Wananchi
kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dar es Salaam akisoma jarida la Taasisi ya
Moyo Jakaya Kikwete wakati wa upimaji wa magonjwa ya moyo na kisukari bila
malipo katika kuadhimisha siku ya moyo duniani iliyofanyika katika viwanja vya
Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam
Mtafiti kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Neema
Kailembo akimfanyia usajiri mwananchi aliyefika kwa ajili ya kufanyiwa
uchunguzi wa magonjwa ya moyo na kisukari wakati wa kuadhimisha siku ya moyo
duniani iliyofanyika katika viwanja vya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete leo
Jijini Dar es Salaam
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Happy
Mulagwa akimpima wingi wa sukari mwilini mwananchi aliyefika katika viwanja vya
Taasisi hiyo kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo na kisukari
wakati wa kuadhimisha siku ya moyo duniani leo Jijini Dar es Salaam.
Afisa
Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mali Sabuni akimpima shinikizo
la damu mwananchi aliyefika katika viwanja vya Taasisi hiyo kwa ajili ya
kufanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo na kisukari wakati wa kuadhimisha siku
ya moyo duniani leo Jijini Dar es Salaam
Daktari
kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Felister Mgare akimsikiliza
mwananchi aliyefika katika viwanja vya Taasisi hiyo kwa ajili ya kufanyiwa
uchunguzi wa magonjwa ya moyo na kisukari wakati wa kuadhimisha siku ya moyo
duniani leo Jijini Dar es Salaam
Mfamasia kutoka kampuni ya dawa za binadamu ya Zydus Salome
Vitali akimwelezea namna ya kutumia dawa mwananchi aliyefika katika viwanja vya
Taasisi hiyo kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo na kisukari
wakati wa kuadhimisha siku ya moyo duniani leo Jijini Dar es Salaam
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo
Jakaya Kikwete (JKCI) George Longopa akizungumza na baadhi ya wagonjwa
waliowahi kufanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi hiyo wakati wa upimaji wa magonjwa
ya moyo na kisukari bila malipo katika kuadhimisha siku ya moyo duniani
iliyofanyika katika viwanja vya Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam
Mjumbe kutoka chama Moyo ni Uhai (MOU) kinachowaunganisha
wagonjwa waliowahi kufanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi ya Moyo Jakaya
Kikwete Kabila Mbwama akiwaonesha wagonjwa wa moyo waliolazwa katika Taasisi
hiyo sehemu aliyofanyiwa upasuaji wakati wa upimaji wa magonjwa ya moyo na
kisukari katika kuadhimisha siku ya moyo duniani leo katika Taasisi hiyo Jijini
Dar es Salaam
Picha na Khamis Mussa
*****************************************************************************************
Comments
Post a Comment