Madaktari wa China wapokelewa JKCI

Mkurugenzi wa Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akizungumza na wataalamu wa afya kutoka Serikali ya Watu wa China walivyowasili katika Taasisi hiyo hivi karibuni kwaajili ya kushirikiana na wenzao wa JKCI kutoa huduma za matibabu ya moyo kwa wagonjwa wanaotibiwa na Taasisi hiyo. Jumla ya wataalamu wa afya watatu wanatarajia kufanya kazi JKCI kwa kipindi cha miaka miwili. 
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Tiba Asilia na Tiba Mbadala  na mratibu wa ushirikiano wa kimataifa kutoka Wizara ya Afya Dkt. Liggyle Vumilia akiwatambulisha wataalamu wa afya kutoka Serikali ya Watu wa China watakaofanya kazi JKCI walipowasili katika taasisi hiyo hivi karibuni. Jumla ya wataalamu wa afya watatu wanatarajia kufanya kazi JKCI kwa kipindi cha miaka miwili.


 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)