Waishukuru JKCI Dar Group kwa huduma bora waliyoitoa kwa mzazi wao




Rose Mtono anayeishi nchini Ujerumani akiwa katika picha ya pamoja na wadogo zake na wafanyakazi wa JKCI Dar Group walipofika katika Hospitali hiyo iliyopo Temeke jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuwashukuru wafanyakazi hao kwa huduma bora waliyoitoa kwa baba yao wakati wanamtibu

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo