JKCI kuwafanyia uchunguzi wa moyo wateja wa ATC
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na viongozi kutoka Shirika la ndege la Air Tanzania (ATCL) mara baada ya kumalizika kwa kikao cha mashirikiano kilichofanyika jana jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na viongozi kutoka Shirika la ndege la Air Tanzania (ATCL) wakati wa kikao cha kuangalia namna ambavyo watashirikiana kutoa huduma kwa wateja wanaotumia shirika hilo kupata huduma za uchunguzi wa afya katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Meneja masoko wa Shirika la ndege la Air Tanzania (ATCL) Christina Tungalaza akifafanua jambo wakati wa kikao cha kujadili namna shirika hilo linaenda kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kutoa huduma za uchunguzi wa afya kwa wateja wake jana jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akisalimiana na viongozi kutoka ...