Wananchi wajitokeza kupima afya zao katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete wakati wa maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa.

 


Mteknolojia wa Maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Jordan Megabe akitoa elimu kuhusu magonjwa ya moyo kwa mwananchi aliyetembelea banda la JKCI  lililopo katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Martha Emmanuel akimpima urefu, uzito na uwiano wa urefu na uzito mwananchi aliyetembelea banda la JKCI leo lililopo katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.
Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Parvina Kazaura akitoa ushauri wa afya  ya moyo kwa mwananchi aliyetembelea banda la JKCI lililopo katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Joyce Kaiza akimpima shinikizo la damu (BP)mwananchi aliyetembelea banda la JKCI leo lililopo katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo katika barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.
Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Maria Samlongo akitoa ushauri wa ulaji unaofaa kwa mwananchi aliyetembelea banda la JKCI leo lililopo katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo katika barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Baraka Ndelwa akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiography) kwa kutumia mashine ya V-Scan mwananchi aliyetembelea banda la JKCI lililopo katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo katika barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Sophia Bishashara akimpima wingi wa sukari mwilini mwananchi aliyetembelea banda la JKCI leo lililopo katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo katika barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.
Baadhi ya washiriki wa maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam wakiwa katika  picha ya pamoja wakati wa maonesho hayo yanayofanyika  katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo  barabara ya Kilwa.

Comments

Popular posts from this blog

Wateja wa CRDB kutibiwa JKCI kwa punguzo la asilimia 50%

Wanawake wa JKCI SACCOS wanaongoza kwa kumiliki hisa

JKCI, MOI NA MNH waitwa Comoro kutoa huduma za matibabu ya kibingwa