Wagonjwa wa moyo kutoka Comoro wapatiwa matibabu ya moyo JKCI


 

Wataalamu wabobezi wa magonjwa ya moyo na wazibuaji wa mishipa ya damu ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimzibua mshipa wa damu wa upande wa kulia unaopeleka damu kwenye moyo mgonjwa  kutoka Comoro ambaye mshipa wake wa damu ulikua umeziba kwa asilimia 80.
 

Comments

Popular posts from this blog

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Kutoka miaka 22 hadi kustaafu: Safari ya Lemmah yatoa somo kwa Watumishi wa Umma