Balozi wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Dkt. Donald Wright amefanya ziara ya kikazi katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Balozi
wa Marekani Nchini Tanzania Mhe. Dkt. Donald Wright akizungumza na watendaji wa
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Chuo
Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) na Taasisi ya Saratani
Ocean Road (ORCI) (hawapo pichani) wakati wa ziara yake ya kikazi aliyoifanya
katika Taasisi hizo kuangalia huduma za afya zinazotolewa, huduma za mafunzo
pamoja na namna ambavyo Marekani imechangia katika miradi mbalimbali ya afya
jana Jijini Dar es Salaam
Balozi
wa Marekani Nchini Tanzania Mhe. Dkt. Donald Wright katika picha ya pamoja na
wakuu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Hospitali ya Taifa Muhimbili
(MNH), Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) na Taasisi
ya Saratani Ocean Road (ORCI) baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi katika
taasisi hizo kuangalia huduma za afya zinazotolewa, huduma za mafunzo pamoja na
namna ambavyo Marekani imechangia katika miradi mbalimbali ya afya jana Jijini
Dar es Salaam
Balozi
wa Marekani Nchini Tanzania Mhe. Dkt. Donald Wright katika picha ya pamoja na
Menejimenti ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wajumbe wa Kamati ya
Utalii wa Tiba baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi katika Taasisi hiyo kuangalia
huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa jana Jijini Dar es Salaam
Comments
Post a Comment