Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo atembelea banda la JKCI na kuwataka wananchi kujitokeza kupima magonjwa ya moyo


Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Prof. Kitila Mkumbo akiweka sahihi katika kitabu cha wageni alipotembelea banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa leo Jijini Dar es Salaam.


Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Prof. Kitila Mkumbo akiangalia moja ya dawa zinazotolewa bure na kampuni ya madawa ya Ajanta Pharma limited kwa wananchi wanaopatiwa huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) alipotembelea banda hilo lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa leo Jijini Dar es Salaam.


Mkuu wa Kitengo cha Tafiti na Mafunzo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizhijwa Majani akimwelezea Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Prof. Kitila Mkumbo huduma zinazotolewa katika banda la JKCI alipotembelea banda hilo lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa leo Jijini Dar es Salaam


Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Husna Faraji akimuonesha Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Prof. Kitila Mkumbo mfano wa picha inayoonyesha mla kamili ulijumuisha makundi yote ya chakula alipotembelea banda la JKCI lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa leo Jijini Dar es Salaam.


Afisa Tafiti na Mafunzo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Bruno Selege akimfanyia usajili mwananchi aliyefika katika banda la JKCI lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.


Mteknolojia wa Maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Jordan Megabe akimtoa damu kwa ajili ya kuifanyia uchunguzi mwananchi aliyetembelea banda la JKCI lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa leo Jijini Dar es Salaam.

Na: JKCI















 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)