JKCI yatoa huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo katika mkutano wa mwaka wa madaktari


 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Tatizo Waane akielezea huduma zinazotolewa na JKCI wakati Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Mhandisi Robert Gabriel alipotembelea banda la JKCI wakati wa Mkutano wa siku mbili wa madaktari uliofanyika katika Hoteli ya Malaika Jijini Mwanza.


Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Theophilly Mushi akitoa taarifa ya upimaji uliofanyika katika Mkoa wa Geita wakati Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Mhandisi Robert Gabriel alipotembelea banda la JKCI wakati wa Mkutano wa siku mbili wa madaktari uliofanyika katika Hoteli ya Malaika Jijini Mwanza.


Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Theophilly Mushi akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiography – ECHO) mwananchi wa Mkoa wa Mwanza aliyetembelea katika banda la JKCI wakati wa mkutano wa siku mbili wa madaktari uliofanyika katika Hoteli ya Malaika Jijini Mwanza


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Tatizo Waane akipokea cheti cha utambuzi wa huduma zinazotolewa na JKCI kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Mhandisi Robert Gabriel wakati wa Mkutano wa siku mbili wa madaktari uliofanyika katika Hoteli ya Malaika Jijini Mwanza.

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari