Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) washiriki futari ya pamoja iliyoandaliwa na Kurugenzi ya Tiba Shirikishi
Mfanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Fathiya Mustafa akiomba dua ya chakula wakati wa futari iliyoandaliwa na Kurugenzi ya Tiba Shirikishi jana Jijini Dar es Salaam. Kila mwaka wakati wa Ramadhani Kurugenzi tano za Taasisi hiyo zinaandaa futari kwa nyakati tofauti kwa ajili ya wafanyakazi wa Taasisi hiyo
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakichukua chakula wakati wa futari ya pamoja iliyoandaliwa na Kurugenzi ya Tiba Shirikishi jana Jijini Dar es Salaam. Kila mwaka wakati wa Ramadhani Kurugenzi tano za Taasisi hiyo zinaandaa futari kwa nyakati tofauti kwa ajili ya wafanyakazi wa Taasisi hiyo
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakila futari iliyoandaliwa na Kurugenzi ya Tiba Shirikishi jana Jijini Dar es Salaam. Kila mwaka wakati wa Ramadhani Kurugenzi tano za Taasisi hiyo zinaandaa futari kwa nyakati tofauti kwa ajili ya wafanyakazi wa Taasisi hiyo
Comments
Post a Comment