Wanafunzi wanaosoma katika vyuo Vikuu nje ya nchi wapewa elimu ya Chanjo ya Uviko – 19
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya
Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akitoa elimu ya Chanjo ya Uviko – 19 kwa
wanafunzi wanaosoma katika vyuo Vikuu nje ya nchi kupitia Taasisi ya Global
Education Link leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akitoa elimu ya Chanjo ya Uviko – 19 kwa wanafunzi wanaosoma katika vyuo Vikuu nje ya nchi kupitia Taasisi ya Global Education Link (hawapo pichani) leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam
Wanafunzi wanaosoma katika vyuo Vikuu nje ya
nchi kupitia Taasisi ya Global Education Link wakisikiliza wakati Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete Prof. Mohamed Janabi (hayupo
pichani) akitoa elimu ya chanjo ya Uviko – 19 leo katika Taasisi hiyo Jijini
Dar es Salaam.
Comments
Post a Comment