Wataalamu kutoka Shirika la Mending Kids International wapongezwa kwa kushirikiana na JKCI kuwafanyia upasuaji wa moyo watoto 39


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akiwa katika picha ya pamoja na wataalamu kutoka Shirika la Mending Kids International la nchini Marekani baada ya kumalizika kwa kambi maalumu ya siku tano ya upasuaji wa moyo kwa watoto 39.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akimpatia zawadi daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kwa watoto kutoka Shirika la Mending Kids International la nchini Marekani Sasha Agati baada ya kumalizika kwa kambi maalumu ya siku tano ya upasuaji wa moyo kwa watoto.  Watoto 39 wamefanyiwa upasuaji katika kambi hiyo.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akimpatia zawadi mratibu kutoka Shirika la Mending Kids International la nchini Marekani Dulcie Morris baada ya kumalizika kwa kambi maalumu ya siku tano ya upasuaji wa moyo kwa watoto.  Watoto 39 wamefanyiwa upasuaji katika kambi hiyo.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akimpatia zawadi daktari bingwa wa usingizi kutoka nchini Cameroon ambaye anafanya kazi katika Shirika la Mending Kids International la nchini Marekani Flora Fondjo baada ya kumalizika kwa kambi maalumu ya siku tano ya upasuaji wa moyo kwa watoto ambapo watoto watatu kutoka nchini Cameron walipata huduma za upasuaji katika kambi hiyo.

Picha na: JKCI

*******************************************************************************************************************


Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Wafanyakazi waliohama JKCI waagwa