Wagonjwa 9 wamefanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo kwenye kambi maalum ya matibabu ya moyo inayofanyika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)

Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu Subhash Sinha kutoka hospitali ya Max iliyopo New Delhi nchini India akishirikiana na madaktari bingwa wa upasuaji mkubwa wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kupandikiza mishipa ya damu ya moyo (Coronary Artery Bypass Graft Surgery - CABG)  kwa mgonjwa bila ya kuusimamisha moyo wakati wa kambi maalum ya matibabu inayofanyika katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam.


 

Comments

Popular posts from this blog

Wateja wa CRDB kutibiwa JKCI kwa punguzo la asilimia 50%

Wanawake wa JKCI SACCOS wanaongoza kwa kumiliki hisa

JKCI, MOI NA MNH waitwa Comoro kutoa huduma za matibabu ya kibingwa