Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) yafanya upimaji wa viashiria vya magonjwa ya moyo pamoja na kutoa uelewa wa magojwa hayo katika mkutano wa walimu wakuu wa shule za sekondari nchini unaofanyika jijini Dodoma


 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akitoa mada kuhusu magonjwa ya moyo na jinsi ya kuyaepuka kwa walimu waliohudhuria mkutano wa walimu wakuu wa shule za sekondari nchini uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete uliopo jijini Dodoma. JKCI imeshiriki katika mkutano huo kwa kufanya upimaji wa viashiria vya magonjwa ya moyo  pamoja na kutoa uelewa (awareness) wa magojwa hayo.

Baadhi ya walimu wakuu wa shule za Sekondari nchini wakimsikiliza Prof. Mohamed Janabi wakati akitoa mada kuhusu magojwa ya moyo na jinsi ya kuyaepuka wakati wa  mkutano mkuu wa walimu hao uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete uliopo jijini Dodoma. JKCI imeshiriki katika mkutano huo kwa kufanya upimaji wa viashiria vya magonjwa ya moyo  pamoja na kutoa uelewa (awareness) wa magojwa hayo.

Wafanyakazi wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwapima walimu wakuu wa shule za Sekondari nchini viashiria vya magonjwa ya moyo wakati wa mkutano wa walimu hao uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete uliopo jijini Dodoma. JKCI imeshiriki katika mkutano huo kwa kufanya upimaji wa viashiria vya magonjwa ya moyo  pamoja na kutoa uelewa (awareness) wa magojwa hayo.

Wafanyakazi wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Mohamed Janabi wakiwapima walimu wakuu wa shule za Sekondari nchini viashiria vya magonjwa ya moyo wakati wa mkutano wa walimu hao uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete uliopo jijini Dodoma. JKCI imeshiriki katika mkutano huo kwa kufanya upimaji wa viashiria vya magonjwa ya moyo  pamoja na kutoa uelewa (awareness) wa magojwa hayo.

Mfanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) David Mtoka akimwelekeza mwalimu mkuu wa shule ya sekondari namna ya kujaza fomu ili aweze kupimwa viashiria vya magojwa ya moyo wakati wa mkutano wa walimu hao unaofanyika jijini Dodoma. JKCI imeshiriki katika mkutano huo kwa kufanya upimaji wa viashiria vya magonjwa ya moyo  pamoja na kutoa uelewa (awareness) wa magojwa hayo.

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mohamed Wamara akiwaelekeza madhara ya uwiano wa uzito na  urefu kutolingana baadhi ya walimu wakuu wa  shule za sekondari nchini waliofika katika banda la Taasisi hiyo kwa ajili ya kupima viashiria vya magojwa ya moyo wakati wa mkutao wa walimu hao unaofanyika jijini Dodoma. JKCI imeshiriki katika  mkutano huo kwa kufanya upimaji wa viashiria vya magonjwa ya moyo  pamoja na kutoa uelewa (awareness) wa magojwa hayo.

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari