Wachangia damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Afisa Uuguzi kutoka Mpango wa
Taifa wa Damu Salama (NBTS) Salma Jummanne akimtoa damu Mkurugenzi Mtendaji wa
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi wakati wa zoezi
lililofanyika leo la uchangiaji damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji
wa moyo katika Taasisi hiyo.
Wafanyakazi wa Taasisi ya
Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Mohamed Janabi katika zoezi la kuchangia damu kwa
ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo.
Afisa Uuguzi kutoka Mpango wa
Taifa wa Damu Salama (NBTS) John Juma akimpima
wingi wa damu Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) Dkt. Delila Kimambo wakati zoezi
la kuchangia damu kwa ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika
Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Taasisi
ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakichangia damu kwa
ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo iliyopo
jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Taasisi
ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na ndugu wa wagonjwa wakichangia damu kwa
ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo iliyopo
jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Taasisi
ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na ndugu wa wagonjwa wakichangia damu kwa
ajili ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo iliyopo
jijini Dar es Salaam.
Picha na Khamisi Mussa
Comments
Post a Comment