Wakazi wa Arusha wapata huduma za uchunguzi wa moyo




Daktari bingwa wa watoto kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Rose Chengo akichuwa taarifa za mkazi wa Arusha aliyefika katika viwanja vya TBA Kaloleni Arusha kwa ajili ya kupata huduma za upimaji wa moyo. Katika kuadhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake wataalamu wanawake wa Taasisi hiyo wanatoa huduma ya upimaji wa magonjwa ya moyo kwa wanawake, wajawazito, watoto na wanaume waliojitokeza kupata huduma hiyo.


Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo na Mkuu wa Kitengo cha Vipimo vya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Engerasia Kifai akizungumza na  mkazi wa Arusha aliyefika katika viwanja  vya TBA Kaloleni jijini Arusha kwa ajili ya kupata huduma za uchunguzi wa magonjwa ya moyo. Katika kudhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake wataalamu wanawake wa taasisi hiyo wanafanya upimaji wa magonjwa ya moyo kwa wanawake, wajawazito, watoto na wanaume waliojitokeza kupata huduma hiyo.


Wataalamu wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakichukuwa taarifa za wakazi wa Arusha waliofika katika 
viwanja vya TBA Kaloleni  kwa ajili ya kupata huduma za upimaji wa moyo. Katika kuadhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake wataalamu wanawake wa Taasisi hiyo wanatoa huduma ya upimaji wa magonjwa ya moyo kwa wanawake, wajawazito, watoto na wanaume waliojitokeza kupata huduma hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)