Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge
akizungumza na Viongozi wa Taasisi hiyo wakati wa kupitia utekelezaji wa bajeti
ya mwaka wa fedha 2023/24 leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar
es Salaam
Mkurugenzi
wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya kikwete (JKCI) CPA. Agnes Kuhenga
akiwasilisha utekelezaji wa mpango kazi wa bajeti ya mwaka wa fedha 2023/24
wakati wa kikao cha viongozi wa Taasisi hiyo kupitia utekelezaji wa bajeti leo
jijini Dar es Salaam
Afisa
Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Deborah Wami akielezea namna
kitengo cha Mipango kilivyoweka mikakati ya udhibiti wa bajeti wakati wa kikao
cha kupitia utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha 2023/24 leo katika ukumbi
wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam
Mkuu
wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Anna Nkinda akichangia mada wakati wa kikao cha kupitia utekelezaji wa bajeti
ya mwaka wa fedha 2023/24 leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar
es Salaam
Mkuu wa Kitengo cha Sheria wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete Maulid
Kikondo akichangia mada wakati wa kikao cha kupitia utekelezaji wa bajeti ya
mwaka wa fedha 2023/24 leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es
Salaam
Afisa
Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Vida Mushi akifafanua kuhusu
namna ya kudhibiti bajeti wakati wa kikao cha kupitia utekelezaji wa bajeti ya
mwaka wa fedha 2023/24 leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es
Salaam
Mkurugenzi
wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Ghati Chacha akielezea namna ambavyo Idara yake inasimamia masuala ya kuongeza
taaluma kwa wafanyakazi wakati wa kikao cha kupitia utekelezaji wa bajeti ya
mwaka wa fedha 2023/24 leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es
Salaam
Baadhi ya Viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa wakati wa kikao cha kupitia utekelezaji
wa bajeti ya mwaka wa fedha 2023/24 leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo
jijini Dar es Salaam
Picha na: JKCI
**************************************************************************************************************
Comments
Post a Comment