Madaktari wa China wapokelewa JKCI
Mkurugenzi
wa Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya
akizungumza na wataalamu wa afya kutoka Serikali ya Watu wa China walivyowasili
katika Taasisi hiyo hivi karibuni kwaajili ya kushirikiana na wenzao wa JKCI
kutoa huduma za matibabu ya moyo kwa wagonjwa wanaotibiwa na Taasisi hiyo.
Jumla ya wataalamu wa afya watatu wanatarajia kufanya kazi JKCI kwa kipindi cha
miaka miwili.
Comments
Post a Comment