Bodi ya Wadhamini ya JKCI yasomewa makadirio ya bajeti ya mwaka wa fedha wa 2023/24


 Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya  Kikwete (JKCI) CPA. Agnes Kuhenga akisoma makadirio ya bajeti ya Taasisi hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2023/24 wakati wa kikao cha pili cha Bodi hiyo kilichofanyika jana  jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambaye pia ni daktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu kutoka Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Afya na Sayansi Shirikishi Bugando (CUHAS) Prof. William Mahalu akiongoza kikao cha pili cha Bodi hiyo kilichofanyika jana jijini Dar es Salaam.

Katibu wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya  Kikwete (JKCI) ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dkt. Peter Kisenge akitoa taarifa ya utendaji wa kazi zilizofanywa na taasisi hiyo kwa kipindi cha miezi mitatu ya Oktoba hadi Desemba 2022 katika mwaka wa fedha wa 2022/23 katika kikao cha pili cha Bodi hiyo kilichofanyika jana jijini Dar es Salaam.

Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya  Kikwete (JKCI) CPA.Godfrey Kilenga ambaye pia ni Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Ukaguzi wa mahesabu ,TAB Consult  akichangia mada wakati wa kikao cha pili cha Bodi hiyo kilichofanyika jana  jijini Dar es Salaam.

Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Asha Izina ambaye pia ni Mratibu wa huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Mkoa wa Rukwa akipitia kitabu cha taarifa ya utendaji kazi wa Taasisi hiyo kwa kipindi cha miezi mitatu ya Oktoba hadi Desemba 2022 wakati wa kikao cha pili cha  Bodi hiyo kilichofanyika jana jijini Dar es Salaam.


Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya  Kikwete (JKCI) Mhe. Balozi Mwanaidi Sinare akichangia mada wakati wa kikao cha pili cha Bodi hiyo kilichofanyika jana  jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya Viongozi wa Menejimenti ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi hiyo Prof. Wiliam Mahalu wakati wa kikao cha pili cha bodi hiyo kilichofanyika jana  jijini Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari