Mafunzo ya Uadilifu kutolewa kwa wafanyakazi wa JKCI
Baadhi ya wajumbe wa baraza la wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia hoja zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa kikao cha nane cha baraza la wafanyakazi kilichofanyika leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wajumbe wa baraza la wafanyakazi wa taasisi hiyo leo wakati wa kikao cha nane cha Baraza kilichofanyika katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Agnes Kuhenga akiwasilisha makisio ya bajeti ya taasisi hiyo ya mwaka wa fedha 2024/2025 kwa wajumbe wa baraza la wafanyakazi wakati wa kikao cha nane cha baraza la wafanyakazi kilichofanyika leo katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Sekta ya Afya Taifa (TUGHE) Dkt. Jane Madete akichangia mada wakati wa kikao cha nane cha baraza la wafanyakazi wa...