Katika kuadhimisha Siku ya Moyo Duniani tarehe 29/09/2021 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Wilaya ya Kigamboni watafanya upimaji wa magonjwa ya Moyo bila malipo kwa wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam na mikoa jirani.
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo Baraka Ndelwa akimpima mwananchi kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiogram -ECHO).
Comments
Post a Comment