Madaktari wazawa wa JKCI kwa mara ya kwanza wapandikiza mishipa miwili ya damu katika moyo bila ya kuusimamisha moyo (Off-Pump Coronary Artery Bypass Surgery)

Madaktari wazawa wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa mara ya kwanza wakipandikiza mishipa miwili ya damu katika moyo bila ya kuusimamisha moyo (Off-Pump Coronary Artery Bypass Surgery) kwa mgonjwa ambaye mishipa yake mitatu ya damu ilikua imeziba na uwezo wa moyo kufanya kazi ukiwa umeshuka na kubaki asilimia 27 hivyo kumsababishia kuchoka na kushindwa kufanya kazi leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam




 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Wafanyakazi waliohama JKCI waagwa