Wagonjwa wa moyo kutoka Comoro wapatiwa matibabu ya moyo JKCI


 

Wataalamu wabobezi wa magonjwa ya moyo na wazibuaji wa mishipa ya damu ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimzibua mshipa wa damu wa upande wa kulia unaopeleka damu kwenye moyo mgonjwa  kutoka Comoro ambaye mshipa wake wa damu ulikua umeziba kwa asilimia 80.
 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Wafanyakazi waliohama JKCI waagwa