Toeni huduma bora kwa wagonjwa
Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge
akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi hiyo wakati wa kikao cha kupitia
utekelezaji wa kazi zilizofanyika kwa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 leo
katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam
Daktari wa usingizi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Faraji Lydenge akielezea namna kitengo cha usingizi kinavyofanya kazi wakati wa kikao cha kupitia utekelezaji wa kazi zilizofanyika kwa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam
Afisa
Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hildegard Karau akielezea namna
kitengo cha Ubora wa Huduma kinavyosimamia utekelezaji wa majukumu kwa idara na
vitengo wakati wa kikao cha kupitia utekelezaji wa kazi zilizofanyika kwa robo
ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo
jijini Dar es Salaam
Mhasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adam Sembe akichangia mada wakati wa kikao cha kupitia utekelezaji wa kazi zilizofanyika kwa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam
Picha
na: JKCI
********************************************************************************************************************************
Comments
Post a Comment