Wafanyakazi bora watunukiwa

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi tuzo Afisa Muuguzi mstaafu wa Taasisi hiyo Mary Haule wakati wa hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 aliyeshika nafasi ya kwanza afisa Uuguzi Samweli mpiga akipokea ngao ya mfanyakazi bora kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 aliyeshika nafasi ya pili Fundi Sanifu wa Moyo Jasmine Keria akipokea cheti cha mfanyakazi bora kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 aliyeshika nafasi ya tatu Radiografa wa JKCI Shaniath Mziray akipokea cheti cha mfanyakazi bora kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Picha na: JKCI

******************************************************************************************************************

 

 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)