Watu 102 wafanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam

Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi ambaye pia ni Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Delilah Kimambo akimwelezea madhara ya magonjwa ya moyo mwananchi aliyefika katika banda la JKCI kwa ajili ya kupata huduma za upimaji na matibabu ya moyo bila malipo wakati wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa jana katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Jumla ya watu 102 walifanyiwa uchunguzi wa  magonjwa ya moyo ambapo 41 walipewa dawa za kutumia.




Wanawake wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakipita mbele ya mgeni rasmi wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Katibu Tawala mkoa wa Dar es Salaam Hassan Rugwa wakati wa maadhimisho hayo yaliyofanyika kimkoa jana katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. 

Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Edna Mulenda akimpima urefu, uzito na uwiano wa urefu na uzito (BMI) mgeni rasmi wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam Hassan Rugwa wakati wa maadhimisho hayo yaliyofanyika kimkoa jana katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. 


Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Nai Kipuyo akimpima shinikizo la damu (BP) mwananchi aliyefika katika banda la JKCI kwa ajili ya kupata huduma za upimaji na matibabu ya moyo bila malipo wakati wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa jana katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Jumla ya watu 102 walifanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo ambapo 41 walipewa dawa za kutumia.


Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Fathiya Mustafa akimpima kiwango cha sukari mwilini mwananchi aliyefika katika banda la JKCI kwa ajili ya kupata huduma za upimaji na matibabu ya moyo bila malipo wakati wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa jana katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Jumla ya watu 102 walifanyiwa uchunguzi wa  magonjwa ya moyo ambapo 41 walipewa dawa za kutumia.


Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Rehema Ng’anzi akimpima shinikizo la damu (BP) na kiwango cha oxygen mwilini  mwananchi aliyefika katika banda la JKCI kwa ajili ya kupata huduma za upimaji na matibabu ya moyo bila malipo wakati wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa jana katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Jumla ya watu 102 walifanyiwa uchunguzi wa  magonjwa ya moyo ambapo 41 walipewa dawa za kutumia.


Mhasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA Ashura Ally akichukuwa taarifa za mwananchi aliyefika katika banda laTaasisi hiyo kwa ajili ya kupata huduma za upimaji na matibabu ya moyo bila malipo wakati wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa jana katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Jumla ya watu 102 walifanyiwa uchunguzi wa  magonjwa ya moyo ambapo 41 walipewa dawa za kutumia.


Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Elizabeth Meli akimpima shinikizo la damu (BP) mwananchi aliyefika katika banda la JKCI kwa ajili ya kupata huduma za upimaji na matibabu ya moyo bila malipo wakati wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa jana katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Jumla ya watu 102 walifanyiwa uchunguzi wa  magonjwa ya moyo ambapo 41 walipewa dawa za kutumia.


Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hildergard Karau akiwakaribisha wananchi waliofika katika banda la Taasisi hiyo kwa ajili ya kupata huduma za upimaji na matibabu ya moyo bila malipo wakati wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa jana katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Jumla ya watu 102 walifanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo ambapo 41 walipewa dawa za kutumia.


Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adelphina Mcheye akimwelezea umuhimu wa  lishe bora kwa mwananchi aliyefika katika banda la JKCI kwa ajili ya kupata huduma za upimaji na matibabu ya moyo bila malipo wakati wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa jana katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Jumla ya watu 102 walifanyiwa uchunguzi wa  magonjwa ya moyo ambapo 41 walipewa dawa za kutumia.


Mkurugenzi wa huduma za Upasuaji na mwenyekiti wa chama cha wanawake wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angella Muhozya akizungumza na wanawake walioshiriki  kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani  yaliyofanyika kimkoa katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kuhusu huduma za upimaji na matibabu ya moyo zilizokuwa zinatolewa na Taasisi hiyo. Jumla ya watu 102 walifanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo ambapo 41 walipewa dawa za kutumia.


Mwakilishi kutoka kampuni ya uingizaji na usambazaji wa dawa na vifaa tiba ya Samiro Pharmaceutical LTD Manzi Isaac akimpatia zawadi ya mashine ya kupimia kiwango cha sukari mwilini mwanamke aliyekutwa na tatizo la sukari wakati wa zoezi la upimaji na matibabu ya magonjwa ya moyo lililofanywa na wanawake wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa jana katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Jumla ya watu 102 walifanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo ambapo 41 walipewa dawa za kutumia.


Mwakilishi kutoka kampuni ya uingizaji na usambazaji wa dawa na vifaa tiba ya Ajanta Pharma Ltd Alex Kyando akimkabidhi dawa ya shinikizo la juu la damu mwananchi  aliyekutwa na tatizo la shinikizo la juu la damu wakati wa zoezi la upimaji na matibabu ya  magonjwa ya moyo  bila malipo uliofanywa na wanawake wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika jana kimkoa katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Jumla ya watu 102 walifanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo ambapo 41 walipewa dawa za kutumia.


Wanawake wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza kupita mbele ya mgeni rasmi wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Katibu Tawala mkoa wa Dar es Salaam Hassan Rugwa wakati wa maadhimisho hayo yaliyofanyika kimkoa jana katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. 


Mwakilishi kutoka kampuni ya uingizaji na usambazaji wa dawa na vifaa tiba ya Sun pharma Ltd Emmanuel Mtui akimkabidhi dawa ya shinikizo la juu la damu (BP) mwananchi  aliyekutwa na tatizo la Shinikizo la juu la damu wakati wa zoezi la upimaji na matibabu ya  magonjwa ya moyo  bila malipo uliofanywa na wanawake wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika jana kimkoa katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Jumla ya watu 102 walifanyiwa uchunguzi wa  magonjwa ya moyo ambapo 41 walipewa dawa za kutumia.


Mwakilishi kutoka kampuni ya uingizaji na usambazaji wa dawa na vifaa tiba ya EMCURE – PHILLIPS Pharmaceutical Faraja Mkwama akimkabidhi dawa ya shinikizo la juu la damu mwananchi  aliyekutwa na tatizo la Shinikizo la damu wakati wa zoezi la upimaji na matibabu ya  magonjwa ya moyo  bila malipo uliofanywa na wanawake wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika jana kimkoa katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Jumla ya watu 102 walifanyiwa uchunguzi wa  magonjwa ya moyo ambapo 41 walipewa dawa za kutumia.

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)