Menejimenti ya JKCI yapokea kombe la mshindi wa kwanza kwa utoaji wa huduma za afya na matumizi ya Teknolojia katika tiba lililotolewa na TanTrade wakati wa Maonesho ya 45 ya Sabasaba


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza na wawakilishi wa JKCI walioshiriki Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyomalizika hivi karibuni katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa kukabidhi kombe la mshindi wa kwanza kwa utoaji wa huduma za afya na matumizi ya Teknolojia katika tiba leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam 

Mkurugenzi wa Utawala na Fedha wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA. Agnes Kuhenga akitoa neno la pongezi kwa wawakilishi wa JKCI walioshiriki Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyomalizika hivi karibuni katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa kukabidhi kombe la mshindi wa kwanza kwa utoaji wa huduma za afya na matumizi ya Teknolojia katika tiba leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam 

Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mohamed Aloyce akitoa taarifa ya upimaji wa wananchi waliotembelea banda la JKCI kwenye Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyomalizika hivi karibuni katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa kukabidhi kombe la mshindi wa kwanza kwa utoaji wa huduma za afya na matumizi ya Teknolojia katika tiba leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam 


Mteknolojia wa Maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Jordan Megabe akielezea namna kitengo cha maabara kilivyotoa huduma kwa wananchi waliotembelea banda la JKCI kwenye Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyomalizika hivi karibuni katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa kukabidhi kombe la mshindi wa kwanza kwa utoaji wa huduma za afya na matumizi ya Teknolojia katika tiba leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam



Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Baraka Ndelwa akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Prof. Mohamed Janabi kombe la mshindi wa kwanza kwa utoaji wa huduma za afya na matumizi ya Teknolojia katika tiba lililotolewa na Mamlaka ya Biashara Tanzania (TanTrade) wakati wa Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyomalizika hivi karibuni katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.



Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Sophia Bishashara akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Prof. Mohamed Janabi cheti cha ushiriki wa Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyomalizika hivi karibuni katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa kukabidhi kombe la mshindi wa kwanza kwa utoaji wa huduma za afya na matumizi ya Teknolojia katika tiba leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi katika picha ya pamoja na menejimenti ya Taasisi hiyo na wawakilishi wa JKCI walioshiriki Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyomalizika hivi karibuni katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa kukabidhi kombe la mshindi wa kwanza kwa utoaji wa huduma za afya na matumizi ya Teknolojia katika tiba leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam 


 

Comments

Popular posts from this blog

Wateja wa CRDB kutibiwa JKCI kwa punguzo la asilimia 50%

Wanawake wa JKCI SACCOS wanaongoza kwa kumiliki hisa

JKCI, MOI NA MNH waitwa Comoro kutoa huduma za matibabu ya kibingwa