Wafanyakazi bora wa JKCI wapongezwa


Mfanyakazi bora wa robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya kwanza Joshua Ogutu  akiunganisha vifaa kwa ajili ya kuwasha mashine ya kumsaidia mgonjwa kupumua (Ventilator) ikiwa ni moja ya majukumu yake ya kazi za kila siku


Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kiwete (JKCI) Hildergurd Karau akipokea cheti kwa niaba ya Mfanyakazi bora wa robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya pili Afisa muuguzi Mohamed Wamara kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi bora leo Jijini Dar es Salaam.


Mfanyakazi bora wa robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya tatu Kelvin Manyanga akipokea cheti cha mfanyakazi bora kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam.

 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Wafanyakazi waliohama JKCI waagwa