Maafisa wauguzi wanaohudhuria mafunzo ya jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wa dharula na mahututi (Critical Care Emergence) yanayotolewa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wajifunza namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa

 

Maafisa wauguzi wanaohudhuria mafunzo ya wiki 27 ya kuwahudumia wagonjwa wa dharula na mahututi (Critical Care Emergence) yanayotolewa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam wakijifunza kwa vitendo namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa  mtu mzima. Mafunzo hayo ya namna ya kutoa huduma hiyo yalitolewa na wataalamu kutoka kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharura (Emergence Medicine Services Academy – EMSA).

Maafisa wauguzi wanaohudhuria mafunzo ya wiki 27 ya kuwahudumia wagonjwa wa dharula na mahututi (Critical Care Emergence) yanayotolewa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam wakijifunza namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa  mtoto. Mafunzo hayo ya namna ya kutoa huduma hiyo yalitolewa na wataalamu kutoka kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharura (Emergence Medicine Services Academy – EMSA).

Mkufunzi kutoka kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharura (Emergence Medicine Services Academy – EMSA) kilichopo jijini Dar es Salaam Afisa muuguzi Happy Urassa akiwafuatilia wauguzi wanaohudhuria mafunzo ya kuwahudumia wagonjwa wa dharula na mahututi (Critical Care Emergence) jinsi wanavyojifunza kwa vitendo namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa  mtu mzima . Mfunzo hayo ya wiki 27 yanatolewa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa wauguzi 12 kutoka Hospitali mbalimbali nchini.

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo