China kuleta vifaa tiba nchini

Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt. Godwin Mollel akimkaribisha Naibu Waziri Mkuu wa Serikali ya Watu wa China Mhe. Liu Guozhong alipofanya ziara katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) leo kuona huduma zinazotolewa. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimuelezea mafanikio ya Taasisi hiyo tangu kuanzishwa kwake Naibu Waziri Mkuu wa Serikali ya Watu wa China Mhe. Liu Guozhong alipofanya ziara katika Taasisi hiyo leo kuona huduma zinazotolewa. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimuelezea huduma zinazotolewa katika chumba cha upasuaji wa tundu dogo (CathLab) Naibu Waziri Mkuu wa Serikali ya Watu wa China Mhe. Liu Guozhong alipofanya ziara katika Taasisi hiyo leo kuona huduma zinazotolewa. Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt. Godwin Mollel akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri Mkuu wa Serikali ya Watu wa China Mhe. Liu Guozhong na viongozi wengine wa Serikali mara baada ya ziara ya Naibu Wazir...