Wagonjwa 9 wamefanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo kwenye kambi maalum ya matibabu ya moyo inayofanyika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu Subhash
Sinha kutoka hospitali ya Max iliyopo New Delhi nchini India akishirikiana na
madaktari bingwa wa upasuaji mkubwa wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) kupandikiza mishipa ya
damu ya moyo (Coronary Artery Bypass Graft Surgery - CABG) kwa mgonjwa bila ya kuusimamisha moyo wakati
wa kambi maalum ya matibabu inayofanyika katika Taasisi hiyo Jijini Dar
es Salaam.
Comments
Post a Comment