JKCI yapongezwa kwa kutoa huduma za kibingwa za matibabu ya moyo barani Afrika
Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Nicole Kanyawa akimwelezea huduma zinazotolewa na taasisi hiyo Msanii wa Muziki nchini Mrisho Mpoto atembelea banda la Taasisi hiyo lililiokuwa katika mkutano wa nishati wa wakuu wa nchi za Afrika jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Alex Benjamini akimuelezea namna moyo unavyofanya kazi mshiriki wa mkutano wa nishati wa wakuu wa nchi za Afrika kutoka nchini Malawi alipotembelea banda la Taasisi hiyo jijini Dar es Salaam. Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Nicole Kanyawa akimuelezea namna taasisi hiyo inavyofanya utalii tiba mshiriki wa mkutano wa nishati wa wakuu wa nchi za Afrika kutoka nchini Djibouti alipotembelea banda la taasisi hiyo jijini Dar es Salaam. Daktari kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika Nelly Iteba akizungumza na wataalamu wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuhusu masuala ya tiba utalii alipotembelea banda la JKCI...