Maafisa wauguzi wanaohudhuria mafunzo ya jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wa dharula na mahututi (Critical Care Emergence) yanayotolewa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wajifunza namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa

 

Maafisa wauguzi wanaohudhuria mafunzo ya wiki 27 ya kuwahudumia wagonjwa wa dharula na mahututi (Critical Care Emergence) yanayotolewa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam wakijifunza kwa vitendo namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa  mtu mzima. Mafunzo hayo ya namna ya kutoa huduma hiyo yalitolewa na wataalamu kutoka kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharura (Emergence Medicine Services Academy – EMSA).

Maafisa wauguzi wanaohudhuria mafunzo ya wiki 27 ya kuwahudumia wagonjwa wa dharula na mahututi (Critical Care Emergence) yanayotolewa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam wakijifunza namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa  mtoto. Mafunzo hayo ya namna ya kutoa huduma hiyo yalitolewa na wataalamu kutoka kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharura (Emergence Medicine Services Academy – EMSA).

Mkufunzi kutoka kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharura (Emergence Medicine Services Academy – EMSA) kilichopo jijini Dar es Salaam Afisa muuguzi Happy Urassa akiwafuatilia wauguzi wanaohudhuria mafunzo ya kuwahudumia wagonjwa wa dharula na mahututi (Critical Care Emergence) jinsi wanavyojifunza kwa vitendo namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa  mtu mzima . Mfunzo hayo ya wiki 27 yanatolewa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa wauguzi 12 kutoka Hospitali mbalimbali nchini.

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)