Wapewa mafunzo ya kujikinga na kudhibiti maambukizi

Mwezeshaji wa mafunzo ya mpangilio maalum katika mazingira ya kazi (5’S) pamoja na kukinga na kudhibiti maambukizi (IPC) Valentina Msechu akiwafundisha wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kutekeleza majukumu yao kwa kufuata 5’S ili kuleta tija ndani ya kazi za kila siku wakati wa mafunzo hayo ya siku tatu yanayotolewa katika Ukumbi wa Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam


Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Edward Msukwa akichangia hoja wakati wa mafunzo ya siku tatu kuhusu mpangilio maalum katika mazingira ya kazi (5’S) pamoja na kukinga na kudhibiti maambukizi (IPC) yanayotolewa kwa wafanyakazi wa Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam


Afisa kumbukumbu za afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Vedastus Lazaro akielezea namna ambavyo kitengo cha kumbukumbu za afya kinavyofanya kazi wakati wa mafunzo ya siku tatu kuhusu mpangilio maalum katika mazingira ya kazi (5’S) pamoja na kukinga na kudhibiti maambukizi (IPC) yanayotolewa kwa wafanyakazi wa Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam


Mhasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mohamed Isambula akichangia hoja wakati wa mafunzo ya siku tatu kuhusu mpangilio maalum katika mazingira ya kazi (5’S) pamoja na kukinga na kudhibiti maambukizi (IPC) yanayotolewa kwa wafanyakazi wa Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam


Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa wakati wa mafunzo ya siku tatu kuhusu mpangilio maalum katika mazingira ya kazi (5’S) pamoja na kukinga na kudhibiti maambukizi (IPC) leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam

 

Picha na: JKCI

*****************************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo