Toeni huduma bora kwa wagonjwa

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi hiyo wakati wa kikao cha kupitia utekelezaji wa kazi zilizofanyika kwa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam

Daktari wa usingizi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Faraji Lydenge akielezea namna kitengo cha usingizi kinavyofanya kazi wakati wa kikao cha kupitia utekelezaji wa kazi zilizofanyika kwa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hildegard Karau akielezea namna kitengo cha Ubora wa Huduma kinavyosimamia utekelezaji wa majukumu kwa idara na vitengo wakati wa kikao cha kupitia utekelezaji wa kazi zilizofanyika kwa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam

Mhasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adam Sembe akichangia mada wakati wa kikao cha kupitia utekelezaji wa kazi zilizofanyika kwa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam


Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia taarifa zilizokuwa zikitolewa wakati wa kikao cha kupitia utekelezaji wa kazi zilizofanyika kwa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam 

Picha na: JKCI

********************************************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)