Waishukuru JKCI Dar Group kwa huduma bora waliyoitoa kwa mzazi wao
Rose Mtono anayeishi nchini Ujerumani akiwa katika picha ya pamoja na wadogo zake na wafanyakazi wa JKCI Dar Group walipofika katika Hospitali hiyo iliyopo Temeke jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuwashukuru wafanyakazi hao kwa huduma bora waliyoitoa kwa baba yao wakati wanamtibu
Comments
Post a Comment