JKCI Dar Group yaboresha huduma ya dharura
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiangalia namna ambavyo wataalamu wa afya wa JKCI Dar Group wakifanya mazoezi kwa vitendo ya namna ya kuwahudumia wagonjwa wa dharura wakati wa uzinduzi wa Kitengo cha wagonjwa wa dharura katika Hospitali hiyo leo jijini Dar es Salaam Daktari wa usingizi na mkuu wa timu ya kuratibu jinsi ya kuokoa wagonjwa wa dharura wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Faraji Lydenge akimuonyesha mtaalamu wa afya wa Hospitali ya JKCI Dar Group namna ya kuwahudumia wagonjwa wa dharura wakati wa uzinduzi wa kitengo cha wagonjwa wa dharura katika Hospitali hiyo leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kitengo cha wagonjwa wa dharura kilichopo Hospitali ya JKCI Dar Group leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angella Muhozya akielezea huduma zinazotole...