Katika kuadhimisha Siku ya Moyo Duniani tarehe 29/09/2021 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Wilaya ya Kigamboni watafanya upimaji wa magonjwa ya Moyo bila malipo kwa wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam na mikoa jirani.

 


Daktari  bingwa wa magonjwa ya moyo Baraka Ndelwa akimpima mwananchi kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiogram -ECHO).
  



Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo