Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na uongozi wa wilaya ya Ubungo watafanya upimaji wa magonjwa ya Moyo bila malipo kwa wananchi wa jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake tarehe 17/5/2021 ikiwa ni siku ya maadhimisho ya siku ya Shinikizo la juu la Damu Duniani.

                                        Mwananchi akipimwa Shinikizo la Damu (BP)

 




Comments

Popular posts from this blog

Wateja wa CRDB kutibiwa JKCI kwa punguzo la asilimia 50%

Wanawake wa JKCI SACCOS wanaongoza kwa kumiliki hisa

JKCI, MOI NA MNH waitwa Comoro kutoa huduma za matibabu ya kibingwa