Popular posts from this blog
Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi
Wahasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Ashura Ally na Edna Sanga wakifuatilia mada ya wakifuatilia mada ya kumbukumbu gani umeiacha katika eneo lako la kazi kutokana na matendo yako mazuri uliyoyafanya iliyokuwa inatolewa katika mkutano wa Chama cha Wahasibu Wanawake Tanzania (TAWCA) unaofanyika jijini Arusha. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Idrisa Ndende akimpima kiwango cha sukari kwenye damu Mhasibu aliyefika katika banda la taasisi hiyo kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo wakati wa mkutano wa Chama cha Wahasibu Wanawake Tanzania (TAWCA) unaofanyika jijini Arusha. Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Agnes Kuhenga na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo Engerasia Kifai wa taasisi hiyo wakifuatilia mada ya kumbukumbu gani umeiacha katika eneo lako la kazi kutokana na matendo yako mazuri uliyoyafanya iliyokuwa inatolewa katika m...
Kutoka miaka 22 hadi kustaafu: Safari ya Lemmah yatoa somo kwa Watumishi wa Umma
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi mfano wa hundi ya zawadi ya kustaafu aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi JKCI Dar Group Iddi Lemmah wakati wa hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika jana katika ukumbi wa Taasisi ya hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasiliamali Watu wa JKCI, Ghati Chacha. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi tuzo ya shukrani kutokana na mchango wake alioutoa katika taasisi hiyo aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi JKCI Dar Group Iddi Lemmah ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika jana katika ukumbi wa Taasisi ya hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasiliamali Watu wa JKCI Ghati Chacha. Mkurugenzi wa Utawala na Rasiliamali Watu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ghati Chacha akimkabidhi cheti cha shukrani kutokan...



Comments
Post a Comment