya kuwekea taka pamoja na
vyombo ambavyo vitatumika katika maeneo mbalimbali ya Taasisi hiyo.
Mkurugenzi
wa Kampuni ya Vunja bei Shija Kamanija akimkabidhi zawadi ya micro wave Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi mara
baada ya kufika katika taasisi hiyo kwa ajili ya kutoa zawadi za
vyombo na kuwauzia wafanyakazi bidhaa hizo kwa bei naafuu. Kampuni hiyo ilitoa
zawadi za vyombo kwa Taasisi na wafanyakazi ikiwa ni moja ya njia ya
kufikisha huduma wanayoitoa kiurahisi kwa wafanyakazi hao pamoja na kuwapa
motisha ya kazi wanayoifanya ya kutibu wagonjwa wenye matatizo ya moyo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Vunja bei Shija Kamanija akimpa
zawadi ya sahani za chakula Polycarp France
ambaye ni mfanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) mara baada
ya kufika katika taasisi hiyo kwa ajili ya kutoa zawadi za vyombo na kuwauzia wafanyakazi bidhaa
hizo kwa bei naafuu. Kampuni hiyo ilifanya hivyo ikiwa ni moja ya njia ya
kufikisha huduma wanayoitoa kiurahisi kwa wafanyakazi hao pamoja na kuwapa
motisha ya kazi wanayoifanya ya kutibu wagonjwa wenye matatizo ya moyo.
Comments
Post a Comment