Madaktari wazawa wa JKCI kwa mara ya kwanza wapandikiza mishipa miwili ya damu katika moyo bila ya kuusimamisha moyo (Off-Pump Coronary Artery Bypass Surgery)

Madaktari wazawa wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa mara ya kwanza wakipandikiza mishipa miwili ya damu katika moyo bila ya kuusimamisha moyo (Off-Pump Coronary Artery Bypass Surgery) kwa mgonjwa ambaye mishipa yake mitatu ya damu ilikua imeziba na uwezo wa moyo kufanya kazi ukiwa umeshuka na kubaki asilimia 27 hivyo kumsababishia kuchoka na kushindwa kufanya kazi leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam




 

Comments

Popular posts from this blog

Wateja wa CRDB kutibiwa JKCI kwa punguzo la asilimia 50%

Wanawake wa JKCI SACCOS wanaongoza kwa kumiliki hisa

JKCI, MOI NA MNH waitwa Comoro kutoa huduma za matibabu ya kibingwa