Wafanyakazi bora wa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/2022 wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wapongezwa kwa utendaji mzuri wa kazi
Mfanyakazi bora wa
robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya kwanza Dkt.
Winnie Masakuya akipokea zawadi ya ngao kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Robert Mallya wakati wa hafla fupi ya
kuwapongeza wafanyakazi bora leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo Jijini Dar es
Salaam
Mfanyakazi bora wa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya pili Radiographer Idris Juta akipokea cheti cha mfanyakazi bora kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Robert Mallya wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi bora leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam.
Mfanyakazi bora wa robo ya pili ya
mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya tatu Edna Sanga akipokea cheti
cha mfanyakazi bora kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo
Jakaya Kikwete (JKCI) Robert Mallya wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza
wafanyakazi hao iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo Jijini Dar es
Salaam.
Comments
Post a Comment