Waishukuru JKCI Dar Group kwa huduma bora waliyoitoa kwa mzazi wao




Rose Mtono anayeishi nchini Ujerumani akiwa katika picha ya pamoja na wadogo zake na wafanyakazi wa JKCI Dar Group walipofika katika Hospitali hiyo iliyopo Temeke jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuwashukuru wafanyakazi hao kwa huduma bora waliyoitoa kwa baba yao wakati wanamtibu

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari