Kuelekea siku ya Wanawake Duniani Wanawake wa JKCI wawafanyia upimaji wa viashiria vya magonjwa ya moyo Wanawake wa BAPS Charity

Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Happy Sanga akimpima uzito, urefu na uwiano wa urefu na uzito (BMI) mwanamke kutoka BAPS Charity wakati wanawake wa JKCI walipowatembelea wanawake wa BAPS Charity kwa ajili ya kuwafanyia vipimo vya kuchunguza viashiria vya magonjwa ya moyo katika kuelekea siku ya wanawake duniani jana katika ukumbi wa BAPS Jijini Dar es Salaam 

Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Morine Daniel akimpima wingi wa sukari mwilini mwanamke kutoka BAPS Charity wakati wanawake wa JKCI walipowatembelea wanawake wa BAPS Charity kwa ajili ya kuwafanyia vipimo vya kuchunguza viashiria vya magonjwa ya moyo katika kuelekea siku ya wanawake duniani jana katika ukumbi wa BAPS Jijini Dar es Salaam

Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Atu Ulimboka akimpima mapigo ya moyo mwanamke kutoka BAPS Charity wakati wanawake wa JKCI walipowatembelea wanawake wa BAPS Charity kwa ajili ya kuwafanyia vipimo vya kuchunguza viashiria vya magonjwa ya moyo katika kuelekea siku ya wanawake duniani jana katika ukumbi wa BAPS Jijini Dar es Salaam

Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hildergard Karau akimpima shinikizo la damu mwanamke kutoka BAPS Charity wakati wanawake wa JKCI walipowatembelea wanawake wa BAPS Charity kwa ajili ya kuwafanyia vipimo vya kuchunguza viashiria vya magonjwa ya moyo katika kuelekea siku ya wanawake duniani jana katika ukumbi wa BAPS Jijini Dar es Salaam

Baadhi ya wanawake wa BAPS Charity wakiwa katika foleni ya kufanyiwa uchunguzi wa viashiria vya magonjwa ya moyo uliokuwa ukifanywa na wanawake kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika kuelekea siku ya Wanawake duniani jana katika ukumbi wa BAPS Jijini Dar es Salaam

Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Agness Kuhenga akimfanyia usajili mwanamke wa BAPS Charity baada ya kufanyiwa baadhi ya vipimo vya kuchunguza viashiria vya magonjwa ya moyo wakati wanawake wa JKCI walipowafanyia vipimo wanawake hao katika kuelekea siku ya wanawake duniani jana katika ukumbi wa BAPS Jijini Dar es Salaam

Mkurugenzi wa Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angella Muhozya akimpatia ushauri mwanamke kutoka BAPS Charity baada ya kufanyiwa uchunguzi wa viashiria vya magonjwa ya moyo wakati wanawake wa JKCI walipowatembelea wanawake wa BAPS kwa ajili ya kuwafanyia vipimo vya kuchunguza viashiria vya magonjwa ya moyo katika kuelekea siku ya wanawake duniani jana katika ukumbi wa BAPS Jijini Dar es Salaam

Mkuu wa Kitengo cha Huduma Bora wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizhijwa Majani akimsikiliza mwanamke kutoka BAPS Charity baada ya kufanyiwa vipimo vya viashiria vya magonjwa ya moyo wakati wanawake wa JKCI walipowatembelea wanawake wa BAPS kwa ajili ya kuwafanyia vipimo vya kuchunguza viashiria vya magonjwa ya moyo katika kuelekea siku ya wanawake duniani jana katika ukumbi wa BAPS Jijini Dar es Salaam

Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JCKI) Husna Faraji akimwelezea lishe bora mwanamke kutoka BAPS Charity wakati wanawake wa JKCI walipowatembelea wanawake wa BAPS kwa ajili ya kuwafanyia vipimo vya kuchunguza viashiria vya magonjwa ya moyo katika kuelekea siku ya wanawake duniani jana katika ukumbi wa BAPS Jijini Dar es Salaam

Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Smita Bhalia akimwelezea namna ya kutumia dawa mwanamke kutoka BAPS Charity wakati wanawake wa JKCI walipowatembelea wanawake wa BAPS kwa ajili ya kuwafanyia vipimo vya kuchunguza viashiria vya magonjwa ya moyo katika kuelekea siku ya wanawake duniani jana katika ukumbi wa BAPS Jijini Dar es Salaam

Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Stella Mongella akimpatia ushauri wa namna ya kujikinga na magonjwa ya moyo mwanamke kutoka BAPS Charity wakati wanawake wa JKCI walipowatembelea wanawake wa BAPS kwa ajili ya kuwafanyia vipimo vya kuchunguza viashiria vya magonjwa ya moyo katika kuelekea siku ya wanawake duniani jana katika ukumbi wa BAPS Jijini Dar es Salaam

Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwafanyia usajili wanawake kutoka BAPS Charity wakati wanawake wa JKCI walipowatembelea wanawake wa BAPS Charity kwa ajili ya kuwafanyia vipimo vya kuchunguza viashiria vya magonjwa ya moyo katika kuelekea siku ya wanawake duniani jana katika ukumbi wa BAPS Jijini Dar es Salaam


Picha na JKCI

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)