Wafanyakazi bora wa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/2022 wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wapongezwa kwa utendaji mzuri wa kazi

Mfanyakazi bora wa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya kwanza Dkt. Winnie Masakuya akipokea zawadi ya ngao kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Robert Mallya wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi bora leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam

Mfanyakazi bora wa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya pili Radiographer Idris Juta akipokea cheti cha mfanyakazi bora kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Robert Mallya wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi bora leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam.

Mfanyakazi bora wa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya tatu Edna Sanga akipokea cheti cha mfanyakazi bora kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Robert Mallya wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam.


 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo