Wananchi Mkoa wa Dar es Salaam kupata huduma za uchunguzi wa magonjwa ya moyo bila malipo katika kampeni ya Afya Check
Daktari
bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Tulizo
Shem akimpima shinikizo la damu Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mhe. Amos Makalla
ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa kampeni ya upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza
(Afya Check) kwa wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam ilioandaliwa na Kampuni Clouds
Media Group kwa kushirikiana na Hospitali zinazotoa huduma ya magonjwa
yasiyoambukiza leo katika Viwanja vya Tanganyika Packers.
Daktari
bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Tulizo
Shem akimpima urefu na uzito Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mhe. Amos Makalla
wakati wa uzinduzi wa kampeni ya upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza (Afya
Check) kwa wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam ulioandaliwa na Kampuni Clouds
Media Group kwa kushirikiana na Hospitali zinazotoa huduma ya magonjwa
yasiyoambukiza leo katika Viwanja vya Tanganyika Packers. Upimaji huo
unatarajiwa kufanyika katika Wilaya zote za Mkoa wa Dar es Salaam kwa siku kumi
Wananchi
wa Wilaya ya Kinondoni wakifuatilia elimu iliyokua ikitolewa na Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Janabi (hayupo pichani)
wakati wa uzinduzi wa kampeni ya upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza (Afya
Check) kwa wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam ulioandaliwa na Kampuni Clouds
Media Group kwa kushirikiana na Hospitali zinazotoa huduma ya magonjwa
yasiyoambukiza leo katika Viwanja vya Tanganyika Packers. Upimaji huo
unatarajiwa kufanyika katika Wilaya zote za Mkoa wa Dar es Salaam kwa siku kumi
Fundi
sanifu wa Moyo (Cardiovascular Technologist) Jusmine Keria akimsomea majibu
mwananchi kutoka Wilaya ya Kinondoni baada ya kumfanyia kipimo cha kuangalia
mfumo wa umeme wa moyo (Electrocardiograph – ECG) wakati wa uzinduzi wa kampeni
ya upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza (Afya Check) kwa wananchi wa Mkoa wa Dar
es Salaam ulioandaliwa na Kampuni Clouds Media Group kwa kushirikiana na
Hospitali zinazotoa huduma ya magonjwa yasiyoambukiza leo katika Viwanja vya
Tanganyika Packers. Upimaji huo unatarajiwa kufanyika katika Wilaya zote za
Mkoa wa Dar es Salaam kwa siku kumi
Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi
akimsikiliza mwananchi aliyefika katika banda la JKCI kwa ajili ya kufanyiwa
uchunguzi wa magonjwa ya moyo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya upimaji wa
magonjwa yasiyoambukiza (Afya Check) kwa wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam
ulioandaliwa na Kampuni Clouds Media Group kwa kushirikiana na Hospitali
zinazotoa huduma ya magonjwa yasiyoambukiza leo katika Viwanja vya Tanganyika
Packers.
Wataalam
wa moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakitoa huduma kwa
wananchi wa Wilaya ya Kinondoni waliofika katika banda la JKCI kwa ajili ya
kuchunguza afya zao wakati wa uzinduzi wa kampeni ya upimaji wa magonjwa
yasiyoambukiza (Afya Check) kwa wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam ulioandaliwa
na Kampuni Clouds Media Group kwa kushirikiana na Hospitali zinazotoa huduma ya
magonjwa yasiyoambukiza leo katika Viwanja vya Tanganyika Packers. Upimaji huo
unatarajiwa kufanyika katika Wilaya zote za Mkoa wa Dar es Salaam kwa siku kumi
Picha na: Genofeva Matemu
********************************************************************************************
Comments
Post a Comment