Wagonjwa wa moyo kutoka Comoro wapatiwa matibabu ya moyo JKCI
Wataalamu wabobezi wa magonjwa ya moyo na wazibuaji wa mishipa ya damu ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimzibua mshipa wa damu wa upande wa kulia unaopeleka damu kwenye moyo mgonjwa kutoka Comoro ambaye mshipa wake wa damu ulikua umeziba kwa asilimia 80.
Comments
Post a Comment