Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) waungana na wafanyakazi wengine kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani



Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani leo katika Uwanja wa Uhuru iliyoadhimishwa kitaifa Jijini Dodoma na kusherehekewa na wafanyakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru


Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika picha ya pamoja baada ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani iliyofanyika kitaifa Jijini Dodoma leo na kusherehekewa na wafanyakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru


Picha na: JKCI

 ********************************************************************************************************************

 

Comments

Popular posts from this blog

Wateja wa CRDB kutibiwa JKCI kwa punguzo la asilimia 50%

Wanawake wa JKCI SACCOS wanaongoza kwa kumiliki hisa

JKCI, MOI NA MNH waitwa Comoro kutoa huduma za matibabu ya kibingwa