Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) waungana na wafanyakazi wengine kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani



Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani leo katika Uwanja wa Uhuru iliyoadhimishwa kitaifa Jijini Dodoma na kusherehekewa na wafanyakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru


Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika picha ya pamoja baada ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani iliyofanyika kitaifa Jijini Dodoma leo na kusherehekewa na wafanyakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru


Picha na: JKCI

 ********************************************************************************************************************

 

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari