Bodi ya Wadhamini ya JKCI yafanya kikao maalumu, yapitia mpango mkakati wa mwaka 2026/2031
Wajumbe wa Bodi ya
Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Viongozi wa Menejimenti wa
Taasisi hiyo wakisikiliza wakati wa kikao maalumu cha Bodi kilichofanyika
mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya
Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Hassan Mahmoud Mshinda
akiongoza kikao maalumu cha Bodi hiyo kilichofanyika mwishoni mwa wiki katika
ukumbi wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Bodi ya
Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Godfrey Kilenga
akichangia mada wakati wa kikao maalumu cha Bodi hiyo kilichofanyika mwishoni
mwa wiki katika ukumbi wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Bodi ya
Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambaye pia ni Mkurugenzi
Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Delilah Kimambo akichangia
mada wakati wa kikao maalumu cha bodi hiyo kilichofanyika mwishoni mwa wiki katika
ukumbi wa Taaisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.
Katibu wa Bodi ya
Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambaye pia ni Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi hiyo Dkt. Peter Kisenge akielezea mpango mkakati wa mwaka
2026/2031 wa Taasisi hiyo kwa wajumbe wa Bodi ya Wadhamini wakati wa kikao
maalumu cha Bodi hiyo kilichofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Taasisi
hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wajumbe wa
Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mada
zilizokuwa zikiendelea wakati wa kikao maalumu cha Bodi hiyo kilichofanyika
mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam.
Na JKCI
******************************************************************************************
Comments
Post a Comment